Roho ya utambuzi (Spiritual Discernment)

Roho ya utambuzi (Spiritual Discernment)

acha kupaniki Mambo ya Mungu ni zaidi ya ufahamu wa mwanadamu.
Kama mambo ya Mungu ni zaidi ya ufahamu wa mwanadamu, Uliwezaje kutumia ufahamu huo huo kujua Mungu huyo yupo?

Unathibitishaje Mungu huyo yupo kwa ufahamu huo ulio utumia kujua Mungu huyo yupo?
Ukiambiwa umba hata sisimizi utaweza wewe ??
Sisimizi hajaumbwa.

Kama sisimizi lazima awe ameumbwa, Basi hata Mungu lazima awe ameumbwa.
 
Kama mambo ya Mungu ni zaidi ya ufahamu wa mwanadamu, Uliwezaje kutumia ufahamu huo huo kujua Mungu huyo yupo?

Unathibitishaje Mungu huyo yupo kwa ufahamu huo ulio utumia kujua Mungu huyo yupo?

Sisimizi hajaumbwa.

Kama sisimizi lazima awe ameumbwa, Basi hata Mungu lazima awe ameumbwa.
😂😂😂😂😂
 
Kwanini nasema life is spiritual..
Kila jambo linaanzia rohoni

Usipoishugulisha akili (nafsi) yako kujua hivi vitu jiandae kuwa mtumwa, tena mtumwa haswa

Mtumwa wa mapenzi, mtumwa kifedha, na mtumwa kimaamuzi.

Mtu ni
i. Roho +
ii. Nafsi +
iii. Mwili.

Akili (mind) inakaa katika Nafsi, na mawazo sikuzote yanachakatwa katika nafsi ya mtu.
Japokuwa ubongo ndio unatunza kumbukumbu (memory) lakini pia Katika nafsi ya mtu hutunzwa kumbukumbu.

Roho:
Roho ndio kiungo ambacho kina nguvu na kinaweza kuwasiliana na Mungu au miungu moja kwa moja na kupokea taarifa au Nguvu ya kuweza kuitumia kufanya jambo lolote.
Kwani roho ndio imeumbwa kwa mfano wa Mungu.

Ukisoma kwenye maandiko utaona wakifundisha sana enendeni kwa roho wala msizifate tamaa za mwili.
wengi hawaelewi undani wa andiko hili.

Nguvu za kiroho:
Nguvu ya kiroho ndio hutumika kumtawala mwanadamu.

Sasa unapataje Nguvu za kiroho:
Nguvu za kiroho ambazo zinaweza kukusaidia kutawala dunia, kutenda miujiza na kupigana vita ya kiroho na mengine Mengi.

View attachment 2777732
Tumia mchoro huu kuelewa roho ni nini na inapokeaje nguvu za kiroho.

Nafsi yeye ni connecter tu, anatakiwa kukubali na kutii anachokisema roho lakini shida tulio wengi tumepuuza yote ambayo nafsi zetu zimeyasikia toka rohoni na kuamua kufata mawazo ya miili yetu yenye ujinga mwingi.

Tumesema Akili (mind) zinakaa katika nafsi.

Unapokua upo macho (conscious) akili yako itachakata kila jambo na kutolea maamuzi.

Unapokua usingizini mwili unakuwa huwezi kufanya kazi tena, na ndipo nafsi inapata uhuru mkubwa wa kuweza kumsikiliza bwana mkubwa Roho. Na kujua roho anasema nini.

Ukisikia jambo au sauti fulani sauti hiyo inakwenda kuchakatwa katika Conscious mind.

Lakini unapokuwa usingizini mwili umelala, huwezi tena kusikia na kupokea taarifa kutoka mwilini bali utapokea taarifa kutoka kwa Bwana mkubwa Roho na kuzitunza katika Subconscious mind.

Kisha ukiamka unaweza kukumbuka au kutokukumbuka ni picha gani na sauti gani uliziona na kusikia ukiwa usingizini.

