Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na mazingira!!kama umeziokota na ni ngumu kujulikana hapo utakuwa ni ujinga mkubwa sana!!lakini kama umetumiwa kimakosa au umezikuta kwenye account yako na ukazichukua,hapo umetafuta matatizo lazima utafungwa tuHivi nikupe hela yote hii halafu wewe unipe 0.0037 ya pesa niliyokurudishia?
makubwa๐๐๐
hii nafasi isimkute Poker tafadhali ๐ ๐ ๐
watu na roho zenu
View attachment 2565167
Ulikuwa nayo hiyo laki mbili?Hivi nikupe hela yote hii halafu wewe unipe 0.0037 ya pesa niliyokurudishia?
makubwa๐๐๐
hii nafasi isimkute Poker tafadhali ๐ ๐ ๐
watu na roho zenu
View attachment 2565167
Hivi nikupe hela yote hii halafu wewe unipe 0.0037 ya pesa niliyokurudishia?
makubwa๐๐๐
hii nafasi isimkute Poker tafadhali ๐ ๐ ๐
watu na roho zenu
View attachment 2565167Jata asingepewa ametimiza wajibu wake
Kwa kweli mie nikizikuta kwenye amount yangu nazichukua hiyo ya kufingwa itajulikana mbele kwa mbeleInategemea na mazingira!!kama umeziokota na ni ngumu kujulikana hapo utakuwa ni ujinga mkubwa sana!!lakini kama umetumiwa kimakosa au umezikuta kwenye account yako na ukazichukua,hapo umetafuta matatizo lazima utafungwa tu
Unafungwa kwa makosa yapi?Inategemea na mazingira!!kama umeziokota na ni ngumu kujulikana hapo utakuwa ni ujinga mkubwa sana!!lakini kama umetumiwa kimakosa au umezikuta kwenye account yako na ukazichukua,hapo umetafuta matatizo lazima utafungwa tu
Heeee!!!kuna sheria ipo kabisa,wanasheria watatusaidia lakini ipo,ndio maana siku hizi ukikosea kutuma pesa na huyo mtu akawahi kuzitoa ukienda polisi,unafungua kesi ya jinai na akikamatwa ni kosa la jinai!!
Miaka kadhaa nyuma nilikuta kama 1.5-2m hivi kwa akaunti yangu ya benki . Nikauliza customer care wakasema nimelipwa ni pesa ya mshahara. Ilhali mshahara wangu ulikua haupiti kwao.Inategemea na mazingira!!kama umeziokota na ni ngumu kujulikana hapo utakuwa ni ujinga mkubwa sana!!lakini kama umetumiwa kimakosa au umezikuta kwenye account yako na ukazichukua,hapo umetafuta matatizo lazima utafungwa tu