Roho inauma, mwili unaona nafsi Inakata tuombane radhi

Roho inauma, mwili unaona nafsi Inakata tuombane radhi

Kiume3000

Senior Member
Joined
May 17, 2021
Posts
180
Reaction score
218
Kwenye nukta ya somo hapo nafafanua.

Niombe Radhi Sana kwa yeyote niliyemkwaza. Sio aina ya mtu mwenye Roho mbaya, ingawa wakati mwingine naona kama Kuna jambo halijakaa sawa hapo moyo unauma na kuanza kujilaumu na kulaumu wengine.

Nafsi inapoona haki haijatendeka, moyo unauma, unauma sana, Roho inapenda nakutaka kufanya kitu.. japo sio kitu kizur,kwake nafsi unaona ni sawa. La hasha kuomba Radhi ndio jambo jema kuliko hatari.

Leo nimeona nitoe la moyoni niwe huru nafsini. Moyo wangu unapenda uhuru, mwili unalalamika na kuona ipo haja kuombana Msamaha. Asanteni. Na Mnyazi Mungu atatubariki sana
 
Moyo kuuma wasiwasi hofu iliyojaa chuki na mengine mengi ni zao la dhambi, kama unatenda matendo yaso haki, hakikisha unabadikika kwa sababu mtu huvuna alichopanda.
 
Mkuu kama ni radhi angalia au kumbuka uliowakosea uraiani uwaombe huu msamaha upate nafuu. Huku sie anonymous tu
 
Kwenye nukta ya somo hapo nafafanua.

Niombe Radhi Sana kwa yeyote niliyemkwaza. Sio aina ya mtu mwenye Roho mbaya, ingawa wakati mwingine naona kama Kuna jambo halijakaa sawa hapo moyo unauma na kuanza kujilaumu na kulaumu wengine.

Nafsi inapoona haki haijatendeka, moyo unauma, unauma sana, Roho inapenda nakutaka kufanya kitu.. japo sio kitu kizur,kwake nafsi unaona ni sawa. La hasha kuomba Radhi ndio jambo jema kuliko hatari.

Leo nimeona nitoe la moyoni niwe huru nafsini. Moyo wangu unapenda uhuru, mwili unalalamika na kuona ipo haja kuombana Msamaha. Asanteni. Na Mnyazi Mungu atatubariki sana
Usijinyonge
 
Kwenye nukta ya somo hapo nafafanua.

Niombe Radhi Sana kwa yeyote niliyemkwaza. Sio aina ya mtu mwenye Roho mbaya, ingawa wakati mwingine naona kama Kuna jambo halijakaa sawa hapo moyo unauma na kuanza kujilaumu na kulaumu wengine.

Nafsi inapoona haki haijatendeka, moyo unauma, unauma sana, Roho inapenda nakutaka kufanya kitu.. japo sio kitu kizur,kwake nafsi unaona ni sawa. La hasha kuomba Radhi ndio jambo jema kuliko hatari.

Leo nimeona nitoe la moyoni niwe huru nafsini. Moyo wangu unapenda uhuru, mwili unalalamika na kuona ipo haja kuombana Msamaha. Asanteni. Na Mnyazi Mungu atatubariki sana
naona kama unasali sala ya mwisho hapo ulipo, tafadhali, kabla hujaenda, Mpokee Yesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wa Maisha yako. yeye alifanyika kafara kwa ajili ya ondoleo la dhambi zako zote na msamaha, na ni daraja kati ya mwanadamu na Mungu. usipompokea kwa kumkiri kwa kinywa chako na kuamini moyoni mwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu na kwamba ndiye mwenye uwezo kukuokoa, nafsi yako itaelekea moja kwa moja jehanum na hautapata nafasi nyingine kurudi duniani kutubu/kujipanga upya, na hata hao utakaowaacha duniani wakikuombea usamehewe hautasamehewa kwasababu baada ya kifo ni hukumu. nafasi uliyonayo sasa itumie ipasavyo. Mungu akusaidie.
 
naona kama unasali sala ya mwisho hapo ulipo, tafadhali, kabla hujaenda, Mpokee Yesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wa Maisha yako. yeye alifanyika kafara kwa ajili ya ondoleo la dhambi zako zote na msamaha, na ni daraja kati ya mwanadamu na Mungu. usipompokea kwa kumkiri kwa kinywa chako na kuamini moyoni mwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu na kwamba ndiye mwenye uwezo kukuokoa, nafsi yako itaelekea moja kwa moja jehanum na hautapata nafasi nyingine kurudi duniani kutubu/kujipanga upya, na hata hao utakaowaacha duniani wakikuombea usamehewe hautasamehewa kwasababu baada ya kifo ni hukumu. nafasi uliyonayo sasa itumie ipasavyo. Mungu akusaidie.
Umejuaje kam amejitoa kafara. Kwa hiyo magu ni yesu kwa sabb alisema amejitoa kafara. Wkt anaongea mlikaa kimya..
 
Kwenye nukta ya somo hapo nafafanua.

Niombe Radhi Sana kwa yeyote niliyemkwaza. Sio aina ya mtu mwenye Roho mbaya, ingawa wakati mwingine naona kama Kuna jambo halijakaa sawa hapo moyo unauma na kuanza kujilaumu na kulaumu wengine.

Nafsi inapoona haki haijatendeka, moyo unauma, unauma sana, Roho inapenda nakutaka kufanya kitu.. japo sio kitu kizur,kwake nafsi unaona ni sawa. La hasha kuomba Radhi ndio jambo jema kuliko hatari.

Leo nimeona nitoe la moyoni niwe huru nafsini. Moyo wangu unapenda uhuru, mwili unalalamika na kuona ipo haja kuombana Msamaha. Asanteni. Na Mnyazi Mungu atatubariki sana
Unatumia ID fake halafu unaomba radhi watu wakusamehe, sasa uliowakosea huko mtaani kwako na nyumbani kwako watajuaje?
Au unawaomba msamaha members wa JF pekee?
 
Back
Top Bottom