RockBitch BAND: Kundi la wasanii wa kike lililofanya mapenzi na mashabiki zao

RockBitch BAND: Kundi la wasanii wa kike lililofanya mapenzi na mashabiki zao

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
ROCKBITCH BAND : kundi la wasanii wa kike linalofanya mapenzi na mashabiki zao

MV5BYzk3NjQ3OTEtZDVjMi00MmVhLWEwMjEtMjllZWJiNjg1MjAxXkEyXkFqcGdeQXVyMjI3MDczMjI@._V1_FMjpg_UX1...jpg


Wasanii hao wakike ambapo katikati ya show huwa wanarusha vitu maalum kwa mashabiki wao .....wenyeewe wanaviita kondom ya dhahabu ambapo mtu yoyote atakayeweza kudaka kimojawapo iwe mwanamke au mwanaume basi atapelekwa nyuma ya jukwaa kisha atafanya mapenzi na msanii wa kundi hilo

Kundi hilo limeanzishwa tokea mwaka 1984 lakini kwa sasa limekufa
 
Wazungu wanafantacies za tofauti sana na hii nikutokana na wao kufikia uwezo wa juu kabisa ya ustaarabu wa mwanadamu...

Baada ya hapo wataporomoka na kupotea na kila kitu kitapotea km kulivyokuwa zana za ananuaki

Na itakuja generation mpya,ianze ulta km sisi tulivyoanza upya
 
Wengi wa waimba Rock n Roll hasa miaka ya 1970s walikuwa ni wafuasi wa shetani hata nyimbo zao tu zilikuwa za kishetani shetani mfano angalia video ya wimbo wa kundi linaloitwa KISS kwenye wimbo wao Rock n Roll All Nigt walio perform live.Pia sikiliza wimbo wa I'm on my way to hell wa AC/DC,kuna mwingine mwanamuziki wa kundi la Beetles yeye alisema wao ni famous kuliko hata Jesus.Kuna wengine wao waliweka picha ya Mchawi(English Occultist) maaraufu Kwenye cover ya album yao.Mchawi huyo aliitwa Aleister Crowley
 
Back
Top Bottom