mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,181
Haya maswali unaweza kusilimisha mtu.Akikujibu nitagAliyekwambia jumapili ni siku ya kusali ni nan?
Wapi kwenye biblia imeandikwa?
Kwanini tunaweka sanamu kanisani?
Je zile picha zilizo kanisani ni za yesu? sura halisi ya yesu imehifadhiwa wapi?
Kwanii kwenye Salamu.Maria tunakiri kuwa Ni mama wa Mungu
Je mungu anazaliwa?
Ikiwa yeye ni mungu kwanin wakati anabatizwa na Yohane sauti inasikika ikitoka juu ikisema huyu ndiye mwanangu mpendwa nliye pendezwa naye...
Je huoni yupo mwenye mamlaka mkuu zaidi yake?
Je isingefaa iwe Mama wa mwana wa Mungu?
UmemnyooshaNimejuwa hutaweza kulijibu hilo kwa kuwa swali hilo linasambaratisha hoja yako pale uliposema "na mataifa mengi yana sheria za Roma".
Sheria za Roma utumwa ni halali na mpaka leo utumwa upo ndani ya kanisa katoliki.
Sasa kajibu swali langu.
hahahahahaKama si ya Uholanzi...wewe unazungumzia THE HAGUE ya wapi?
Maana ya The hague ni ipi?
Mnyama wa kwanza alikuwa ni babeli chini ya nebuchadnezzarIlipoandikwa MNYAMA WA NNE , UFALME WA NNE. hizo nne zinamaanisha nini?. yaani 1,2,3 ni wakina nani hadi kufikia roma 4 ? Tuanzie hapo
Mkuu unataka kutuaminisha stori za kukuza mambo kuliko uhalisia.utawala wa nyayo ni utawa wa humanoid under alliens ...
alliens wameshaanza kutengeneza human hybrid ambao ni half human na halfu alliens na hao ndo wanakuja kumonopolise this universe...ndo mana Nchi kibwa kama japan,america,uingereza na zingine zimeanza kutengeneza robot wenye ngozi kama binadamu kabsa na hao robot wana uwezo wa kupiga stori na mwanafamu wa kawaida kabsa bila kumshtukia ...
kwa hiyo binadamu wa kawaida have to be perished away kwa kasi ya ajabu snaa ili kuacha universe hii ndani ya mikono ya wengine....
inshot ndo mana sumu nyibgi zinatengenezwa ili kufupisha life span ya mwnadamu halisi....
it is a battle btn God and satarn let' s enjoy it...hakika wanajuana malengo yao ni nini sio sisi tunaochezeshwa kama mazombi....
Hayakuhusu [emoji15] [emoji12] nimekwambia kalia kichwa ili ujue umuhimu wa makalio [emoji4]Emoji zinaendana na nini unaandika kwa mlengwa wa kipi kinamfikia.
Siyo kuzitumia tumia bila kujua umuhmu wake.
Sijaona umuhmu wa emoji pale zaidi kukariri kisa zipo.
Nafunga mjadala.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]NCHUMARI KUMOYO? MUHAM MAD IBN ABD ALLAH KUMBE NDO POPE KWA JINA LINGINE?
Du kumbe mudi hatari kawashika makalio watu dunia nzima.[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kiama unamaanisha unyakuo?Nadhani ufalme wa 5 utamalizwa na kiama then mungu mwenyewe atachukua usukani
Haitawezekana aisee! Mimi ni muumini tu wa mambo haya, basi!UPADRE UNAKUHUSU AISEE
Ingekuwa sana hizi angenyea debe segerea [emoji38] [emoji38]Du kumbe mudi hatari kawashika makalio watu dunia nzima.
Kwaio roman catholic wote wanamuabudu mshikaji mudi kwa jina la papa?Ingekuwa sana hizi angenyea debe segerea [emoji38] [emoji38]
Kwaio roman catholic wote wanamuabudu mshikaji mudi kwa jina la papa?
Sasa hiyo picha inahusika nini na ufreemason wa papa?hapana!
Kumbe hujui [emoji4]Sasa hiyo picha inahusika nini na ufreemason wa papa?
Ee Nilikuwa sijui kama papa kweli ni freemason kwahiyo hadi wakatoliki ni freemasonKumbe hujui [emoji4]