Umemalizia vibaya,mimba huingia tu hata kama mwanaume anapunjeMkuu kubali kuachana harafu tafuta pesa siku ukiwa vizuri muonyeshe kwa vitendo.
Kitu cha pili tafuta mademu wa kupunguza stress(kupiga na kusepa) watakuondolea stress za kuwaza waza ovyo.
Tatu Komaaa kutafuta pesa ubadilishe maisha yako na ujue kabsa kwamba mwanamke akishakutamkia kwamba tuachane yeye kashajipanga muda mrefu.
Nishawahi kuachana na mwanamke harafu nikaambiwa nilikuwa simfikishi na wakati muda huo ashatoa mimba yangu, sasa nikajiuliza kama nilikuwa simfikishi hiyo mimba iliigiaje?[emoji2297]
Teh teh!Umemalizia vibaya,mimba huingia tu hata kama mwanaume anapunje
MPENZI WAKO AKISEMA NIMECHOKA NAENDA KWA MWANAUME MWINGINE MUACHE AENDE USIWE MBONAFSI MAANA ANA NDOTO ZAKE ZA KUTIMIZA MAISHANI SASA MUACHE AENDE...Mwambie mpenzi wako anapongezwa na chige kwa sababu anapenda kwa kutumia akili na sio kwa kutumia moyo!!
Nothing personal but it's all about someone's future!!
Ngoja nikuulize: Assume una washikaji wawili! Mmoja unamuona yupo focused, anajielewa, fighter, ana uchungu na maisha and all that kiasi kwamba, hata akipata 100K anawaza kuifanyia kazi, na kama inakufa basi ni ile tunaita ajali kazini!
Mshikaji wa pili ni boya fulani hivi, akipata pesa ndo kwanza anakuita mkale bia, hata akipata kazi anakuwa mzembe mzembe!!
Now assume unaokota jiwe la Tanzanite linalokupa milioni kadhaa!! Je, uta-team up na mshikaji gani kati ya hayo wawili ili mfanye mambo ya kuelewa?!
Narudia, i's not personal... it's all about future na ndio maana hata wewe mwenyewe ukikutana na demu haeleweki eleweki, unaishia kupiga na kusepa, na hata kama unakaa nae, unajua kabisa ukiamua kuoa, atakuwa mwingine na sio huyo!
Itoshe tu kusema kwamba, hata mzazi anawekeza kwa mtoto ambae future yake inasomeka, seuze nyie mnaokutana ukubwani halafu bado mnataka mpendwe unconditionally wakati hata mama zenu wakiwaona maboya wanawapa kubwa!
UKIWEZA KUKUBALI MATOKEO, UTASHINDA KILA VITA YA MAISHANilishawahi kuambiwa hivi miaka 2 nyuma. Aisee hamna kitu kwa mwanaume kuambiwa ivo 😂😂. Niliumia mno afu manzi nilikua namuelewa kinoma by that time.
Basi life limesongaa mwaka huu anajileta mwenyewe na kujibebisha wakat mi nlishamtoaga moyoni kitambo. Cha ajabu saivi na mimi namuona ni mbabaishaji sana. Na kile alichoniambia nadhani ndio kinamfanya afake maisha akiwa na mimi ili aonekane yeye ni fighter wakati kaja kuliwa kimasikhara kwangu 😂😂😂
NA UKIWA NA PESA UNA ASILIMIA 70-100 KUOA KAHABA MSTAAFU KAHABA ANAYEENDELEA NA KAZI YAKE ... WAKATI MZURI WA KUTAFUTA MPENZI WA MAISHA WAKATI HAUNA PESA ...Ukiwa hauna pesa, achana na wanawake.
Huyo hakufai sio mke kwako. Ukimn'gan'gania mwisho wake utaishia jela. Watu kama hao hata ukawapa nini hawatoridhika. Siku utakaoleta Millioni , siku ya Pili atahitaji Privat jet huyo. Mke mzuri unaweza kumpima pale maisha yako yanapokuwa duniKipindi nina mgogoro na mpenzi wangu niliomba ushauri humu JF kutokana na tabia za mpenzi wangu wengi walinishauri nijaribu kukaa naye chini na kuzungumza nae kiupole hatimaye nimefanikiwa na tumezungumza .
Katika mazungumzo aliniambia kiustarabu anaona bora tuachane au tuvunje uhusiano kwa sababu zifuatazo
1. Haoni future nzuli na Mimi hivyo anaona kama nampotezea muda
2. Maisha yangu hayaeleweki nimekuwa mtu wa kubangaiza ninaishi maisha ya kubahatisha hivyo bado sijasimama
3. Amejitahidi kuvumilia hali yangu ya maisha lakini uvimilivu unamshinda kwani Miaka yote haoni mabadiliko kila siku niko vile vile haoni hatua yoyote nilioipiga Katika maisha haya.
