Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mpuuzNaona huyu jamaa tangu amepata ballon d or uchwara analopoka lopoka tu.
View attachment 3158431
Yy na vini nan anakipaji asilia?Naona huyu jamaa tangu amepata ballon d or uchwara analopoka lopoka tu.
View attachment 3158431
Zurula na wewe upewe ballondorHana hoja huyo mzurumaji
Ata ukiwa shabiki wa cr7 haituhusuMimi sio shabiki wa CR7, Ila itoshe tu kusema Rodri hapo kupayanga vibaya mno. Mpira ungekuwa mwepesi kiasi hicho kisa training, nadhani kila mtu angekuwa na mafanikio kama aliyonayo Ronaldo.
Anayo tayari na Kuna walio train kama cr7 mfano vin jr hawanaNa yeye si ajitrain awe na hizo tuzo kama za CR5 kama ni rahisi hivyo?
Ingekuwa hivyo si dunia nzima ingetoa balon d'or za kutosha wachezaji waliojituma,kwani inajuliakana wazi kuwa vipaji duniani ni vichache ila tusidharau juhudi za wanaojituma.
Hizo ni hoja kwa walio na wivu na mafanikio ya CR5,hatofautuani na kina Ibrahimovic
Ni vile vile kwa wote pia wenye wivu kwa Diamond platnumz,kuna watu waliopitwa mafanikio nao wanawachukia sana utafikiri walikatazwa wasijitume
Utakuwa huelewi Mpira Kwa position ya rodri hata haiitaji akili kubwa kujua jamaa ni talented ogopa mtu mkabaji ila hatumii nguvu kama makelele, gatuso, Kate,Wala casemiro ni pure TALENTYy na vini nan anakipaji asilia?
Upo sawa na huyo Jr hajawahi kumkaribia CR5 at his pickAnayo tayari na Kuna walio train kama cr7 mfano vin jr hawana
Sawa dadaZurula na wewe upewe ballondor
Siamini kabisaa kama anaweza sema ivooNaona huyu jamaa tangu amepata ballon d or uchwara analopoka lopoka tu.
View attachment 3158431