Ndugu huwezi kuishi na mtu mwenye kukupa mashinikizo huku hakuonyeshi ushirikiano wowote wa wote kuvuka kwenda uchumi wa kati, hiyo ni dhana potovu ,wakae pamoja wapange mipango na washirikiane pamoja. Uchumi ukipanda si ni wa familia kwani ni wa mwanaume mwenyewe