Asilimia 95 Mungu na miungu wengine husema na binadamu akiwa usingizini. na asilimia kama 5 akiwa katika utulivu mkubwa sana wa tafakuri (meditation).

Roho ya utambuzi (Spiritual discernment)
Roho ya utambuzi ni uwezo wa kuweza kutambua jambo kwa undani wake kwa usahihi bila kusikiliza picha ya mwilini na sauti ya mdomoni.

Unaweza kugundua kuwa kauli anayoisema mtu fulani ni ya uwongo kwa sababu kilicho rohoni mwake na kinachomtoka mdomoni ni tofauti kabisa.

Unaweza kujua mtu ambaye anataka kuiendesha nafsi yako kama roho yako itakua Macho wakati wote.

Fanya Tafiti hii:
Kwa sasa wizi mkubwa na ushirikina katika utafutaji watu wengi wamekuwa wakitafuta dawa za kiganga àmbazo zitamsaidia kuteka nafsi ya mtu asiye na Nguvu za rohoni na kumfanyia utapeli.

Wazee wa kazi wakikukuta sehemu wakakusemesha na ukawapa attention ndani ya dakika mbili tu wanakuwa wameteka nafsi na akili zako kwahiyo wakisema chochote kile wewe ni kukubali na kutii.

Mfano mzuri tu pale kariakoo wafanya biashara wengi hii mbinu wanaitumia sana, kuna jirani yangu mmoja mwanachuo alizubaa mitaa ya kariakoo akiwa na elfu 80 mfukoni alijikuta kauziwa kaptula tano unconditionally, alikua kila anayopewa anakubali kuipokea na akalipa pesa yote aliyokuwa nayo.

Ukikaa kwenye maduka yenye hela sasa ndio balaa
Wakija wazee wa kazi anakusemesha tu jambo la kipuuzi wakati unamtafakari utajikuta unaanza kutii kila anachokisema na utajikuta unampa fedha bila kukusudia.

Chuma ulete za siku hizi ni mtu anakuja na kukukombea pesa na kusepa zake, baada ya dakika tano ndio unagundua umeibiwa.

Nitaelezea zaidi kuhusu Roho ya Utambuzi..

Itaendelea.

Usikubali kuendeshwa na roho chafu na vifaa vya kiroho wakati Power Supply ipo free bila kulipia Luku
Sawa
 
Kwanini nasema life is spiritual..
Kila jambo linaanzia rohoni

Usipoishugulisha akili (nafsi) yako kujua hivi vitu jiandae kuwa mtumwa, tena mtumwa haswa

Mtumwa wa mapenzi, mtumwa kifedha, na mtumwa kimaamuzi.

Mtu ni
i. Roho +
ii. Nafsi +
iii. Mwili.

Akili (mind) inakaa katika Nafsi, na mawazo sikuzote yanachakatwa katika nafsi ya mtu.
Japokuwa ubongo ndio unatunza kumbukumbu (memory) lakini pia Katika nafsi ya mtu hutunzwa kumbukumbu.

Roho:
Roho ndio kiungo ambacho kina nguvu na kinaweza kuwasiliana na Mungu au miungu moja kwa moja na kupokea taarifa au Nguvu ya kuweza kuitumia kufanya jambo lolote.
Kwani roho ndio imeumbwa kwa mfano wa Mungu.

Ukisoma kwenye maandiko utaona wakifundisha sana enendeni kwa roho wala msizifate tamaa za mwili.
wengi hawaelewi undani wa andiko hili.

Nguvu za kiroho:
Nguvu ya kiroho ndio hutumika kumtawala mwanadamu.

Sasa unapataje Nguvu za kiroho:
Nguvu za kiroho ambazo zinaweza kukusaidia kutawala dunia, kutenda miujiza na kupigana vita ya kiroho na mengine Mengi.

View attachment 2777732
Tumia mchoro huu kuelewa roho ni nini na inapokeaje nguvu za kiroho.