4. Finally akaniambia amenipa muda anataka kuona maisha yangu yanabadilika anataka kuona natoboa Katika maisha haya
Ila alichoniambia Kikubwa tuvunje uhusiano kama sitoweza kutimiza Yale anayoyataka yeye nimuache aendelee na maisha yake
Ukiwa na pesa ni wkati mzuri wa kushika kila mwanamke asiye na maana katika maisha yako. PESA SIO MSINGI WA UAMINIFUPlain truth, bila disposable income wanawake huwa chanzo cha stress na negativity tu katika maisha.
AHSANTE KWA KUWA MUELEWAHuyo hakufai sio mke kwako. Ukimn'gan'gania mwisho wake utaishia jela. Watu kama hao hata ukawapa nini hawatoridhika. Siku utakaoleta Millioni , siku ya Pili atahitaji Privat jet huyo. Mke mzuri unaweza kumpima pale maisha yako yanapokuwa duni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] for security purposeHata mitetea inapenda kukaa na yule jogoo mbabe kuliko wote.
Hahahah hapa wanachezewa danadanaUkiwa na pesa ni wkati mzuri wa kushika kila mwanamke asiye na maana katika maisha yako. PESA SIO MSINGI WA UAMINIFU
Huu ukweli 100%NA UKIWA NA PESA UNA ASILIMIA 70-100 KUOA KAHABA MSTAAFU KAHABA ANAYEENDELEA NA KAZI YAKE ... WAKATI MZURI WA KUTAFUTA MPENZI WA MAISHA WAKATI HAUNA PESA ...
...KUNA WATU WATAPINGA SANA... KARIBUNI
Mkuu mimba na kufika kileleni ni vitu viwili tofautiMkuu kubali kuachana harafu tafuta pesa siku ukiwa vizuri muonyeshe kwa vitendo.
Kitu cha pili tafuta mademu wa kupunguza stress(kupiga na kusepa) watakuondolea stress za kuwaza waza ovyo.
Tatu Komaaa kutafuta pesa ubadilishe maisha yako na ujue kabsa kwamba mwanamke akishakutamkia kwamba tuachane yeye kashajipanga muda mrefu.
Nishawahi kuachana na mwanamke harafu nikaambiwa nilikuwa simfikishi na wakati muda huo ashatoa mimba yangu, sasa nikajiuliza kama nilikuwa simfikishi hiyo mimba iliigiaje?[emoji2297]
Kabisa mkuu, ukiambiwa ivo kubali aende tu. Ukilazimisha sana utaumia kinoma baadae.UKIWEZA KUKUBALI MATOKEO, UTASHINDA KILA VITA YA MAISHA
MkuuKipindi nina mgogoro na mpenzi wangu niliomba ushauri humu JF kutokana na tabia za mpenzi wangu wengi walinishauri nijaribu kukaa naye chini na kuzungumza nae kiupole hatimaye nimefanikiwa na tumezungumza .
Katika mazungumzo aliniambia kiustarabu anaona bora tuachane au tuvunje uhusiano kwa sababu zifuatazo
1. Haoni future nzuli na Mimi hivyo anaona kama nampotezea muda
2. Maisha yangu hayaeleweki nimekuwa mtu wa kubangaiza ninaishi maisha ya kubahatisha hivyo bado sijasimama
3. Amejitahidi kuvumilia hali yangu ya maisha lakini uvimilivu unamshinda kwani Miaka yote haoni mabadiliko kila siku niko vile vile haoni hatua yoyote nilioipiga Katika maisha haya.
4. Finally akaniambia amenipa muda anataka kuona maisha yangu yanabadilika anataka kuona natoboa Katika maisha haya
Ila alichoniambia Kikubwa tuvunje uhusiano kama sitoweza kutimiza Yale anayoyataka yeye nimuache aendelee na maisha yake
kwani wewe unaonaje yeye kwako ametimiza yapi, vp lakini hata kwa wazee wa goodmorning hujabatika kupata kaziKipindi nina mgogoro na mpenzi wangu niliomba ushauri humu JF kutokana na tabia za mpenzi wangu wengi walinishauri nijaribu kukaa naye chini na kuzungumza nae kiupole hatimaye nimefanikiwa na tumezungumza .
Katika mazungumzo aliniambia kiustarabu anaona bora tuachane au tuvunje uhusiano kwa sababu zifuatazo
1. Haoni future nzuli na Mimi hivyo anaona kama nampotezea muda
2. Maisha yangu hayaeleweki nimekuwa mtu wa kubangaiza ninaishi maisha ya kubahatisha hivyo bado sijasimama
3. Amejitahidi kuvumilia hali yangu ya maisha lakini uvimilivu unamshinda kwani Miaka yote haoni mabadiliko kila siku niko vile vile haoni hatua yoyote nilioipiga Katika maisha haya.
4. Finally akaniambia amenipa muda anataka kuona maisha yangu yanabadilika anataka kuona natoboa Katika maisha haya
Ila alichoniambia Kikubwa tuvunje uhusiano kama sitoweza kutimiza Yale anayoyataka yeye nimuache aendelee na maisha yake
north is glitterWatoto wa kaskazini tuliwakosea nini?