Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

Brother Mshna Jr Thanks Kwa Ushauri Huu Kama siyo Leo Basi Ni kesho Nilikuwa Naelekea huko Maana Nina kama 3Month Toka kidemu Flani Nitemane NacSuekuwa Nongwa kenyewe Kameenda Kwao Dodoma but

Nimetongoza Kwa Njia Zote Manzi Kama 10+ Wote Naambulia Patupu

Nikasema hii Siyo Kawaida yangu Maana huko Nyuma haikuwa hivyo Sa Sijui Natatuaje hii Shida Ndugu yangu Mshana ?
chukua muda wa kuzipumzisha hisia
 
Brother Mshna Jr Thanks Kwa Ushauri Huu Kama siyo Leo Basi Ni kesho Nilikuwa Naelekea huko Maana Nina kama 3Month Toka kidemu Flani Nitemane Nacho Imekuwa Nongwa kenyewe Kameenda Kwao Dodoma but

Nimetongoza Kwa Njia Zote Manzi Kama 10+ Wote Naambulia Patupu

Nikasema hii Siyo Kawaida yangu Maana huko Nyuma haikuwa hivyo Sa Sijui Natatuaje hii Shida Ndugu yangu Mshana ?
the moment of truth, mwambie waweza kwenda
 
Kama wewe si mmojawapo basi kwa vyovyote kuna mtu unamfahamu mwenye hili tatizo.. Anaweza kuwa ndugu jamaa ama rafiki... Ni jambo baya na lenye kutatiza mno... Watoto wa mtaani wanasema KIMAVI

Mind you sizungumzii ile kuchukiwa na mtu mmoja mmoja kwa sababu zisizoeleweka... Huwezi kupendwa na kila mtu.. Ni lazima haters wawepo... Ni watu wasiokupenda tu... Na huweza hata kujenga uadui mkubwa na wewe
Pia sizungumzii ishu za kisiasa, umaarufu, mali, mafanikio na uongozi... Kwakuwa hapa kuna watu automatically hawapendi kuwaona wengine wana maisha mengine positive tofauti na wao.. Kushindwa kwako ndio furaha yao.... Kadiri unavyofanikiwa kimaisha ndio maadui huongezeka.. Kwahiyo singumzii kwa muktadha huu pia

Nazungumzia kuhusu wale ambao kiasili bila kujali kama wanacho ama hawana.. Ni watu wenye nyota iliyofifia ama kufa kabisa... Hawapendwi at the first place... Hata kama hawajaongea chochote, hata kama hawajafanya chochote... Kwa mfano unafika mahali penye mkusanyiko wa watu... Mara zinapigwa kelele za mwizi bila hata hujajua nini kimetokea unakuwa mtuhumiwa wa kwanza... Anakuja chizi mahali mko wengi lakini anakunasa kibao wewe... Mnapita mahali kuna mbwa anawaacha wengine wote na kukuandama wewe.. Yaani ni karaha mwanzo mwisho

Hakuna kitu kinachokosa chanzo... Ama asili.... Mimba zinapotungwa huwa kuna vita ya kumgombea kiumbe atakayezaliwa.. Hapa kuna nguvu hasi na nguvu chanya.. Hii hutokea pia wakati wa kujifungua... Hii vita hutokea sehemu hizo mbili... Kumbuka mada ya manii zilizokosea njia, je kuna mimba za bahati mbaya?
Nguvu chanya ndio yenye nguvu zaidi, ni uumbaji uliokusudiwa na Maulana, ndio uumbaji wa nyota inayowaka lakini shetani na mawakala wake( wanga, wachawi na mabaradhuli) hupenda kufanya shindano na Maulana.. Kumbuka alishafanya hivyo pale Eden basi tambua hata leo hii anaendelea hajaacha
Hapo sasa kuna mambo mawili nyota yako inaweza kuwaka kwa njia chanya.. Utapendwa na karibia kila mtu kwa upole ucheshi, huruma, kujitoa kwako nk nk... Nyota yako ikiwaka kwa njia hasi utaogopeka na kila mmoja kwa matendo yako mabaya ya kikatili ya kutisha na ya kibaradhuli kabisa... Sasa nyota yako ikisimama kwenye 0 yaani sio hasi wala sio chanya ndio roho ya kukataliwa inapozaliwa... Yaani shetani alijaribu kukupoka kwenye chanya lakini akaishia kukuangusha njiani... Hapo ni tabu tupu

