Rolls Royce ya Diamond ni fake au Real?

Rolls Royce ya Diamond ni fake au Real?

Muda sio mrefu nimeingia kwenye account ya YouTube ya jamaa mmoja anaitwa "FRANK HOLLAND AUTOMOTIVE" nimeona gari kama ile ile ya diamond, Rolls Royce cullinan, rangi ile ile na badge ile ile.

Huyu jamaa ni official dealer wa Rolls Royce na anatambulika,yupo nchini Canada,ingia kwenye hii link



Hapo ndio nimeamini kuwa wabongo wameshikiliwa akili zao na Mange kimambi.Roho ya wivu wa kina Mwijaku h-baba na Mange kimambi imeshawaambukiza watanzania wengi na wao wakaamini kuwa Diamond hawezi kuwa na kitu ambacho wasanii wakubwa kama Davido n.k wanacho.

Hizi picha nime screen shot kwenye video inayoonesha moja ya magari yaliyopo kwenye yard ya Frank Holland,moja wapo ndio hiyo Rolls-Royce cullinan.View attachment 1854766View attachment 1854768View attachment 1854769View attachment 1854770View attachment 1854772View attachment 1854773View attachment 1854774View attachment 1854775View attachment 1854776


Eh hi gar gear yake sio yakusukuma wajameni?
 
Ite

Irrelevant kwako mtaani inajulikana kuwa kamtoa nishai...
mtaa gani unaongelea? thats bullshit childish things aisee. sitetei upande wa mtu yoyote. ila hii sio battle.. kila mtu ana choice yake.. ana maono yake..
unashindana na mtu akupe faida gani?

hakuna kitu kama hicho
 
Mange kimambi huyo [emoji23][emoji23].

Nilikuaga nimemfollow huyu bibie ila nikaona hapana huyu bidada kichwani ni mweupe mnoo, anaweza kuambukiza ujinga. Followers wake wengi akili zao ni 1. Yeye anaenda na upepo wa wasanii ili abaki kutrend.
Tuache chuki bna lile dinga ni kali.

Na wewe ni wale wale instagram umefata nini
 
Muda sio mrefu nimeingia kwenye account ya YouTube ya jamaa mmoja anaitwa "FRANK HOLLAND AUTOMOTIVE" nimeona gari kama ile ile ya diamond, Rolls Royce cullinan, rangi ile ile na badge ile ile.

Huyu jamaa ni official dealer wa Rolls Royce na anatambulika,yupo nchini Canada,ingia kwenye hii link



Hapo ndio nimeamini kuwa wabongo wameshikiliwa akili zao na Mange kimambi.Roho ya wivu wa kina Mwijaku h-baba na Mange kimambi imeshawaambukiza watanzania wengi na wao wakaamini kuwa Diamond hawezi kuwa na kitu ambacho wasanii wakubwa kama Davido n.k wanacho.

Hizi picha nime screen shot kwenye video inayoonesha moja ya magari yaliyopo kwenye yard ya Frank Holland,moja wapo ndio hiyo Rolls-Royce cullinan.View attachment 1854766View attachment 1854768View attachment 1854769View attachment 1854770View attachment 1854772View attachment 1854773View attachment 1854774View attachment 1854775View attachment 1854776

witnessj tazama furniture hizo
 
Kumekuwa na mjadala mrefu kuhusu gari aliyonunua star wetu wa muziki wa bongo flavor Diamond platnamuz. Wengine wakisema eti gari hilo sio halisi ni fake, na wengine wakidai ni original.

Aina ya gari ni Rolls Royce cullinan. Kwa mwenye uelewa na haya magari tusaidie. Fake yanakuwaje, na orjino yanakuwaje.
Ni fake na chafu
IMG_20210715_045418.jpg
 
Waoooow [emoji122][emoji122]

Sio kwa fenicha hizi duuh[emoji848]

Kwani jamaa alifanya poa kwanini tusisapoti jamani?

Diamond kaishatoboa jamani watake wasitake mweeh
Umeona eeh! Na wewe unaweza kabisa kutimiza ndoto zako.. mie lazima nipaki Audi R8, Audi RS6, Audi A7 sportback, BMW M5, Mercedez Benz E350 AMG, na E550 AMG 😀😀😀.. Alafu kwa SUV G63 .. alafu nisikie mchawi anasema siwezi nitamuweka kerubu la mgongo
 
Sidhani kama ni issue kubwa , Tanzanians are so haters na sijui kwanini tumejijengea hyo mentality hii mbaya tunawivu wa kipindukia kwa watu wanaotuzidi maendeleo. Kama ni fake au OG Mondi ndo anajua but the issue amekuwa kijana wa kitanzania kumiliki ndinga kali respect.

Tujifunze kutafuta pesa na sisi tununue tunavyovipenda sio kuponda wakati hata baiskeli
Kwa kweli huyo dogo nchi kama nchi imjengee mnara,ni kielelezo cha vijana wachacharikaji wenye kutimiza ndoto zao.

Allah azidi kumwongezea
 
The guy deserves respect jamani, anajitahidi sana hadi hapo alipofika amepambana ,tumwache aishi maisha ya ndoto yake kumiliki pisi kali na ndinga kali, wivu ukizidi sana unakuwa uchawi .Tujifunze kutafuta bila kuchoka katika kazi zetu na kujituma na kuwa wabunifu Mungu ubariki mikono inayofanya kazi .Whether its fake or OG Diamond platinums is the true symbol of work hard pays, kumtukana na kumsagia kunguni hakuwezi kutusaidia kufika alipo
 
Muda sio mrefu nimeingia kwenye account ya YouTube ya jamaa mmoja anaitwa "FRANK HOLLAND AUTOMOTIVE" nimeona gari kama ile ile ya diamond, Rolls Royce cullinan, rangi ile ile na badge ile ile.

Huyu jamaa ni official dealer wa Rolls Royce na anatambulika,yupo nchini Canada,ingia kwenye hii link



Hapo ndio nimeamini kuwa wabongo wameshikiliwa akili zao na Mange kimambi.Roho ya wivu wa kina Mwijaku h-baba na Mange kimambi imeshawaambukiza watanzania wengi na wao wakaamini kuwa Diamond hawezi kuwa na kitu ambacho wasanii wakubwa kama Davido n.k wanacho.

Hizi picha nime screen shot kwenye video inayoonesha moja ya magari yaliyopo kwenye yard ya Frank Holland,moja wapo ndio hiyo Rolls-Royce cullinan.View attachment 1854766View attachment 1854768View attachment 1854769View attachment 1854770View attachment 1854772View attachment 1854773View attachment 1854774View attachment 1854775View attachment 1854776

Gari hili haukai ndani kwa makalio yako? Au seat zina nn au msukani wa bluetooth na matairi ya wi fi?
 
Back
Top Bottom