Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

Hata kama ningekuwa mimi ningekuuzia fake. Kinachokufanya usiitaje hiyo kampuni ni nini? Taja ili watu waijue kuliko kuwaficha.
 
Mpaka sasa hiyo dragon ipoje?
 
Picha tofauti na hapo inakuwa kama story za minzan ya ushambegex
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…