Sasa basi kama nilivyoeleza hapo juu shetani na mawakala wake daima ni watu wa mashindano... Hivyo akikukosa wakati wa kutungwa mimba, akikukosa wakati wa kuzaliwa, akikukosa wakati wa makuzi atakutafuta tu popote mpaka akupate! KIAJE!?

1. Kipindi cha balehe... Unapoingia hatua ya ukubwani.. Hatua ya kujitambua... Unaanza kutafakari maisha yako ya nyuma , wazazi ama walezi au ndugu waliokukuza.. Unaingalia jamii na kuhisi kutengwa... Hapa ukikosea tu na kumpa shetani nafasi umekwenda na maji.. Ataanza kukuonyesha vitu vidogo vidogo mno.. Atakuonyesha kuwa nyumbani hupendwi kama fulani, shuleni mwalimu fulani hakupendi... Marafiki nao unahisi hivyo hivyo... Taratibu unaanza kujichukia na kujiona hufai.. Unajenga inferiority complex, unajitenga na jamii na tayari roho ya kukataliwa inazaliwa...
Wazazi na walezi... Tuwe makini sana na hatua hii kwa vijana wetu.. Tuwasaidie waweze kuivuka salama...

2. Baada ya balehe ni kipindi cha ndoto nyingi... Kuota mafanikio, kuota umaarufu, kuota utajiri, kupendwa nknk... Hapa napo shetani hachezi mbali.. Ataanza kukuonyesha agemate wako walivyo na maisha mazuri na mafanikio... Na sometimes sio kwamba uko vibaya bali ni ile roho ya kutaka zaidi... Hapa sasa ndio unaingizwa rasmi kwenye ulimwengu wa maagano ya kuboost nyota bila kujua
Hiki ndio kipindi cha kutafuta ndele ya mvuto kwenye mapenzi, Pete za bahati, hirizi za mafanikio.. Wataalam wa kusafisha nyota nknk... Ukikubali kuuingia huu mkenge UMEKWISHA... utaenda kwa mganga kutafuta ndele.. Hakwambii madhara anakupa tuu.. Utaanza kuwa na mvuto utapendwa na kila mwanamke kuanzia chizi mbaya mzuri mlemavu mrefu kwenda chini, kipipa nknk wote watakuwa wako mpaka unakereka.. Ila mganga kakuficha kitu kimoja... Ndele ina life span.. Ikiisha utachukiwa mpaka na siafu.. Mapete ya bahati, hirizi za mafanikio, kusafisha nyota vyote hivi vina kikomo cha matumizi

3. Maisha ya ukubwani sasa... Hapa umepambana na changamoto za maisha umefeli na kufaulu... Umepita kwingi na kufanya mengi.. Umeshawahi kujaribu hata option no 2 ya mapete na mahirizi na kusafisha nyota.. Ukapata mafanikio ya muda.. Lakini baadae ukaanguka vibaya kabisa... Kwa Neema tu ukaweza kusimama tena sasa unataka kurudi hewani... Hapa hutaki tena njia ya giza...unataka njia ya nuru lakini kumbuka shetani bado yuko nawe hakuachi
Badala ya kukuacha uende njia sahihi.. Anakuelekeza kwa mitume na manabii wanakohubiri mafanikio na utajiri wa vitu viharibikavyo... Unarudi kule kule kwa wapiga ramli na waganga wasafisha nyota.. Unauziwa maji ya baraka vitambaa nk.. Unaanza kuhangaika kwenye masinagogi ya hawa watu na mwisho unakufa bila kupata ulichotarajia

