Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, kweli mkuu, kama safari ya kutoka Dar es Salaam hadi New York inaweza kuwa ya dakika tano, basi tumeshavuka viwango! Hii siyo tu priority, ni kama tunapewa nafasi ya kuwa mabingwa wa kasi duniani.Kwa hiyo ameona atupe sisi priority mkuu kuanzia Dsm Hadi New york..
Tunaupiga mwingi sana hadi unamwagika
Hujajibu swali, unaelewa athari za speed kwenye mwili wa binadamu, sijasema haiwezekani, ila haiwezekani binamu kusafiri Kwa hiyo speed ya km 12440/ 5 minTeknolojia za sub-orbital flights, kama roketi za SpaceX na Blue Origin, tayari zinafanyiwa majaribio. Roketi hizi hupanda juu kwa kasi sana, zikikata dunia kwa njia fupi kupitia anga za juu. Kwa mfano, teknolojia kama hii inaweza kufanikisha safari ya dakika chache kati ya mabara.
Hatakama amemuelewa nadhani ni kitu haiwezekani, kombora ya Oreshnik yenyewe ina speed lakini bado itatumia dakika nyingi kupiga target ndani ya Europe, sasa iweje hichi chombo kitumie 5 mnts Dar to New York??? Uongo kabisa huuHAITAKAA KUWEZEKANA , LABDA KAMA HUJAMUELEWA
Unajua umbali kati ya Dar na New York? Ni 12459.54 km (12459.54 gawa 5x60) utapata 42km kwa sekunde moja!. Speed ya sauti ni 0.332km kwa sekunde moja!Kwa kuzingatia kanuni za physics, hakuna kikomo cha nadharia cha kasi. teknolojia zinazotegemea physics ya hali ya juu,
...Anahusikaje Hapo ? Tupunguze UCHAWA...Hakika mama samia amefanya makubwa sana,
Huyo siyo chawa, ila anahanikiza kamsemo ka machawa wapumbaf....Anahusikaje Hapo ? Tupunguze UCHAWA...