Role of Indians in the Tanzanian Economy

It is true we need a Dictator like Iddi Amini to push these horrible Indians out of Tanzania. Sisi Watanzania sio FANTA ni wafrica halisi BLACK AFRICANs and we are proud of our country.

Indians have many passports and we do not know why our Immigration laws are not strict. We need strong people kuwazibiti
 

Sasa ukiona watu hao juu ambao wamewekwa na Wahindi/Waarabu, nani anatawala hii nchi? Kabla hujaanita MBAGUZI, hebu fikiri saana na utaona jina hasa ninalotakiwa kuitwa ni MPIGANIA UHURU aka FREEDOM FIGHTER.
 
Last edited:
Mimi ni muhindi kwa kuzaliwa, baba yangu kazaliwa Bongo, mama yangu kazaliwa Bongo, na kwa kweli hali yangu ni ya kuajiriwa kama wengi wenu mulivyo, hivi kosa kufanya muhindi mmoja ndio tutukanwe sote? Mramba ni Mchagga, Mgonja nae hivyo hivyo mbon amakabila yao hayatukanwi? pole ploe jamani
 

Rodri,

Lazima nikuambie kuwa vita havina macho. Vikilipuka kuna Wahindi wengine watakumbwa kwa bahati mbaya na wengine wamestahili. Kuna Waswahili watakumbwa kwa bahati mbaya na wengine wanastahili. Ukisoma maelezo pale juu utaona kuwa Tanzania inatawaliwa na Wahindi/Waarabu. Nyie vita ikianza wengi watakimbilia nchi nyingine. Nafikiri hapo ndipo tutajua nani ni Mtanzania kweli.

Mwakyembe alisema "Watanzania si mabwege", hivyo kujua Mhindi yupi achomwe na nani aachwe, haitakuwa tatizo. Lazima ukubaliani na sisi pia kuwa Tanzania inatawaliwa na ndiguzo Wahindi na Muiran RA. Ili kubadili hii picha, lazima NGUVU itumike, vinginevyo hakuna kitakachofanyika. Ila nikuhakikishie kitu kimoja kuwa, kabla Mhindi wa kawaida kukamatwa, basi Lowassa, Mkapa, Chenge, Mboma, Noni na genge lao wote, watakuwa marehemu. Hivyo, unaweza kuwa na muda wa kutosha kwenda Kenya kusubiri hali itulie na urudi tena Tanzania kama kawaida yenu maa nyie HATA UCHAGUZI HUWA HAMSHIRIKI.
 
mnakumbuka kuna chama kilikuwa kinaitwa KANU,kilikuwa kinakumbatia wahindi na mafisadi je leo hii kinasikika katika medani za siasa nchini kenya je chama hicho kinatofauti gani na chama chetu kiitwacho CHUKUA CHAKO MAPEMA(CCM) au CHAMA CHA MAJAMBAZI(CCM)siku haziko mbali tuone mkianguka kama hao wakina maji watawakumbuka,kipindi hicho watakuwa wako Canada wanasikilizia upepo unavyovuma
 

pumba tupu????????????
serikali yenyewe wezi watupu!!
je na mtu asiejionea huruma yeye mwenyewe unadhani ataonewa huruma na mwenginee???

acheni kuongea pumbaaaa????
 
pumba tupu????????????
serikali yenyewe wezi watupu!!
je na mtu asiejionea huruma yeye mwenyewe unadhani ataonewa huruma na mwenginee???

acheni kuongea pumbaaaa????

Wee una akili kweli.
 
Hata mkituona wabaguzi lakini ujumbe umefika kwa watanzania wote na wameshawajua wezi wa mali zao
 

Attachments

  • Masaai picture.jpg
    2.9 KB · Views: 45
Tusipokuwa makini TZ itakuwa sehemu ya India kutokana na wingi wao,wanajaribu kuziteka Serikali dhaifu kwa kuwaweka madarakani watawala dhaifu ili watawale mlango wa nyuma,tuwe makini Watanzania.
 
Ni kweli kabisa kuwa Wahindi waliotajwa na Mengi ni Papa wa Ufisadi hapa TZ.Sasa wanaombeza Mengi mjiandae kuvuna mnachopanda.JK kaa kimya lakini 2010 utaongea tuu.!!!!!!
 
Unajua hii zana ya ubaguzi sijui inaletwa kwa sababu gani!! Maana watu hawa mmesikia siku nyingi ni Mafisadi, sasa kwakuwa Mengi kawataja hadharani inaonekana kwamba ni Ubaguzi. Hawa kweli ni Mafisadi Papa, wanatumaliza nchi hii sasa imekuwa haiona mwenyewe kabisa, Inabidi watanzania wote tuungane na mengi kuwafichua na kuwatokomeza hawa mafisadi ambao ni wachache bila kujali rangi, dini, ama itikadi zao.

Mungu Ibariki Tanzania
 
JK! Yaani hili ni balaa kwelikweli mimi niliyajua haya tangu JK alipompaka matope Salim Ahmed Salim, ambaye kwa mtizamo wangu ndiye alifaa kuwa Rais wa Tanzania sasa. Kwasababu huyu bwana nchi imeshamshinda kabisa. Lakini iko siku
 
Mimi naona si vyema kubaguana kwa makabila mfano wahindi nk. Nadhani ashughulikiwe anaehusika na tuhuma kama yeye binafsi na siyo kuhusisha na kabila lake. Katika kila kabila si ajabu kukuta wakosaji ama mafisadi. Kama mtu ana makosa basi yaonyeshwe wazi ili wananchi tujue na achukuliwe hatua za kisheria. Kama ana mahusiano na viongozi wakubwa ushahidi utolewe na wao watawajibika wakati wa uchaguzi ama hata kabla. Nchi hii imekuwa ya amani na tulenge kudumisha hilo. Tutumie njia za amani ili MUNGU awe upande wetu kwani vingenevyo nguvu hazitasaidia na tutakosa mapenzi ya Mwenyezi MUNGU.
 
