Roma ana matatizo gani? Kila anayekuwa rafiki yake lazima amgeuke

Roma ana matatizo gani? Kila anayekuwa rafiki yake lazima amgeuke

Acheni Majungu jamanii.....

He has a family..
 
mwanzo alikuwa rafiki sana na jose mtambo akamtosa akidai n mlevi kumbe kisa ni show alikuwa anapokea pesa akiahidi kwenda naye ila wapi. Akafuata kala jeremiah huyu mpaka harusi yake alikuwa msanii wa pekee aliyehudhuria jamaa naye pia kamchinjia baharini dayna nyange pia, juzi juzi kamchinjia baharini moni centralzone na sasa za kunyapia yeye na stamina wameishagombana hivi huyu jamaa anakosea wapi
Anaingiza uchama kwenye sanaa.
 
mwanzo alikuwa rafiki sana na jose mtambo akamtosa akidai n mlevi kumbe kisa ni show alikuwa anapokea pesa akiahidi kwenda naye ila wapi. Akafuata kala jeremiah huyu mpaka harusi yake alikuwa msanii wa pekee aliyehudhuria jamaa naye pia kamchinjia baharini dayna nyange pia, juzi juzi kamchinjia baharini moni centralzone na sasa za kunyapia yeye na stamina wameishagombana hivi huyu jamaa anakosea wapi
Akitekwa anaisingizia serikali,anasahau tabia zake za kuzurumu zinaweza pia kumponza[emoji51]
 
Wabongo kwa majungu na uchonganishi ni kipaji chao,hata mtu asiyekujua atajifanya anakujua ukimuuliza atakwambia nae alisikia watu wanasema,
Kama mleta mada alivyofanya hana uhakika na alichokitoa ila anasema za kunyapia nyapia, na wengine wakaliunga na kulaumu bila kuwa na uhakika
 


Hamia kenya sasa

Wabongo kwa majungu na uchonganishi ni kipaji chao,hata mtu asiyekujua atajifanya anakujua ukimuuliza atakwambia nae alisikia watu wanasema,
Kama mleta mada alivyofanya hana uhakika na alichokitoa ila anasema za kunyapia nyapia, na wengine wakaliunga na kulaumu bila kuwa na uhakika
True mkuu ndoo maana bongo hata aje nani viwanda na maendeleo kwa ujumla tutayasikia kwenye radio,wabongo wote mama yao mmoja kwa unafiki
 
Wabongo kwa majungu na uchonganishi ni kipaji chao,hata mtu asiyekujua atajifanya anakujua ukimuuliza atakwambia nae alisikia watu wanasema,
Kama mleta mada alivyofanya hana uhakika na alichokitoa ila anasema za kunyapia nyapia, na wengine wakaliunga na kulaumu bila kuwa na uhakika

Ni kweli kabisa hapa naona watu wengi wameshambulia upande mmoja tu bila kujua chanzo na hiyo ishu yote ikoje mm binafsi sijui chochote kuhusu kama wamegombana ila hata mahakamani watu wanaruhusiwa kujitetea sio kwa hizo hukumu zinazoshushwa
 
mwanzo alikuwa rafiki sana na jose mtambo akamtosa akidai n mlevi kumbe kisa ni show alikuwa anapokea pesa akiahidi kwenda naye ila wapi. Akafuata kala jeremiah huyu mpaka harusi yake alikuwa msanii wa pekee aliyehudhuria jamaa naye pia kamchinjia baharini dayna nyange pia, juzi juzi kamchinjia baharini moni centralzone na sasa za kunyapia yeye na stamina wameishagombana hivi huyu jamaa anakosea wapi

Siku zote Ununio mkabala na Mahaba Beach huwa haimuachi Mtu salama Kitabia.
 
Back
Top Bottom