Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Waambata wa Ali Kiba kwa nini hawafikagi mbali wanachuja mapema sana? cheki hawa Abdu Kiba,Hakeem 5,Abby Skills,Ommy Dimpoz,ToxStar,Spince....wote hawa sasa hivi wako juu ya mawe,Blue tu ndo naona anajikongoja kwa mbaaliiiiAjiunge na Ali Kiba katika kuurudisha muziki wa bolingo kwenye chart. Tuna-miss sana masebene
Kha! Kwani aliitwa pale?Wewe mleta mada ndò una roho ýa kwanini.
Wewe unataka Mavoko aendelee tu kuajiriwa pale WCB wakati nae ana malengo yake maishani
kesi imekua ngumu mkataba hauvunjwi na basata ndio mana kaulizwa kuna tatizo gani mpaka umeshindwa kukaa kajibu tatizo ndio nini mimba?Mbongo mpe kichwa cha habari tu kha! Kwani kesi si bado haijaisha huko kuumbuka kweupe aliko umbuka ni wapi jamani, mkuu acha nongwa
Sent using Jamii Forums mobile app