Hiyo siku haitafika Leo kwa sababu Vyombo vya ulinzi vya TANU ndio vikageuka kuwa vya Serikali baada ya Nyerere kupewa Uhuru UN na Dola ya muingereza kuondokaSiku jeshi litakapotambua majukumu yake kwa wananchi ndipo utakapokuwa mwisho wa CCM kwa sababu haitakuwa na base yeyote kwa wananchi.ππΎ
Vilikuwepo vyama vya, ZANU-PF, SWAPO, FRELIMO, ANC, MCP, UNIP, KANU, where are they, nchi zao hazikuwa na jeshi la polisi?Hiyo siku haitafika Leo kwa sababu Vyombo vya ulinzi vya TANU ndio vikageuka kuwa vya Serikali baada ya Nyerere kupewa Uhuru UN na Dola ya muingereza kuondoka
Nyerere hakuwaga Mjinga kukubali Upinzani wa 20% ππ
Kila kitu kina mwisho wake weweHiyo siku haitafika Leo kwa sababu Vyombo vya ulinzi vya TANU ndio vikageuka kuwa vya Serikali baada ya Nyerere kupewa Uhuru UN na Dola ya muingereza kuondoka
Nyerere hakuwaga Mjinga kukubali Upinzani wa 20% ππ
Vyama Vyote ulivyovitaja vilipigania Uhuru lakini Tanu Ilipewa UhuruVilikuwepo vyama vya, ZANU-PF, SWAPO, FRELIMO, ANC, MCP, UNIP, KANU, where are they, nchi zao hazikuwa na jeshi la polisi?
Utabaki na mawazo ya Nyerere kwa muda gani? Change is inevitable.
Ndio sababu nimesema Siyo " Leo"Kila kitu kina mwisho wake wewe
Sawa viko wapi?Vyama Vyote ulivyovitaja vilipigania Uhuru lakini Tanu Ilipewa Uhuru
Sidhani kama utaelewa πΌπ
Kasema "kila kitu kina mwisho wake", hata mimi sijasema leo, nimesemaNdio sababu nimesema Siyo " Leo"
Viko vilikoSawa viko wapi?
Hiyo nilikuwa namjibu Mshana πKasema kila kitu kuna mwisho wake, hata mimi sijasema leo, nimesema
"Siku jeshi litakapotambua majukumu yake kwa wananchi ndipo utakapokuwa mwisho wa CCM".
Ndio ukweli mkuu Mshana.Siku jeshi litakapotambua majukumu yake kwa wananchi ndipo utakapokuwa mwisho wa CCM kwa sababu haitakuwa na base yeyote kwa wananchi.ππΎ
Ubaya viongozi wa Jeshi ni makada wa CCMUsiporuhusu ushindani kwenye biashara yako huwezi kujua ubora wa bidhaa zako kwenye soko, vile vile usiporuhusu uchaguzi huru huwezi kujua kama wananchi bado wanakiunga mikono chama chako.
Imagine Simba aikimbie Yanga kwenye mechi na mwisho wa ligi Yanga atangazwe bingwa, au Azam TV aikimbie ITV mwisho wa siku atambe yeye ni Superbrand.
Kumuengua au kumkimbia mpinzani wako ni dalili za uoga au kuishiwa mbinu.
Siku jeshi litakapotambua majukumu yake kwa wananchi ndipo utakapokuwa mwisho wa CCM kwa sababu haitakuwa na base yeyote kwa wananchi.
CC. Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete.
Ushawishi wa CCM kwa wananchi umepungua sana ni suala la muda tu kitasahaulika.Ndio ukweli mkuu Mshana.
Na wanajua ukweli huu ndio maana wanafanya hadi ushetani ambao hata shetani hakuwahi kufanya kwenye uchaguzi huu.
Viongozi nao huchokaUbaya viongozi wa Jeshi ni makada wa CCM
Hiyo siku itafika watu watakalozaliana mpaka vijijini vijana wakakosa mashamba ya kulima; nchi yote itakapogeuka ya wapiga debe, machinga, wacheza kamari n.k; mbaya zaidi huko UVCCM n.k kutakuwa kumekorogeka, hakukaliki na kahuna fursa za uchawa na kubeba mikoba.Hiyo siku haitafika Leo kwa sababu Vyombo vya ulinzi vya TANU ndio vikageuka kuwa vya Serikali baada ya Nyerere kupewa Uhuru UN na Dola ya muingereza kuondoka
Nyerere hakuwaga Mjinga kukubali Upinzani wa 20% ππ
HakikaSiku jeshi litakapotambua majukumu yake kwa wananchi ndipo utakapokuwa mwisho wa CCM kwa sababu haitakuwa na base yeyote kwa wananchi.ππΎ
Kabla hujaandika kitu ni vyema kufanya utafiti japo kidogo tu ili kujiridhisha, Zimbabwe bado inaongozwa na ZANU PF, Namibia bado inaongozwa na SWAPO, Msumbiji bado yaongozwa na FRELIMO, Malawi inaongozwa na MCP, ANC bado imetoa raisi wa South Africa.Vilikuwepo vyama vya, ZANU-PF, SWAPO, FRELIMO, ANC, MCP, UNIP, KANU, where are they, nchi zao hazikuwa na jeshi la polisi?
Utabaki na mawazo ya Nyerere kwa muda gani? Change is inevitable.
Sio leo lakini sio mbali kama unavyotaka iweNdio sababu nimesema Siyo " Leo"
nakutafuta kaka tafadhali niPM, najaribu kukuPM inakataa kabisaSio leo lakini sio mbali kama unavyotaka iwe