Rodrigo Duterte Rais wa Zamani wa Ufilipino ahojiwa na ICC Juu ya Kuamrisha Mauaji Dhidi ya Watuhumiwa wa Madawa ya kulevya

Rodrigo Duterte Rais wa Zamani wa Ufilipino ahojiwa na ICC Juu ya Kuamrisha Mauaji Dhidi ya Watuhumiwa wa Madawa ya kulevya

Inatakiwa kuDeal na maCartel au Ligalise all Drugs ili Cartels wafilisike.
Russia aliweza kwa sababu alifanikiwa kuinfiltrate Cells za foreign agents waliokuwa wanaendesha magenge ya kihalifu! Kama huna uwezo wa kuinfiltrate unachagua njia mbadala si lazima hiyo aliyotumia Durtete!
 
Nae apewe baron do'r yake maana yeyote anaweza pata hata hivyo na yeye ni Rodrigo
 
Ni jina lisilo rasmi ya cocaine/ heroine
Hizo zina effect tofauti kabisa kwenye Ubongo lakini Watu wengi husema kuwa ukivuta "Unga" unalala Barabarani Opioid zinakufanya Drowsy wakati Cocaine ni Stimulant.
 
Akina Sinwar, Nasrallah au Hanniyeh
Na wale wa Msumbiji Boko Haramu Alshababu Isis hao ukikutana nao ni Bullet tu
terrorists-1458052170.jpg

Mtu anaetaka kufa kwa ajili ya Allah unamuwahi halafu unamtanguliza.
 
Unaligalise vipi sembe?Magari barabarani siyatakuwa yakipita juu ya migongo yamateja yaliyolala barabarani.?
Hamna nchi iliyoshinda vita dhidi ya hii biashara kongwe , drugs ni biashara yenye mikono ya watu wakubwa duniani na wanataka kuendelea kuweka upinzani kivuli kutoka serikalini ili kuongeza profits na kuweka entry barrier Kwa wanaoingia kwenye hii biashara hapo hapo biashara zinafanyika na hao mapapa wanahonga na kutengeneza syndicates za kuuza madawa ya kulevya kwa kushirikiana na officials wa serikali ,hao ndio huwa wanakamatwa na si mapapa yenyewe ya hii biashara unless labda kutokee wachomeane wenyewe kwa wenyewe ,
Ulishaenda wapi duniani humu na ikakosa cocaine ,heroine, methamphetamine na madawa mengine ya kulevya ?
Huwezi kukaa na kujiuliza ? , hata hapo phillipines penyewe maelfu wameuawa na Durtete kwa issues za madawa ya kulevya na cartels za kuzalisha, kusafirisha na kuuza dawa za kulevya na mateja mpaka leo wapo ,
Drugs zikiwa legalised faida itapotea na cartel WA hii biashara watapata wakati mgumu kwani faida hamna ,na hivyo kuacha usambazaji wa drugs
Portugal ni nchi iliyoruhusu matumizi ya madawa ya kulevya , Portugal Ndio moja kati ya nchi zenye idadi ndogo zaidi ya mateja ulaya na dunia nzima .
Kaa na itafakari hii scenario .
 
Kitendo cha hizi serikali kukaa na kukimbizana na hawa cartel ni kutengeneza faida kwa hii biashara maana profit Kwa hao cartels Ndio inakuwa kubwa zaidi na wanaendelea kuneemeka kwa kununua silaha nzito ,kuajiri magenge ya wasambazaji , wauaji , kuhonga mamlaka , kutengeneza madawa na issues nyingine , kilo moja ya cocaine kule Australia ni zaidi ya milioni miambili za kibongo ,sasa imagine yaani kilo moja ya cocaine ina bei kubwa Australia kuliko kilo moja ya dhahabu pure ,kwa faida hiyo ni cartel ipi haipo tayari kutumia hata submarine kuingiza mzigo huko ?
Siku hizi carrtels wanatumia sophisticated methods kama submarines ,marine drones,gps nk kusafirisha madawa ya kulevya undetected ..
So vita dhidi ya dawa za kulevya ni scam ,IPO ili kunufaisha cartels WA hii biashara
 
Binadamu ana nafasi moja tu ya kuishi, kumuua ni ukatili wa hali ya juu. Bora mtu afe kwa ajali au maradhi
Sahihi kabisa, na hujui kwanini Mtu anaanza kutumia Mhadarati mimi pia niliteleza nikawa natumia.
 
Na mateja wanazidi kuongezeka na gharama za kukimbizana na hao cartels ni kubwa kuliko mafanikio au achievements ukiangalia data au statistics , Leo hii USA namba ya drug addicts na mamafia wa madawa ya kulevya na gangs violence kama mauaji na vitu vinavyohusiana na magenge ya madawa ya kulevya inazidi kuongezeka na ni kubwa kuliko wakati wowote ule katika historia ya hilo taifa , na hapo karibia kila law enforcement IPO involved kukimbizana na hao carrtels wa madawa kuanzia DEA ,FBI , Customs and border officials ,ATF nk ,na wanatumia matrilioni kila mwaka kukabiliana na hawa mamafia wa kusambaza madawa ila bado ndio kwanza hali inazidi kuwa mbaya
 
Katika vitu vya kipuuzi hapa Duniani kimoja wapo ni hiyo The hage.
Hiyo mahakama ipo kuwadhalilisha viongozi wa nchi ndogo tu.
Rais yeyote wa Africa atakae ipinga na kujitoa kwenye jumuia hiyo, mimi namuunga mkono na kwangu atakua shujaa.
 
Back
Top Bottom