upo sahihi nduguAsante sana kila mmoja a subscribe uzi huu.
Upo umuhimu mkubwa kuliko vyote kuelewa issue ya Roho Mtakatifu, maana kadri tunavyoenda atakuwa anaondoka mioyoni mwa wa watu, hata sasa wapo ambao Roho huyu ameondoka kwao, lkn ni muhimu kuelewa namna gani anaweza kuwa ndani ya mtu na vitu gani anaweza asipate nafasi ya kuwapo ndani yako.
Tukisikia neno MMONYOKO WA MAADILI maana yake kuondoka kwa Roho Mtakatifu mioyoni mwa watu
we jamaa ipo hivi ili umuone tafuta amani ya moyo wako mfano fanya mambo ambayo mtu mwenye roho/tabia nzuri hufanya muige/iga matendo ukisha fanya/kuiga hayo yake akili nayo itapelekwa na MUNGU maana akili kwa kawaida kama humjui MUNGU ina maana kama roho sa ipo ivi kama unaroho/tabia/matendo ya watu wa matendo mazuri na kutenda wanayotenda ni lazima uwe na Roho mtakatifu/akili iliyo kamilika.kingine mambo yasiyofanywa na hao wenye Roho mtakatifu/akili iliyo kamili na wewe usifanye hapo utamuona mpaka MUNGUUnaweza kumuona kwa macho yapi?
Maelezo mengi ni dalili ya ubatiliwe jamaa ipo hivi ili umuone tafuta amani ya moyo wako mfano fanya mambo ambayo mtu mwenye roho/tabia nzuri hufanya muige/iga matendo ukisha fanya/kuiga hayo yake akili nayo itapelekwa na MUNGU maana akili kwa kawaida kama humjui MUNGU ina maana kama roho sa ipo ivi kama unaroho/tabia/matendo ya watu wa matendo mazuri na kutenda wanayotenda ni lazima uwe na Roho mtakatifu/akili iliyo kamilika.kingine mambo yasiyofanywa na hao wenye Roho mtakatifu/akili iliyo kamili na wewe usifanye hapo utamuona mpaka MUNGU
Kama huwezi kumuona roho mtakatifu, Ulijuaje yupo?Roho mtakatifu ni roho huwez kumuona kwa macho ya damu na nyama
Upepo umewahi kuuona?Kama huwezi kumuona roho mtakatifu, Ulijuaje yupo?
Na unathibitishaje yupo?
Kuna watu ambao hawampokei Yesu ili wazaliwe mara ya pili. Waislam, Buddha, Hindu, Chinese etc! Vipi hao ni motoni moja kwa moja?Baada ya kumpokea Yesu Kristo na kuzaliwa upya, yani kubatizwa, ulizaliwa katika familia mpya ya Kristo Yesu.
Awali tulikua chini ya Dhambi na hukumu ya damu asilia ya adamu lakini baada ya kumpokea Yesu, ulizaliwa upya, katika familia ya kiMungu. Roho Mtakatifu Yu nawe, unahitaji kuzungumza nae na kumuomba.
Yoeli 2:28 BHN
[28] “Kisha hapo baadaye nitaimimina roho yangu juu ya binadamu wote. Watoto wenu wa kike na wa kiume watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono.
Haya ni maneno ya nabii Yoeli, Roho Mtakatifu ndie msaidizi wetu, Tena tuna neema sana kua nae tofauti na watu walioishi kabla ya Yesu, ilibidi wamtafute Kuhani. Lakini Kuhani wetu ni Yesu, na roho wake you nasi siku zote kutusikiliza, kutufundisha na kutuongoza namna ya kuishi maisha yanayompendeza Mungu.
inaweza ikawa ubatili lakini sio sawa jamaaMaelezo mengi ni dalili ya ubatili
ila inaweza kuwa batili lakini sio batiliMaelezo mengi ni dalili ya ubatili
Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika, kuhisika na kupimika.Upepo umewahi kuuona?
Effects za upepo ndizo hutambulisha kuwa kuna upepo.
Joto umewahi kuliona?
Ni effects zake ndizo hutoa majibu.
The same to Holy spirit
ila upo sawa bora kuwa na amani ya moyo sema cha msingi ni tenda wema kwa wote wema na wabayaPoa.nadhani ila sina uhakika km yupo au hayupo
Kumpokea Kristo si kuamini tu, ni kumkiri na kumfuata.Kuna watu ambao hawampokei Yesu ili wazaliwe mara ya pili. Waislam, Buddha, Hindu, Chinese etc! Vipi hao ni motoni moja kwa moja?
Thibitisha roho mtakatifuAsante sana kila mmoja a subscribe uzi huu.
Upo umuhimu mkubwa kuliko vyote kuelewa issue ya Roho Mtakatifu, maana kadri tunavyoenda atakuwa anaondoka mioyoni mwa wa watu, hata sasa wapo ambao Roho huyu ameondoka kwao, lkn ni muhimu kuelewa namna gani anaweza kuwa ndani ya mtu na vitu gani anaweza asipate nafasi ya kuwapo ndani yako.
Tukisikia neno MMONYOKO WA MAADILI maana yake kuondoka kwa Roho Mtakatifu mioyoni mwa watu
Mungu yupi?Kumpokea Kristo si kuamini tu, ni kumkiri na kumfuata.
Neno la Mungu linatuhimiza kumfuata Yeye kwa moyo wetu wote.
* Mathayo 16:24: "Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, 'Ikiwa mtu yeyote anataka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, achukue msalaba wake, anifuate.'"
* Yohana 10:27: "Kondoo zangu husikia sauti yangu, nami huwajua, nao hunifuata."
* Kumbukumbu la Torati 13:4: "Mfuateni Bwana, Mungu wenu, mcheni, mshikeni, mtiini, mmtumikieni, na kushikamana naye."
Kumfuata Mungu kunamaanisha kuweka imani yetu kwake, kumtii, na kumtumikia. Ni kujitoa kwa Mungu na kuishi maisha ambayo yanampendeza.
Huwezi kua kumpokea Kristo na kubaki ulivyo.
Kivipiinaweza ikawa ubatili lakini sio sawa jamaa
Imeandikwa hiviThibitisha roho mtakatifu
SawaAnza somo kiongozi Nishashika notebook na pen tayari
Kuandikwa sio tatizo , kama ni kuandikwa tu wanadamu wameandika mambo mengi sana, kama wewe unae huyo roho mtakatifu unashindwaje kuthibitisha sasa ?Imeandikwa hivi
ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui;......
Yohana 14:17
Ili nithibitishe ukiri hapa unamwamini Yesu Kristo kama Bwana na mwokozi.
Nje na hapo nitakuwa naweka pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, hawezi kutambua uthamani wake
Nathibitisha ninayeKuandikwa sio tatizo , kama ni kuandikwa tu wanadamu wameandika mambo mengi sana, kama wewe unae huyo roho mtakatifu unashindwaje kuthibitisha sasa ?