Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello!
Kama kitu mwanadamu anapaswa kujuta akikosa basi ni Roho Mtakatifu.
Kitu cha thamani mno.
Mtu aliyejawa Roho Mtakatifu na akaishi kwa kusikiliza sauti ya Roho Mtakatifu hawezi kusumbuka kwa jambo lolote.
Natamani watu wote wapate kipawa hiki cha Roho Mtakatifu ili wapate suluhisho la kudumu la matatizo yao.
Wasitangetange na kutumia gharama kubwa kutafuta uponyaji na suluhu za matatizo yao.
Ingekuwa vizuri ule umati wa juzi kwa Mwamposa wangeombewa wajawe na Roho Mtakatifu wote ili wapate suluhisho la kudumu la matatizo yao, maana wale watu walienda pale kwasababu ya matatizo ya kifedha, ndoa, kesi, kazi na magonjwa.
Kwenye somo la Roho Mtakatifu kuna vipengele vingi. Kama nitapata watu angalau 10 walio tayari nitawafundisha hapa kwa siku 5-7 bure. Nitawafundisha vipengele vifuatavyo;
1. Roho Mtakatifu (maana na asili yake)
2.Umuhimu wa Roho Mtakatifu (kazi ya Roho Mtakatifu)
3. Namna mtu anapata Roho Mtakatifu
4. Utofauti wa Roho Mtakatifu na roho mchafu (kupambanua roho)
5. Ubatizo wa Roho Mtakatifu
6. Karama kuu 9 za Roho Mtakatifu (Nitachambua moja hadi moja)
7. Huduma na vipawa
8 Huduma ya kinabii na karama ya unabii (utofauti na uwiano wake).
9. Kusikiliza sauti ya Roho Mtakatifu ( kujua kutofautisha sauti ya ibilisi, ya Mungu na sauti yako binafsi. Hapa pia tagusia ndoto za kipepo, za Kimungu na za mwanadamu.
10. Nitajibu maswali.
Amina.
Kama kitu mwanadamu anapaswa kujuta akikosa basi ni Roho Mtakatifu.
Kitu cha thamani mno.
Mtu aliyejawa Roho Mtakatifu na akaishi kwa kusikiliza sauti ya Roho Mtakatifu hawezi kusumbuka kwa jambo lolote.
Natamani watu wote wapate kipawa hiki cha Roho Mtakatifu ili wapate suluhisho la kudumu la matatizo yao.
Wasitangetange na kutumia gharama kubwa kutafuta uponyaji na suluhu za matatizo yao.
Ingekuwa vizuri ule umati wa juzi kwa Mwamposa wangeombewa wajawe na Roho Mtakatifu wote ili wapate suluhisho la kudumu la matatizo yao, maana wale watu walienda pale kwasababu ya matatizo ya kifedha, ndoa, kesi, kazi na magonjwa.
Kwenye somo la Roho Mtakatifu kuna vipengele vingi. Kama nitapata watu angalau 10 walio tayari nitawafundisha hapa kwa siku 5-7 bure. Nitawafundisha vipengele vifuatavyo;
1. Roho Mtakatifu (maana na asili yake)
2.Umuhimu wa Roho Mtakatifu (kazi ya Roho Mtakatifu)
3. Namna mtu anapata Roho Mtakatifu
4. Utofauti wa Roho Mtakatifu na roho mchafu (kupambanua roho)
5. Ubatizo wa Roho Mtakatifu
6. Karama kuu 9 za Roho Mtakatifu (Nitachambua moja hadi moja)
7. Huduma na vipawa
8 Huduma ya kinabii na karama ya unabii (utofauti na uwiano wake).
9. Kusikiliza sauti ya Roho Mtakatifu ( kujua kutofautisha sauti ya ibilisi, ya Mungu na sauti yako binafsi. Hapa pia tagusia ndoto za kipepo, za Kimungu na za mwanadamu.
10. Nitajibu maswali.
Amina.