Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 452
Passport na leseni ya udereva ni lazima kuwa nayo hata kama husafiri au huna gari.Wakuu kesho Ilikuwa nianze safari ya kwenda German kwenye tour ya kimasomo, baada ya kukidhi vigezo vyote jamaa wakasema tutupeme bio data of password, bahati mbaya mimi hata passport Sina aisee wenzangu wakatuma kesho wanaanza safari.
Tour hii ipo sponsored na chuo chetu apa jijini dar na chuo rafiki kilichopo Germany.
Wakuu kesho Ilikuwa nianze safari ya kwenda German kwenye tour ya kimasomo, baada ya kukidhi vigezo vyote jamaa wakasema tutupeme bio data of password, bahati mbaya mimi hata passport Sina aisee wenzangu wakatuma kesho wanaanza safari.
Tour hii ipo sponsored na chuo chetu apa jijini dar na chuo rafiki kilichopo Germany.
Itikadi za pastorUvuke mipaka ya nje bila passport??