Nafsi yeye ni connecter tu, anatakiwa kukubali na kutii anachokisema roho lakini shida tulio wengi tumepuuza yote ambayo nafsi zetu zimeyasikia toka rohoni na kuamua kufata mawazo ya miili yetu yenye ujinga mwingi.

Tumesema Akili (mind) zinakaa katika nafsi.

Unapokua upo macho (conscious) akili yako itachakata kila jambo na kutolea maamuzi.

Unapokua usingizini mwili unakuwa huwezi kufanya kazi tena, na ndipo nafsi inapata uhuru mkubwa wa kuweza kumsikiliza bwana mkubwa Roho. Na kujua roho anasema nini.

Ukisikia jambo au sauti fulani sauti hiyo inakwenda kuchakatwa katika Conscious mind.

Lakini unapokuwa usingizini mwili umelala, huwezi tena kusikia na kupokea taarifa kutoka mwilini bali utapokea taarifa kutoka kwa Bwana mkubwa Roho na kuzitunza katika Subconscious mind.

Kisha ukiamka unaweza kukumbuka au kutokukumbuka ni picha gani na sauti gani uliziona na kusikia ukiwa usingizini.

Asilimia 95 Mungu na miungu wengine husema na binadamu akiwa usingizini. na asilimia kama 5 akiwa katika utulivu mkubwa sana wa tafakuri (meditation).

Roho ya utambuzi (Spiritual discernment)
Roho ya utambuzi ni uwezo wa kuweza kutambua jambo kwa undani wake kwa usahihi bila kusikiliza picha ya mwilini na sauti ya mdomoni.

Unaweza kugundua kuwa kauli anayoisema mtu fulani ni ya uwongo kwa sababu kilicho rohoni mwake na kinachomtoka mdomoni ni tofauti kabisa.

Unaweza kujua mtu ambaye anataka kuiendesha nafsi yako kama roho yako itakua Macho wakati wote.

Fanya Tafiti hii:
Kwa sasa wizi mkubwa na ushirikina katika utafutaji watu wengi wamekuwa wakitafuta dawa za kiganga àmbazo zitamsaidia kuteka nafsi ya mtu asiye na Nguvu za rohoni na kumfanyia utapeli.

Wazee wa kazi wakikukuta sehemu wakakusemesha na ukawapa attention ndani ya dakika mbili tu wanakuwa wameteka nafsi na akili zako kwahiyo wakisema chochote kile wewe ni kukubali na kutii.

Mfano mzuri tu pale kariakoo wafanya biashara wengi hii mbinu wanaitumia sana, kuna jirani yangu mmoja mwanachuo alizubaa mitaa ya kariakoo akiwa na elfu 80 mfukoni alijikuta kauziwa kaptula tano unconditionally, alikua kila anayopewa anakubali kuipokea na akalipa pesa yote aliyokuwa nayo.

Ukikaa kwenye maduka yenye hela sasa ndio balaa
Wakija wazee wa kazi anakusemesha tu jambo la kipuuzi wakati unamtafakari utajikuta unaanza kutii kila anachokisema na utajikuta unampa fedha bila kukusudia.

Chuma ulete za siku hizi ni mtu anakuja na kukukombea pesa na kusepa zake, baada ya dakika tano ndio unagundua umeibiwa.

Nitaelezea zaidi kuhusu Roho ya Utambuzi..

Itaendelea.

Usikubali kuendeshwa na roho chafu na vifaa vya kiroho wakati Power Supply ipo free bila kulipia Luku
Iko Elimu sahihi Ndani yako Mkuu!
 
Hivi hii “ROHO” kuna wengine huwa hatuna ama vipi?
 
Izo nguvu za kiroho unazitambua vip?? Unazitumia vip?
Tafuta maarifa, Uvivu unawasumbua watu...Tangu niufahamu ulimwengu wa kiroho kwa uchache wake nmeamini sisi binadamu hatujakamilika kuwa binadamu kamili kama tupo kimwili peke yake,, Nna mengi ya kusema ila niishie hapa
 
Kama mambo ya Mungu ni zaidi ya ufahamu wa mwanadamu, Uliwezaje kutumia ufahamu huo huo kujua Mungu huyo yupo?