Leo mmeanza kwa wahindi, kesho mtaenda kwa wachagga.Dhambi ya ubaguzi haina mwisho. Kama kuna ufisadi katika wahindi (kama kulivyo na ufisadi kwa weusi na wazungu) tuuseme ufisadi huu, na wala si kabila au ethnicity ya mtu.

Nauliza wahindi anayewawezesha nani? Kuna wahindi wangapi kwenye wizara zetu? Ardhi? kwenye benki za serikali? Shirika la Nyumba?

Mbona tunawasema wahindi tu na hawa wanaowawezesha hatuwasemi?

Fisadi ni fisadi tu, hata awe m-Klingo.
 

Na Watanzania wenye asili ya bara Hindi ni Wananchi pia!!
 

Mkuu Fernandes. Wasikubabaishe hao wakina Sikonge. Ni bigots ambao hawana hata aibu kumsifia Hitler! Hana anachokuzidi. Wewe, yeye,, mimi, sisi sote ni watanzania. Hakuna mwenye haki zaidi au pungufu ya mwengine. Hata usingekuwa muajiriwa. hata ungekuwa huna kazi au bilionea. Wewe ni mtanzania na hakuna wa kukuondolea hilo! Jivunie ulikotoka kama vile sote tunavyojivunia bila kusahau kinachotuunganisha.

Wakina Sikonge hawatusemei wamatumbi wote. Si leo, si jana wala si kesho kutwa!

Amandla.......
 
Tusipokuwa makini TZ itakuwa sehemu ya India kutokana na wingi wao,wanajaribu kuziteka Serikali dhaifu kwa kuwaweka madarakani watawala dhaifu ili watawale mlango wa nyuma,tuwe makini Watanzania.

Uongo muovu huu! Muwe na aibu katika chuki yenu.

Amandla..........
 

Wamasai, imegundulika wana ukaribu zaidi na wahabeshi kuliko makabila mengine hapa Tanzania. Kwa maneno mengine, nao ni wahamiaji tu. Kama walivyokuja hao mnaowaita wahindi na nyinyi babu zenu walikuja, ewe Mmasai halisi! Hamna tofauti nao. Wote wakuja.

Huko Canada kuna wamatumbi kibao waliochukua uraia na wengine hata kuapa hawatarudi bongo. Wewe unawaona wahindi peke yao?

Amandla.......
 
...sikio la kufa halisikii dawa! hata wakiondoka wahindi wote, shida zitabaki pale pale! kiini cha matatizo na umasikini wetu una athari kubwa kuliko theluthi ndogo ya hao wachache 'wanaolaumiwa' kutuyumbisha.

Ni kawaida ya binaadamu, akishazidiwa ataleta visingizio hata pale ukweli unapodhihiri na uongo kujitenga.
 

Fernandes,

Kama wee ni Mhindi Mchakalika (mfano wa Masingasinga?) basi mie ntasimama mlangoni na bunduki yangu kuwalinda watu wa namna hiyo. Watu waaminifu, wachapa kazi na waadilifu.

Ila ogopa sana hawa wanaojifanya kucheka na wewe leo hii na kusema "Sikonge asikutishe...." Hawa ndiyo huwa wanabadilika na kuwa na sura tofauti kabisa. Watakuuwa na kurithi mali zako zote na hadi mkeo.

Hivyo kama wee ni mtu poa, vita ikianza wee nitafute mimi. Wanyamwezi wote watapata amri ya kukulinda na hakuna atakayekugusa. Mtu asikudanganye hapa, kama ikianza mcharazo basi kuna Wahindi na Waswahili wataumia kwa kustahili na kwa bahati mbaya. Hata mie naweza kuumia kwa bahati mbaya. Anayesema utakuwa salama si kweli. Kuna Wageruman waliwaahidi Wayahudi hivyohivyo na wao wakaamini eti kwa sababu walikuwa madaktari, Wahandisi, Mafundi michundo nk.
Lazima Wahindi waonyeshwe mahali pao ili waache kutuchagulia viongozi wetu. Unakaa unafikiri una kiongozi, kumbe wote ni mali ya Manji na Rostam Aziz. Tumeshawajua na tafuteni njia nyingine.

FM, kama huamini kuwa Hitler aliwasaidia saana Wageruman, hiyo ni juu yako. Sina njia ya kukusaidia zaidi ya kukuambia ujikumbushe kichwani mwako historia ya German ambayo nina uhakika kichwani mwako imejaa tele na wala huwezi nidanganya kuwa HUFAHAMU. Viwanda vyote vikubwa vya German vilizuka wakati wa Hitler. Leo useme eti hakufanya kazi si unatania? Mabaya kafanya mengi ila kwa German, mazuri kafanya mengi. Kikubwa zaidi ni kuwa ALIPANDA MBENGU YA TAIFA LA WACHAPA KAZI.
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…