Angejichanganya akosee kutuma kwangu,, yaan naenda kwa wakala natoa,, narudi home naacha kila ktu kuanzia smu, lain, vitambulisho vyangu vyote,, vyeti vyangu vyootee, nguo zangu zote,,,, kasoro nlizovaa. Natafuta nguo zlizochoka choka,, raf rafu nazivaa, chini napiga kandambili,, natafta kibeg cha mtumba chenye muonekano duni afu nazijaza zle hela,, napanda basi/lori natokomea kuskojulikana bush vijijini huko,, naenda ishi kwa jina lngne, nabadlisha mpaka muonekano kama nlikua nafuga ndevu basi nakua nakwangua zoteeeee!!