Kama kawaida yangu CharmingLady ninapenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kuuona mwaka mpya…
Hebu watag members wote wa CC ili tujue kama bado tupo nao… naanza na ndugy zangu, kisha marafiki na hata majirani
FirstLady1
ladyfurahia
Thanx God tumeuona tenaKama kawaida yangu CharmingLady ninapenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kuuona mwaka mpya…
Hebu watag members wote wa CC ili tujue kama bado tupo nao… naanza na ndugy zangu, kisha marafiki na hata majirani
FirstLady1
ladyfurahia
hahhaaaaaaaaaaaaaaa asante ndugu yangu umenikumbuika aisee il love u,Kama kawaida yangu CharmingLady ninapenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kuuona mwaka mpya…
Hebu watag members wote wa CC ili tujue kama bado tupo nao… naanza na ndugy zangu, kisha marafiki na hata majirani
FirstLady1
ladyfurahia
nilijua tu aisee ngoja nimjibie nzuriDuh hope wahenga wenzangu mko salama. Heri ya mwaka mpya. CharmingLady habari za siku mrembo
nakusaka sana ndugu yangu upo pande zipi maana imenibidi nifukue file la 2016 kukusaka sanaShem miss wewe, samilia Watu8
Tuanzie hapo kwenye ulijua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]nilijua tu aisee ngoja nimjibie nzuri
Heri ya mwaka mpya nawe CharmingLady ukawe mwaka mzuri kwao na familia yako.Heri ya Mwaka Mpya wana CC
Binafsi Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa Neema ya kuuona Mwaka 2023…
Hebu Mtag mwana JF yeyote unayempenda kama ameweza kuuona Mwaka mpya…
CL
Mshana Jr kaka upo?
Kheri ya Mwaka mpya Mpendwa....Heri ya mwaka mpya nawe CharmingLady ukawe mwaka mzuri kwao na familia yako.
Nikiona I'd yako nakumbuka mbali kidogo
Happy New Year CLJambo douta...
Happy New Year 2023 to you all………..🎊🎊Nipo......uwiiii......kumbe rollcall ilipita.....nilizimika bana......
Happy New Year kwenu wote.....
@IGWE
@PakaJimmy
@Easymutant
@LiverpoolFC
@Mzee wa Rula
@Blaki Womani
Njoeni muitike roll call........
Oooh yeahhhhh……very brand New Year Dr……It's a brand new year, God bless y'all
Oooh yeahhhhh……very brand New Year Dr……
Happy New Year 2023……….