Rolls Royce ya Diamond ni fake au Real?


Eh hi gar gear yake sio yakusukuma wajameni?
 
Ite

Irrelevant kwako mtaani inajulikana kuwa kamtoa nishai...
mtaa gani unaongelea? thats bullshit childish things aisee. sitetei upande wa mtu yoyote. ila hii sio battle.. kila mtu ana choice yake.. ana maono yake..
unashindana na mtu akupe faida gani?

hakuna kitu kama hicho
 

Na wewe ni wale wale instagram umefata nini
 
Na wewe ni wale wale instagram umefata nini
Kila mtandao utauona mbaya kulingana na watu uliowafollow au uliowaruhusu kupata habari zao. Kama ni mdaku, utaletewa udaku, siasa ni siasa ko ivo yani mkuu.
 
witnessj tazama furniture hizo
 
Ni fake na chafu
 
Waoooow [emoji122][emoji122]

Sio kwa fenicha hizi duuh[emoji848]

Kwani jamaa alifanya poa kwanini tusisapoti jamani?

Diamond kaishatoboa jamani watake wasitake mweeh
Umeona eeh! Na wewe unaweza kabisa kutimiza ndoto zako.. mie lazima nipaki Audi R8, Audi RS6, Audi A7 sportback, BMW M5, Mercedez Benz E350 AMG, na E550 AMG πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.. Alafu kwa SUV G63 .. alafu nisikie mchawi anasema siwezi nitamuweka kerubu la mgongo
 
Duuuh gari kali kama ile mnapata wapi nguvu ya kujadili feki au OG wakati ww nyumbani upo na TV ya chogo mimi napenda wadogo wanapofanikiwa kwa kweli sio wote tuwe wachimba chumvi...mtu unalalamika makato ya elfu tatu unamponda mwenye matumizi ya zaidi ya Billion...
 
Kwa kweli huyo dogo nchi kama nchi imjengee mnara,ni kielelezo cha vijana wachacharikaji wenye kutimiza ndoto zao.

Allah azidi kumwongezea
 
The guy deserves respect jamani, anajitahidi sana hadi hapo alipofika amepambana ,tumwache aishi maisha ya ndoto yake kumiliki pisi kali na ndinga kali, wivu ukizidi sana unakuwa uchawi .Tujifunze kutafuta bila kuchoka katika kazi zetu na kujituma na kuwa wabunifu Mungu ubariki mikono inayofanya kazi .Whether its fake or OG Diamond platinums is the true symbol of work hard pays, kumtukana na kumsagia kunguni hakuwezi kutusaidia kufika alipo
 
Gari hili haukai ndani kwa makalio yako? Au seat zina nn au msukani wa bluetooth na matairi ya wi fi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…