Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

You talk some real stuffs but i hate the way u present your ideas, your foul language . your seem to be so poor men !!
 
Vipi kuhusu #maji ya baraka, vipi kuhusu #Olive oil, vipi kuhusu kuombea leso au nguo makanisani ?? Nao ni ushirikina ?
 
Chumvi it is biblical
 

Attachments

  • IMG_20181204_230410_020.JPG
    61.4 KB · Views: 77
Kuna ile hupendwi sasa unataka kudhihirisha kwamba unapendwa!! Nguvu itakayotumika hapa si ya kitoto, maana utatoa vichekesho na utani watu hawacheki na ndo kwanza wanavikosoa! Mungu atuepushe na hili balaa la kutopendwa
 
Kuna ile hupendwi sasa unataka kudhihirisha kwamba unapendwa!! Nguvu itakayotumika hapa si ya kitoto, maana utatoa vichekesho na utani watu hawacheki na ndo kwanza wanavikosoa! Mungu atuepushe na hili balaa la kutopendwa
Kuna mtu unamsimanga hapa[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]lakini upo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…