Rodri atua na magongo ndani ya Paris kupokea Ballon d'Or aliyoporwa Vinicius Jr

Rodri atua na magongo ndani ya Paris kupokea Ballon d'Or aliyoporwa Vinicius Jr

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kwa mujibu wa ripoti, Rodri ameshinda tuzo ya Ballon d’Or na yuko Paris kupokea tuzo hiyo.

Vyanzo vya habari Ulaya vinaripoti kuwa Vinicius Jr hatosafiri kuelekea Paris kuhuhudhuria tuzo za Ballon dor usiku wa leo kutokana na kuwa wamepata taarifa kuwa yeye sio

Mshindi wa tuzo hiyo na hakuna Kiongozi wala Mchezaji yoyote wa Real Madrid atahudhuria tuzo hizo.

Soma, Pia: Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu
1730127282854.png

Rodri has reportedly WON the Ballon d’Or with news emerging that Real Madrid have cancelled th...jpg
Hii hapa orodha ya Matokeo ya Ballon d'Or 2024 iliyovuja
Screenshot 2024-10-28 175955.png
 
Hizi tuzo za Ballon d'or ni siasa za mpira tu. Hivi Vini na Salah nani mkali ? 🤣🤣🤣
View attachment 3137445
Vini ni mkali, sitaki ushabiki maan mie ni Man U tumefukuza kocho kunusuru tusishuke daraja, lakini elewa SALAH anachezea timu ndogo, ligi nyepesi, na Liver hana vikombe kama Real.
Timu atokayo mchezaji inachangia, hawa wakin Vin na wengine wanatoka BRAZIL, wewe lini umeskia mchezaji toka klabu ya BRAZIL akiwa huko huko Brazil kashinda B.?
 
Kwa mujibu wa ripoti, Rodri ameshinda tuzo ya Ballon d’Or na yuko Paris kupokea tuzo hiyo. Vyanzo vya habari Ulaya vinaripoti kuwa Vinicius Jr hatosafiri kuelekea Paris kuhuhudhuria tuzo za Ballon dor usiku wa leo kutokana na kuwa wamepata taarifa kuwa yeye sio Mshindi wa tuzo hiyo na hakuna Kiongozi wala Mchezaji yoyote wa Real Madrid atahudhuria tuzo hizo.

Soma, Pia: Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu
Hii hapa orodha ya Matokeo ya Ballon d'Or 2024 iliyovuja
Hii tuzo itakuja kufa tu huko mbeleni haina uhalisia...Bora tuzo za FIFA
 
Matuzo ya wazungu hayo.wao ndio wanaamua wampe nani.uku afrika sisi ni ushabiki tu wakati wala hayatusaidii.
 
Back
Top Bottom