Roho Mtakatifu ndiye suluhisho la kudumu la matatizo ya mwanadamu

Nathibitisha ninaye
OK hakuna Mungu , sijui na huyo roho mtakatifu pia hayupo zaidi ya kwenye fikra za waaumni tu , binadamu ili aweze kuendelea kwa chochote wala haitaji kuamini hayo mambo , japo imani za watu tunaziheshimu tu , kwa sababu kila mtu anayo haki ya kuamini anavyotaka.
 
Hiyo
nayo ni imani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…