Fafanua kidogo jombaa, ubinafsi kwenye nini yaan?Anakwama kwenye ubinafsi
Hujakosea Mkuu, hayo ndio matatizo yake makubwa.Nilimsikiiza Moni maelezo yake nikapata jibu moja tu, "ubinafsi na tamaa ya pesa" ndiyo tatizo la Roma.
Ni mshenzi na nyimbo zake za kishenzi!mwanzo alikuwa rafiki sana na jose mtambo akamtosa akidai n mlevi kumbe kisa ni show alikuwa anapokea pesa akiahidi kwenda naye ila wapi. Akafuata kala jeremiah huyu mpaka harusi yake alikuwa msanii wa pekee aliyehudhuria jamaa naye pia kamchinjia baharini dayna nyange pia, juzi juzi kamchinjia baharini moni centralzone na sasa za kunyapia yeye na stamina wameishagombana hivi huyu jamaa anakosea wapi
Yaweza kuwa maana ni kawaida sana ...Anakwama kwenye ubinafsi