Mr Alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 273
- 765
Tajiri zaidi duniani, Elon Musk, ametangaza kuwa kupitia roketi za SpaceX, abiria wataweza kuruka kutoka Dar es Salaam hadi New York katika muda wa dakika 5 pekee.
Kwa sasa, inachukua masaa 16 Mpaka 20 kutoka Dar es Salaam hadi New York kwa ndege bila kutua.
Kwa sasa, inachukua masaa 16 Mpaka 20 kutoka Dar es Salaam hadi New York kwa ndege bila kutua.