Rafiki mpendwa pambana na hali yako, usimwache muumba wako hata nukta moja.. Hakuna binadamu aliyezaliwa na mwanamke anaweza kusafisha nyota yako ikasafishika milele.. HAKUNA.. hakuna mganga atakayeweza kukupa mafanikio yasiyo na maagano HAKUNA... hakuna Pete ya bahati isiyokosa mawaa HAKUNA... jaribu kuivua siku moja uone shughuli yake...
Usifuate mkumbo ila kama ukiona mambo hayaendi na kweli kabisa unajiona wewe mwenyewe una roho ya kukataliwa.. Basi simama na Mungu wako kwa imani yako huku ukijitakasa na chumvi... Ile asilia.. Chumvi haina gharama. Chumvi haina maagano.. Chumvi haina madhara... Itumie kawaida kwa kuogea ni chaja bora isiyochuja

Nakuombea....!!!

Jr[emoji769][emoji770] [emoji770] [emoji770] future pastor
Asante Jr. Umenifungua macho. Nimepata kitu hapa
 
Mkuu kuna wakati mwingine unaandika "point" na kuna nyakati unaandikaga "ugoro" mtupu. Hii thread ya leo kiasi fulani inafundisha kumtumainia MUUMBA, lakini umeharibu unaposema watu watumie "chumvi". Hapo unakuwa umeingiza ushirikina tayari.

Mkuu hakuna chemi chemi itoayo maji moto na maji baridi kwa wakati mmoja. Au chemi chemi itoayo maji "matamu" na maji "chumvi" kwa wakati mmoja. Wewe unatoa vyote kwa wakati mmoja, haiwezekani bhana. Kama umeamua kuwafundisha watu kumtegemea MUNGU, basi sisitiza hapo hapo kwenye MUNGU, na usiingize tena imani za kishirikina.
 
Mkuu, hapo kwenye kutumia chumvi hebu ongezea nyama tafadhali. Mada yako nzito sana aisee


Naomba kufahamu zaidi kuhusiana na hiyo tiba ya chumvi mkuu?

mshana Jr kaka vipi kuhusu kitunguu swaumu na matumizi yake kukwepa nguvu za giza na kiafya?
Tazama namna ambavyo wanadamu wanaacha kumtumainia MWOKOZI YESU KRISTO na kuitumainia "chumvi" iwasaidie. Mimi nimesoma Biblia yote, na siyo mara moja, sijaona mahali YESU KRISTO ameagiza tukipata matatizo hapa duniani tutumie chumvi.

Hii tiba ya kuogea chumvi ni imani ya kishirikina na ningewashauri Wakristo wenzangu tuache huu upuuzi na tumtumainie YESU KRISTO. Imeandikwa hivi; "Mjue sana MUNGU ili uwe na amani. Ndivyo mema yatakavyokujia. Uyapokee tafadhali mafunzo yatokayo kinywani mwake, na maneno yake yaweke moyoni mwako. Ukimrudia MWENYEZI utajengwa; ukiuondoa udhalimu mbali na nyumba yako"........ "Naye MWENYEZI atakuwa hazina yako, atakuwa ni fedha ya thamani kwako.....Utamwomba yeye naye atakusikia, nawe utazitimiliza nadhiri zako. Nawe utakusudia neno nalo litathibitika kwako; na mwanga utaziangazia njia zako". AYUBU 22:21-30

Tena YAKOBO akaandika hivi; "Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya? Na aombe.....Mtu wa kwenu amekuwa hajiwezi, na awaite wazee wa Kanisa nao wamwombee na kumpaka MAFUTA kwa jina la BWANA. Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule na BWANA atamwinua". WARAKA WA YAKOBO 5:13-15

Jamani, hakuna mahali imeandikwa tuitumainie "chumvi".
 
