Roland-Garros final Rafael Nadal vs Dominic Thiem.Tennis French Open final

Kabla ya mechi walisema Thiem ni wa pili kumfunga Nadal kwenye clay kishamfunga mara tatu na kama sikosei mara mbili ni mwaka huu. Anayeongoza kumfunga mara nyingi kwenye udongo ni Djokovic kishamfunga mara 7. Leo naona Nadal hataki mchezo kagangamara lakini Thiem naye kashupaza shingo hataki kufungwa kirahisi rahisi.

Ngonja tuone,ila juzi juzi hapa Thiem alimtoa Rafa kule Barcelona.Tuone je leo ataweza kumshinda hapa kwenye Clay ground?
 

Kweli kabisa mtu anayemuwezea Nadal ni Djokovic, ndio maana nilifurahi sana alipotolewa vinginevyo pangechimbika leo [emoji23][emoji28][emoji28]
 
Reactions: BAK
There it is! Congratulations Nadal just few more minutes to go.

 
Mie pia nilifurahi sana kutolewa kwake maana nilijua chances za Nadal kushinda zimeongezeka. Huwa kama ana wasiwasi fulani hivi kila anapocheza na Djokovic.

Kweli kabisa mtu anayemuwezea Nadal ni Djokovic, ndio maana nilifurahi sana alipotolewa vinginevyo pangechimbika leo [emoji23][emoji28][emoji28]
 
Mie pia nilifurahi sana kutolewa kwake maana nilijua chances za Nadal kushinda zimeongezeka. Huwa kama ana wasiwasi fulani hivi kila anapocheza na Djokovic.
Finalyyyyyyyyyyyyyy,Ila Thiem anastahili pongezi
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…