RockBitch BAND: Kundi la wasanii wa kike lililofanya mapenzi na mashabiki zao

RockBitch BAND: Kundi la wasanii wa kike lililofanya mapenzi na mashabiki zao

ROCKBITCH BAND : kundi la wasanii wa kike linalofanya mapenzi na mashabiki zao
View attachment 2981135
Wasanii hao wakike ambapo katikati ya show huwa wanarusha vitu maalum kwa mashabiki wao .....wenyeewe wanaviita kondom ya dhahabu ambapo mtu yoyote atakayeweza kudaka kimojawapo iwe mwanamke au mwanaume basi atapelekwa nyuma ya jukwaa kisha atafanya mapenzi na msanii wa kundi hilo

Kundi hilo limeanzishwa tokea mwaka 1984 lakini kwa sasa limekufa
Madada wa Dar es salaam chukueni fursa hiyo.....anzisheni band yenu!!
 
Kufanya mapenzi chapchapu nyuma ya jukwaa na msanii kuna tofauti gani na hawa machangudoa yanayojiuza uchochoroni? Itabidi uwe mnara na ndani ya dakika Mbili upige goli fasta, hakuna raha hapo
 
Hivi kwa sasa kuna msanii/wasanii ambao huchanganya sanaa yao na ngono? Yaani kwa kufanya jukwaani live, kuimba maneno kwa ishara au kuvaa mavazi ya chumbani/ya kimahaba?
 
Back
Top Bottom