Wabongo wape headline tu...Amesema kabisa "kutoka Dar es Salaam mpaka New York"?
Unajua kuna urefu wa km ngapi kutoka poster hadi poster ya New yorkTajiri zaidi duniani, Elon Musk, ametangaza kuwa kupitia roketi za SpaceX, abiria wataweza kuruka kutoka Dar es Salaam hadi New York katika muda wa dakika 5 pekee.
Kwa sasa, inachukua masaa 16 Mpaka 20 kutoka Dar es Salaam hadi New York kwa ndege bila kutua.View attachment 3165407
Nimeipenda hiiAmesema kabisa "kutoka Dar es Salaam mpaka New York"?
Kwenye tech usiseme haitakuja kuwezekana. Ni swala la muda tu.HAITAKAA KUWEZEKANA , LABDA KAMA HUJAMUELEWA
Unaelewa athari za speed kwenye mwili wa binadamu ?Tajiri zaidi duniani, Elon Musk, ametangaza kuwa kupitia roketi za SpaceX, abiria wataweza kuruka kutoka Dar es Salaam hadi New York katika muda wa dakika 5 pekee.
Kwa sasa, inachukua masaa 16 Mpaka 20 kutoka Dar es Salaam hadi New York kwa ndege bila kutua.View attachment 3165407
Haiwezekani kwasabu kawaida passenger flights zinaishia 1.3G na binadamu anaweza mudu Hadi 4G mpaka 6. Na unahitaji mafunzoKwenye tech usiseme haitakuja kuwezekana. Ni swala la muda tu.
Ikiwa maombo unayo yaona huko angani yapo kwenye movement lakini huwezi ku gundua kwamacho ya kawaida basi jua ipo sika utakuja kuwezekana.
Kwenye Non Giavity Force inawezekana lakn siyo kwenye Gravity areaKwenye tech usiseme haitakuja kuwezekana. Ni swala la muda tu.
Ikiwa maombo unayo yaona huko angani yapo kwenye movement lakini huwezi ku gundua kwamacho ya kawaida basi jua ipo sika utakuja kuwezekana.
Unajua maana ya dakika tano?Tajiri zaidi duniani, Elon Musk, ametangaza kuwa kupitia roketi za SpaceX, abiria wataweza kuruka kutoka Dar es Salaam hadi New York katika muda wa dakika 5 pekee.
Kwa sasa, inachukua masaa 16 Mpaka 20 kutoka Dar es Salaam hadi New York kwa ndege bila kutua.View attachment 3165407
So ikija teknolojia ya kuishinda gravity bado mtasema haiwezekani?Kwenye Non Giavity Force inawezekana lakn siyo kwenye Gravity area
Teknolojia za sub-orbital flights, kama roketi za SpaceX na Blue Origin, tayari zinafanyiwa majaribio. Roketi hizi hupanda juu kwa kasi sana, zikikata dunia kwa njia fupi kupitia anga za juu. Kwa mfano, teknolojia kama hii inaweza kufanikisha safari ya dakika chache kati ya mabara.Unaelewa athari za speed kwenye mwili wa binadamu ?
Ogopa kugeuzwa Guinea Pig, we huoni why mpaka Leo Elon Musk haendi Mars ?
Haiwezekani kwasabu kawaida passenger flights zinaishia 1.3G na binadamu anaweza mudu Hadi 4G mpaka 6. Na unahitaji mafunzo
Kwasabu fighter jets zinazoenda mpaka kuvuka sound barrier pilots wanaishia 9G na ni Kwa muda mchache mpaka 1 second zaidi zaid ikuzidisha utapata blackout.
Kuna muda Physics haishindani na Mungu.
Dar to New York ni km 12400, satellite zina orbit mpaka 17000km/h sasa what about 5 minutes Kwa binadamu in 12440 km
Weka chanzo cha habariTajiri zaidi duniani, Elon Musk, ametangaza kuwa kupitia roketi za SpaceX, abiria wataweza kuruka kutoka Dar es Salaam hadi New York katika muda wa dakika 5 pekee.
Kwa sasa, inachukua masaa 16 Mpaka 20 kutoka Dar es Salaam hadi New York kwa ndege bila kutua.View attachment 3165407