Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
Wazungu ni mashetaniKuna clip moja niliona twitter bendi moja ya rock huko marekani wanaimba live jukwaani huku wangine wanapigana miti jukwaani live mchana kabisa
Madada wa Dar es salaam chukueni fursa hiyo.....anzisheni band yenu!!ROCKBITCH BAND : kundi la wasanii wa kike linalofanya mapenzi na mashabiki zao
View attachment 2981135
Wasanii hao wakike ambapo katikati ya show huwa wanarusha vitu maalum kwa mashabiki wao .....wenyeewe wanaviita kondom ya dhahabu ambapo mtu yoyote atakayeweza kudaka kimojawapo iwe mwanamke au mwanaume basi atapelekwa nyuma ya jukwaa kisha atafanya mapenzi na msanii wa kundi hilo
Kundi hilo limeanzishwa tokea mwaka 1984 lakini kwa sasa limekufa
Hahaha mkuu heading inapotosha. Ungesema “kundi lililofanya” na siyo kundi linalofanya.Vitu vizuri havidumu
Wewe si ni time Traveller Rudi nyuma akuwapige matukioHahaha mkuu heading inapotosha. Ungesema “kundi lililofanya” na siyo kundi linalofanya.
Kweli kabisa mkuu maishani tunachotafuta ni furaha tu hamna kitu kingine.Maisha ni kufurahi
Limeniuma hilo kundi 😢, daah si waanzishe kundi lingine aisee 🤒Vitu vizuri havidumu
Inasikitisha sanaDaah limekufa tena 😢
Hakika Limeniuma sana hilo kundi 😢Inasikitisha sana
Lije kutumbuiza bure viwanja vya Posta KijitonyamaLimeniuma hilo kundi 😢, daah si waanzishe kundi lingine aisee 🤒
Ana mshepu sexy!!!Kuna juzi tu hapo zodwa wabantu... Alijirusha kwa mashabiki akiwa na kachupi tuu... Watu walimfingaa... Hawajanawa mikono hadi leo... Wanakumbukia...
Madonna, bado yupo pisivipi na yule msanii aliyekuwa anavua chupi, siku nyingine anavua bikini na kuwatupia mashabiki wake wagombanie bado yupo hai?