Roho inaniuma mpenzi wangu anataka tuachane kwa sababu hayaelewi maisha yangu


Mkuu hata mimi sipendi mashinikizo.
Lakini huyu dada kaweka standard zake kwa jamaa ambapo mie naona ni jambo jema.

Mtu anaekupa changamoto ufanye mambo makubwa ni wa muhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…