Mkuu kuna wakati mwingine unaandika "point" na kuna nyakati unaandikaga "ugoro" mtupu. Hii thread ya leo kiasi fulani inafundisha kumtumainia MUUMBA, lakini umeharibu unaposema watu watumie "chumvi". Hapo unakuwa umeingiza ushirikina tayari.

Mkuu hakuna chemi chemi itoayo maji moto na maji baridi kwa wakati mmoja. Au chemi chemi itoayo maji "matamu" na maji "chumvi" kwa wakati mmoja. Wewe unatoa vyote kwa wakati mmoja, haiwezekani bhana. Kama umeamua kuwafundisha watu kumtegemea MUNGU, basi sisitiza hapo hapo kwenye MUNGU, na usiingize tena imani za kishirikina.
.... Naandika ugoro mtupu.... Naona huufahamu ulimwengu wa giza vizuri... Chumvi na mchawi ni vitu viwili tofauti kabisa na pia kumbuka Bwana Yesu alitumia chumvi hiyo hiyo kutakasa na hata maji ya baraka yanatengenezwa kwa kutumia chumvi ingia hapa kwa elimu zaidi.... jinsi ya kuchaji maji
 
...usimwache muumba wako hata nukta moja.. Hakuna binadamu aliyezaliwa na mwanamke anaweza kusafisha nyota yako ikasafishika milele.. HAKUNA.. hakuna mganga atakayeweza kukupa mafanikio yasiyo na maagano HAKUNA... hakuna Pete ya bahati isiyokosa mawaa HAKUNA... jaribu kuivua siku moja uone shughuli yake... Maudhui hii ni muhimu sana kuielewa!
 
...usimwache muumba wako hata nukta moja.. Hakuna binadamu aliyezaliwa na mwanamke anaweza kusafisha nyota yako ikasafishika milele.. HAKUNA.. hakuna mganga atakayeweza kukupa mafanikio yasiyo na maagano HAKUNA... hakuna Pete ya bahati isiyokosa mawaa HAKUNA... jaribu kuivua siku moja uone shughuli yake... Maudhui hii ni muhimu sana kuielewa!
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
.... Naandika ugoro mtupu.... Naona huufahamu ulimwengu wa giza vizuri... Chumvi na mchawi ni vitu viwili tofauti kabisa na pia kumbuka Bwana Yesu alitumia chumvi hiyo hiyo kutakasa na hata maji ya baraka yanatengenezwa kwa kutumia chumvi ingia hapa kwa elimu zaidi.... jinsi ya kuchaji maji
Naomba unioneshe kifungu kwenye Biblia kinachosema BWANA YESU, alitumia "chumvi" kutakasa.
 
Mkuu kuna wakati mwingine unaandika "point" na kuna nyakati unaandikaga "ugoro" mtupu. Hii thread ya leo kiasi fulani inafundisha kumtumainia MUUMBA, lakini umeharibu unaposema watu watumie "chumvi". Hapo unakuwa umeingiza ushirikina tayari.

Mkuu hakuna chemi chemi itoayo maji moto na maji baridi kwa wakati mmoja. Au chemi chemi itoayo maji "matamu" na maji "chumvi" kwa wakati mmoja. Wewe unatoa vyote kwa wakati mmoja, haiwezekani bhana. Kama umeamua kuwafundisha watu kumtegemea MUNGU, basi sisitiza hapo hapo kwenye MUNGU, na usiingize tena imani za kishirikina.
Mkuu mi mwenyew naijua biblia vizur, ilaa nakushauri ukaisome vizuri.
Acha kupanik bro..

