Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Bado haijatangazwa, vinicias ndio mwenye tuzo yake.Kwa mujibu wa ripoti, Rodri ameshinda tuzo ya Ballon d’Or na yuko Paris kupokea tuzo hiyo. Habari zinaeleza kwamba Real Madrid imefuta safari yake ya kwenda Paris usiku wa leo kwa ajili ya hafla ya tuzo hizo, ambapo Vinicius Jr amekosa tuzo hiyo.
Soma, Pia: Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu
Hizi tuzo za Ballon d'or ni siasa za mpira tu. Hivi Vini na Salah nani mkali ? 🤣🤣🤣Bado haijatangazwa, vinicias ndio mwenye tuzo yake.
Wanaangalia pia mafanikio ya timu yako.Hizi tuzo za Ballon d'or ni siasa za mpira tu. Hivi Vini na Salah nani mkali ? 🤣🤣🤣
View attachment 3137445
Vini ni mkali, sitaki ushabiki maan mie ni Man U tumefukuza kocho kunusuru tusishuke daraja, lakini elewa SALAH anachezea timu ndogo, ligi nyepesi, na Liver hana vikombe kama Real.Hizi tuzo za Ballon d'or ni siasa za mpira tu. Hivi Vini na Salah nani mkali ? 🤣🤣🤣
View attachment 3137445
Bado shombo ya maziwa haijamtoka, miaka mitatu baadae ndio atafikiriwa.Yamal
Vini kamzidi nini Lautaro Martinez?Wanaangalia pia mafanikio ya timu yako.
MO sikumbuki mwaka huu kashinda kombe gani?
Ila Vin kachukua La Liga,
Ila hii tuzo mimi ningempigia kura Rodri.
Wewe ni lijinga sanaHizi tuzo za Ballon d'or ni siasa za mpira tu. Hivi Vini na Salah nani mkali ? 🤣🤣🤣
View attachment 3137445
Hiyo post inawalinganisha Mo na Vin.Vini kamzidi nini Lautaro Martinez?
Kuna dalili mpaka mwaka 2250 Watu weusi wanaikamata Dunia kwa Kila Jambooo.Bado shombo ya maziwa haijamtoka, miaka mitatu baadae ndio atafikiriwa.
Mo kama alikosa miaka iliyopita ndio basi tenaHizi tuzo za Ballon d'or ni siasa za mpira tu. Hivi Vini na Salah nani mkali ? 🤣🤣🤣
View attachment 3137445
Ongea wewe mkuu 🤣🤣🤣Vini kamzidi nini Lautaro Martinez?
Uko poa Mkuu ?Wewe ni lijinga sana
Hii tuzo itakuja kufa tu huko mbeleni haina uhalisia...Bora tuzo za FIFAKwa mujibu wa ripoti, Rodri ameshinda tuzo ya Ballon d’Or na yuko Paris kupokea tuzo hiyo. Vyanzo vya habari Ulaya vinaripoti kuwa Vinicius Jr hatosafiri kuelekea Paris kuhuhudhuria tuzo za Ballon dor usiku wa leo kutokana na kuwa wamepata taarifa kuwa yeye sio Mshindi wa tuzo hiyo na hakuna Kiongozi wala Mchezaji yoyote wa Real Madrid atahudhuria tuzo hizo.
Soma, Pia: Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu
Hii hapa orodha ya Matokeo ya Ballon d'Or 2024 iliyovuja