Unathibitishaje Mungu huyo yupo kwa ufahamu huo ulio utumia kujua Mungu huyo yupo?

Sisimizi hajaumbwa.

Kama sisimizi lazima awe ameumbwa, Basi hata Mungu lazima awe ameumbwa.
Mada kama hizi unazipenda kwajili ya mabishano yako, Kuanzia sasa ungefanya tu mada za namna hii hazikuhusu hivyo unazipita tu..Maana huku wewe ni mweupe hauna unachokijua na haupo tayari kujua
 
Mada kama hizi unazipenda kwajili ya mabishano yako, Kuanzia sasa ungefanya tu mada za namna hii hazikuhusu hivyo unazipita tu..Maana huku wewe ni mweupe hauna unachokijua na haupo tayari kujua
Hamna majibu ya maswali yangu zaidi ya propaganda zenu mlizopumbazwa na kukaririshwa na dini zenu.

Ndio maana Hamuwezi kutoa hoja na majibu, ila mnatapa tapa tu kama wafa maji.
 
Hamna majibu ya maswali yangu zaidi ya propaganda zenu mlizopumbazwa na kukaririshwa na dini zenu.

Ndio maana Hamuwezi kutoa hoja na majibu, ila mnatapa tapa tu kama wafa maji.
ushuhuda wa mtu usiuite propaganda.

mimi ni muhanga wa jambo hili, usipo amini hivi vitu vipo mimi nakuona mjinga usie na akili moyoni.

Na Sikujui, uwenda ningekua nakujua ningekuonesha ishara zipi hata kwako zinatokea na hakuna kitu unaelewa.
 
Hamna majibu ya maswali yangu zaidi ya propaganda zenu mlizopumbazwa na kukaririshwa na dini zenu.

Ndio maana Hamuwezi kutoa hoja na majibu, ila mnatapa tapa tu kama wafa maji.
Wewe ni mjuaji na mjinga, Na ni heri ukaishia kuwa mjinga unaweza ukaelimishwa siku moja utafahamu mambo mengi yanayohusu ulimwengu, Ila siku ukivuka mstari ukaingia kwenye upumbavu utakua umeshapotea....

Huu ulimwengu una mambo mengi mno, Jitahidi ufahamu hata machache yatakusaidia...Hata mimi nmewahi kuwa mjuaji na mbishi kama wewe.
 
Kwanini nasema life is spiritual..
Kila jambo linaanzia rohoni

Usipoishugulisha akili (nafsi) yako kujua hivi vitu jiandae kuwa mtumwa, tena mtumwa haswa

Mtumwa wa mapenzi, mtumwa kifedha, na mtumwa kimaamuzi.

Mtu ni
i. Roho +
ii. Nafsi +
iii. Mwili.

Akili (mind) inakaa katika Nafsi, na mawazo sikuzote yanachakatwa katika nafsi ya mtu.
Japokuwa ubongo ndio unatunza kumbukumbu (memory) lakini pia Katika nafsi ya mtu hutunzwa kumbukumbu.

Roho:
Roho ndio kiungo ambacho kina nguvu na kinaweza kuwasiliana na Mungu au miungu moja kwa moja na kupokea taarifa au Nguvu ya kuweza kuitumia kufanya jambo lolote.
Kwani roho ndio imeumbwa kwa mfano wa Mungu.

Ukisoma kwenye maandiko utaona wakifundisha sana enendeni kwa roho wala msizifate tamaa za mwili.
wengi hawaelewi undani wa andiko hili.

Nguvu za kiroho:
Nguvu ya kiroho ndio hutumika kumtawala mwanadamu.

Sasa unapataje Nguvu za kiroho:
Nguvu za kiroho ambazo zinaweza kukusaidia kutawala dunia, kutenda miujiza na kupigana vita ya kiroho na mengine Mengi.