Ni hv Yesu mwenyew alimtibu yule kipofu kwa kutumia matope Refer. The book of Luke
Pia Paulo alimwambia Timotheo atumie kilevi kwa ajil ya uponyaji wa tumbo lake. Likewise Mfalme Naaman aliambiwa na Elisha akajichovye mtoni mara 7 na ukoma wake ukaisha.
Ipo mifano mingi tu, ukitaka nitaendelea kukutajia, ila cha muhmu faham kuwa Mungu kuna wakat anaponya kwa kutumia vtu mbalimbali ikiwemo chumvi hata tope, na kingine ukijuacho.

Mungu n mpana kulko tumzaniavyo mkuu
 
Kama wewe si mmojawapo basi kwa vyovyote kuna mtu unamfahamu mwenye hili tatizo.. Anaweza kuwa ndugu jamaa ama rafiki... Ni jambo baya na lenye kutatiza mno... Watoto wa mtaani wanasema KIMAVI

Mind you sizungumzii ile kuchukiwa na mtu mmoja mmoja kwa sababu zisizoeleweka... Huwezi kupendwa na kila mtu.. Ni lazima haters wawepo... Ni watu wasiokupenda tu... Na huweza hata kujenga uadui mkubwa na wewe
Pia sizungumzii ishu za kisiasa, umaarufu, mali, mafanikio na uongozi... Kwakuwa hapa kuna watu automatically hawapendi kuwaona wengine wana maisha mengine positive tofauti na wao.. Kushindwa kwako ndio furaha yao.... Kadiri unavyofanikiwa kimaisha ndio maadui huongezeka.. Kwahiyo singumzii kwa muktadha huu pia

Nazungumzia kuhusu wale ambao kiasili bila kujali kama wanacho ama hawana.. Ni watu wenye nyota iliyofifia ama kufa kabisa... Hawapendwi at the first place... Hata kama hawajaongea chochote, hata kama hawajafanya chochote... Kwa mfano unafika mahali penye mkusanyiko wa watu... Mara zinapigwa kelele za mwizi bila hata hujajua nini kimetokea unakuwa mtuhumiwa wa kwanza... Anakuja chizi mahali mko wengi lakini anakunasa kibao wewe... Mnapita mahali kuna mbwa anawaacha wengine wote na kukuandama wewe.. Yaani ni karaha mwanzo mwisho

Hakuna kitu kinachokosa chanzo... Ama asili.... Mimba zinapotungwa huwa kuna vita ya kumgombea kiumbe atakayezaliwa.. Hapa kuna nguvu hasi na nguvu chanya.. Hii hutokea pia wakati wa kujifungua... Hii vita hutokea sehemu hizo mbili... Kumbuka mada ya manii zilizokosea njia, je kuna mimba za bahati mbaya?
Nguvu chanya ndio yenye nguvu zaidi, ni uumbaji uliokusudiwa na Maulana, ndio uumbaji wa nyota inayowaka lakini shetani na mawakala wake( wanga, wachawi na mabaradhuli) hupenda kufanya shindano na Maulana.. Kumbuka alishafanya hivyo pale Eden basi tambua hata leo hii anaendelea hajaacha
Hapo sasa kuna mambo mawili nyota yako inaweza kuwaka kwa njia chanya.. Utapendwa na karibia kila mtu kwa upole ucheshi, huruma, kujitoa kwako nk nk... Nyota yako ikiwaka kwa njia hasi utaogopeka na kila mmoja kwa matendo yako mabaya ya kikatili ya kutisha na ya kibaradhuli kabisa... Sasa nyota yako ikisimama kwenye 0 yaani sio hasi wala sio chanya ndio roho ya kukataliwa inapozaliwa... Yaani shetani alijaribu kukupoka kwenye chanya lakini akaishia kukuangusha njiani... Hapo ni tabu tupu

Sasa basi kama nilivyoeleza hapo juu shetani na mawakala wake daima ni watu wa mashindano... Hivyo akikukosa wakati wa kutungwa mimba, akikukosa wakati wa kuzaliwa, akikukosa wakati wa makuzi atakutafuta tu popote mpaka akupate! KIAJE!?

