super black
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 566
- 533
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wabongo wanajulikana kwa uroho wa nyama mkuu.Wanaweza beba mapande kumi asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmmh alafu wali wanapika wanawake?chezea nyama wewehahahaaahhahah, ngoja nitoke nje ya mada kidogo!
Nyama sijui ina nini kwa kweli! kuna makabila huku kanda ya Ziwa wenyewe ikiwa mfano ni kwenye shereha au msiba NYAMA INAPIKWA NA WANAUME, hahahhahhahahahahh. acheni nyama iitwe nyama!!!!!
HhahahahahaNinawaoneaga sana huruma wanaume pale wanaposema 'ladies first'.
Hyo kaziiiiWanaelewa kazi yake maana mtu unaweza beba nyama zote ukabeba na mifukoni zingine huku utachukua wakati huo huo unaanza hapo hapo kutafuna
Ukiandaa sherehe andaa nyama ya kutoshaMara nyingi mboga uzidi chakula chenyewe. Uwezi kupika mchele kilo mia na nyama kilo mia hizo hizo hivyo kwa hesabu hiyo mboga ni kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miss chaga ww sasa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]me ndiyo maana sikai mbali na muhudumu wa nyama na vinyaji huwa lazima niwafanye marafiki
hahahaaahhahah, ngoja nitoke nje ya mada kidogo!
Nyama sijui ina nini kwa kweli! kuna makabila huku kanda ya Ziwa wenyewe ikiwa mfano ni kwenye shereha au msiba NYAMA INAPIKWA NA WANAUME, hahahhahhahahahahh. acheni nyama iitwe nyama!!!!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji115] wahuni hawana hizoNinawaoneaga sana huruma wanaume pale wanaposema 'ladies first'.
Mkuu unakuta umechangia