View attachment 2777732
Tumia mchoro huu kuelewa roho ni nini na inapokeaje nguvu za kiroho.

Nafsi yeye ni connecter tu, anatakiwa kukubali na kutii anachokisema roho lakini shida tulio wengi tumepuuza yote ambayo nafsi zetu zimeyasikia toka rohoni na kuamua kufata mawazo ya miili yetu yenye ujinga mwingi.

Tumesema Akili (mind) zinakaa katika nafsi.

Unapokua upo macho (conscious) akili yako itachakata kila jambo na kutolea maamuzi.

Unapokua usingizini mwili unakuwa huwezi kufanya kazi tena, na ndipo nafsi inapata uhuru mkubwa wa kuweza kumsikiliza bwana mkubwa Roho. Na kujua roho anasema nini.

Ukisikia jambo au sauti fulani sauti hiyo inakwenda kuchakatwa katika Conscious mind.

Lakini unapokuwa usingizini mwili umelala, huwezi tena kusikia na kupokea taarifa kutoka mwilini bali utapokea taarifa kutoka kwa Bwana mkubwa Roho na kuzitunza katika Subconscious mind.

Kisha ukiamka unaweza kukumbuka au kutokukumbuka ni picha gani na sauti gani uliziona na kusikia ukiwa usingizini.

Asilimia 95 Mungu na miungu wengine husema na binadamu akiwa usingizini. na asilimia kama 5 akiwa katika utulivu mkubwa sana wa tafakuri (meditation).

Roho ya utambuzi (Spiritual discernment)
Roho ya utambuzi ni uwezo wa kuweza kutambua jambo kwa undani wake kwa usahihi bila kusikiliza picha ya mwilini na sauti ya mdomoni.

Unaweza kugundua kuwa kauli anayoisema mtu fulani ni ya uwongo kwa sababu kilicho rohoni mwake na kinachomtoka mdomoni ni tofauti kabisa.

Unaweza kujua mtu ambaye anataka kuiendesha nafsi yako kama roho yako itakua Macho wakati wote.

Fanya Tafiti hii:
Kwa sasa wizi mkubwa na ushirikina katika utafutaji watu wengi wamekuwa wakitafuta dawa za kiganga àmbazo zitamsaidia kuteka nafsi ya mtu asiye na Nguvu za rohoni na kumfanyia utapeli.

Wazee wa kazi wakikukuta sehemu wakakusemesha na ukawapa attention ndani ya dakika mbili tu wanakuwa wameteka nafsi na akili zako kwahiyo wakisema chochote kile wewe ni kukubali na kutii.

Mfano mzuri tu pale kariakoo wafanya biashara wengi hii mbinu wanaitumia sana, kuna jirani yangu mmoja mwanachuo alizubaa mitaa ya kariakoo akiwa na elfu 80 mfukoni alijikuta kauziwa kaptula tano unconditionally, alikua kila anayopewa anakubali kuipokea na akalipa pesa yote aliyokuwa nayo.

Ukikaa kwenye maduka yenye hela sasa ndio balaa
Wakija wazee wa kazi anakusemesha tu jambo la kipuuzi wakati unamtafakari utajikuta unaanza kutii kila anachokisema na utajikuta unampa fedha bila kukusudia.

Chuma ulete za siku hizi ni mtu anakuja na kukukombea pesa na kusepa zake, baada ya dakika tano ndio unagundua umeibiwa.

Nitaelezea zaidi kuhusu Roho ya Utambuzi..

Itaendelea.

Usikubali kuendeshwa na roho chafu na vifaa vya kiroho wakati Power Supply ipo free bila kulipia Luku
Somo zuri sana hili; Hebu nikuombe kitu kimoja kwamba uniweke wazi namna ya kuzipata nguvu za kiroho na uweze kutambua yajayo. Eneo Hilo najiona ninamapungufu sana.
 
Back
Top Bottom