1. Kipindi cha balehe... Unapoingia hatua ya ukubwani.. Hatua ya kujitambua... Unaanza kutafakari maisha yako ya nyuma , wazazi ama walezi au ndugu waliokukuza.. Unaingalia jamii na kuhisi kutengwa... Hapa ukikosea tu na kumpa shetani nafasi umekwenda na maji.. Ataanza kukuonyesha vitu vidogo vidogo mno.. Atakuonyesha kuwa nyumbani hupendwi kama fulani, shuleni mwalimu fulani hakupendi... Marafiki nao unahisi hivyo hivyo... Taratibu unaanza kujichukia na kujiona hufai.. Unajenga inferiority complex, unajitenga na jamii na tayari roho ya kukataliwa inazaliwa...
Wazazi na walezi... Tuwe makini sana na hatua hii kwa vijana wetu.. Tuwasaidie waweze kuivuka salama...

2. Baada ya balehe ni kipindi cha ndoto nyingi... Kuota mafanikio, kuota umaarufu, kuota utajiri, kupendwa nknk... Hapa napo shetani hachezi mbali.. Ataanza kukuonyesha agemate wako walivyo na maisha mazuri na mafanikio... Na sometimes sio kwamba uko vibaya bali ni ile roho ya kutaka zaidi... Hapa sasa ndio unaingizwa rasmi kwenye ulimwengu wa maagano ya kuboost nyota bila kujua
Hiki ndio kipindi cha kutafuta ndele ya mvuto kwenye mapenzi, Pete za bahati, hirizi za mafanikio.. Wataalam wa kusafisha nyota nknk... Ukikubali kuuingia huu mkenge UMEKWISHA... utaenda kwa mganga kutafuta ndele.. Hakwambii madhara anakupa tuu.. Utaanza kuwa na mvuto utapendwa na kila mwanamke kuanzia chizi mbaya mzuri mlemavu mrefu kwenda chini, kipipa nknk wote watakuwa wako mpaka unakereka.. Ila mganga kakuficha kitu kimoja... Ndele ina life span.. Ikiisha utachukiwa mpaka na siafu.. Mapete ya bahati, hirizi za mafanikio, kusafisha nyota vyote hivi vina kikomo cha matumizi

3. Maisha ya ukubwani sasa... Hapa umepambana na changamoto za maisha umefeli na kufaulu... Umepita kwingi na kufanya mengi.. Umeshawahi kujaribu hata option no 2 ya mapete na mahirizi na kusafisha nyota.. Ukapata mafanikio ya muda.. Lakini baadae ukaanguka vibaya kabisa... Kwa Neema tu ukaweza kusimama tena sasa unataka kurudi hewani... Hapa hutaki tena njia ya giza...unataka njia ya nuru lakini kumbuka shetani bado yuko nawe hakuachi
Badala ya kukuacha uende njia sahihi.. Anakuelekeza kwa mitume na manabii wanakohubiri mafanikio na utajiri wa vitu viharibikavyo... Unarudi kule kule kwa wapiga ramli na waganga wasafisha nyota.. Unauziwa maji ya baraka vitambaa nk.. Unaanza kuhangaika kwenye masinagogi ya hawa watu na mwisho unakufa bila kupata ulichotarajia

Rafiki mpendwa pambana na hali yako, usimwache muumba wako hata nukta moja.. Hakuna binadamu aliyezaliwa na mwanamke anaweza kusafisha nyota yako ikasafishika milele.. HAKUNA.. hakuna mganga atakayeweza kukupa mafanikio yasiyo na maagano HAKUNA... hakuna Pete ya bahati isiyokosa mawaa HAKUNA... jaribu kuivua siku moja uone shughuli yake...
Usifuate mkumbo ila kama ukiona mambo hayaendi na kweli kabisa unajiona wewe mwenyewe una roho ya kukataliwa.. Basi simama na Mungu wako kwa imani yako huku ukijitakasa na chumvi... Ile asilia.. Chumvi haina gharama. Chumvi haina maagano.. Chumvi haina madhara... Itumie kawaida kwa kuogea ni chaja bora isiyochuja

Nakuombea....!!!

