mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Yaan hawa jamaa bure kabisaSisi wa mikoani tunaendelea kustaajabu ya wanaume wa dar kulilia zawadi kutoka kwa mwanamk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan hawa jamaa bure kabisaSisi wa mikoani tunaendelea kustaajabu ya wanaume wa dar kulilia zawadi kutoka kwa mwanamk
Sasa unataka pipi za nini? Dume zima unalilia zawadi? Umekuwa slay queen ww?Mbunye napewaa
Tambua kwanza kua mwanamoe hana zawadi nyingine bora zaidi ya kukuachia uchi wake. Huo ni upendo na zawadi kubwa saan kama unapewa mbunyee that is enough na ni gift tosha na kubwa saan kwa wanawake. Ridhika na endelea kumpenda na kumweshimu hizoo zawadi unazotaka ww hazina umuhimuuJamani ndugu yenu roho inaniuma nipo ndani ya mahusiano lakini sijawahi kupewa zawadi na mpenzi wangu mwaka saivi umekaribia kuisha mpka unajiuliza ivi napedwa kweli lakini .......
Yaani birthday yangu imepita ameshidwa kuninunulia hata pipi ya 50 au bigijii ya 100 yaani staki kuamini mwaka unaisha hata zawadi sijawahi pewaa
Vipi ndani ya mwaka Sasa unaisha wewe umempa zawadi ngapi? Au umekariri kupewa tu? Jamani ifike mahali mjue hata sisi tunapenda hivyo vizawadi tunavifurahia pia sanaJamani ndugu yenu roho inaniuma nipo ndani ya mahusiano lakini sijawahi kupewa zawadi na mpenzi wangu mwaka saivi umekaribia kuisha mpka unajiuliza ivi napedwa kweli lakini .......
Yaani birthday yangu imepita ameshidwa kuninunulia hata pipi ya 50 au bigijii ya 100 yaani staki kuamini mwaka unaisha hata zawadi sijawahi pewaa
We ushawahi kumpa?Jamani ndugu yenu roho inaniuma nipo ndani ya mahusiano lakini sijawahi kupewa zawadi na mpenzi wangu mwaka saivi umekaribia kuisha mpka unajiuliza ivi napedwa kweli lakini .......
Yaani birthday yangu imepita ameshidwa kuninunulia hata pipi ya 50 au bigijii ya 100 yaani staki kuamini mwaka unaisha hata zawadi sijawahi pewaa