Jr[emoji769][emoji770] [emoji770] [emoji770] future pastor
Mkuu MshanaJR hetithe avae,
Aisee leo nimeshangaa ulivoidadavua hii mada kama vile haya maswahbu yameshakupata.. Maana umenena vyema kabisa, haya mambo yapo na yanasumbua Watu sana.

Ngoja nikae vizur nikuongezee nyama kweny hii mada maana nayajua mengi sana kuhusu kukatalika au wenyewe wanasema kupewa USO WA STARA (USO WA KUKATALIKA) sio kwa wanadamu tu bali hata kwa Mungu

Hii ni roho mbaya sana. Mi nasemaga ni mbaya kulko zote, maana ina mateso sana na ndio mara nyng inapelekea wengi kujiua
 
Usijali nikiipata takuonyesha
Levictus 2:13, Exodus 30: 34-35
Mkuu mshana jr hapa tusidanganyane kabisa. Leviticus 2:13(WALAWI) inasema hivi; "Tena kila toleo la sadaka yako ya unga utalitia chumvi; wala usiiache sadaka yako ya unga kupungukiwa na chumvi ya agano la MUNGU wako; utatoa chumvi pamoja na matoleo yako yote".

Hapo tunaona chumvi ilitolewa pamoja na unga kama sadaka, tena siyo chumvi tu, ukiendelea kusoma mstari wa 14, utaona maelekezo yanaendelea kusema kwenye unga huo wa sadaka waweke na mafuta na ubani. Hiyo ni sadaka ya kuteketezwa kwenye moto kwa ajili ya MUNGU.

Ni kama vile wewe ukipika chakula chako unaweka na chumvi na mafuta, basi hivyo hivyo ukimtolea MUNGU sadaka ya unga, unapaswa pia kuweka chumvi na mafuta na harufu nzuri ya ubani. Kifungu hichi ni irrelevant kabisa na hoja yako ya KUOGEA CHUMVI, yaani ni vitu viwili tofauti kabisa wala haviendani. Hakuna mahali Waisraeli waliagizwa waoge maji kwa kuyatia chumvi. Hakuna!

Kifungu kingine ni hicho cha Exodus 30:34-35(KUTOKA), hapa tunaona MUNGU anampa Musa maelekezo namna ya kutengeneza manukato kwa ajili ya kuweka ndani ya HEMA LA BWANA. Tena BWANA MUNGU, aliwakataza kabisa Waisraeli, mtu asije akatengeneza manukato kama hiyo kwa kutumia viungo vya aina hiyo na kisha kuitumia yeye binafsi. Manukato hiyo ilikuwa ni maalumu kwa ajili ya BWANA MUNGU, pekee. Ilikuwa ni manukato takatifu sana, na hakuna mwanadamu anaruhusiwa kuvuta harufu yake!

Hapa pia tunaona hakuna swala la chumvi, wala kuoga kwa maji yaliyotiwa CHUMVI! Hoja yako haiendani na hivyo vifungu vya Biblia ulivyonipa. Mimi nakataa kabisa, kuoga kwa maji yaliyotiwa chumvi kwa lengo la kuondoa "mikosi", ni kitendo cha "kishirikina" kabisa.

Narudia tena kusema, tukiwa kama Wakristo, na wewe mshana jr ukiwa kama MKRISTO pia, unapaswa kuweka imani yako na matumaini yako kwa YESU KRISTO, na siyo vinginevyo. YESU alisema hivi; "Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini, jipeni moyo; nimeushinda ulimwengu".
 
Mshana jr natamanii ungekuwa mzee wanguu...maana madini kama haya vijana ndani ya familia hatu ya pati.
 
Back
Top Bottom