Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Hahahahaha....Ni kweli!; ndio sababu waisilamu wanasali ijumaa wakisherehekea kwamba Yesu kafa...wasabato wanasali jumamosi wakifurahia Yesu yupo kaburini...Wakristo tunasali JPili tunasherehekea Bwana wa Mabwana kashinda kifo ni limbuko letu [emoji123] [emoji106]
Unaposema Rumi ni nini hasa unamaanisha..?Ni mtoto Wa rumi
Ohhh!! Nilikuwa sijui...kumbe yale makambi yao ya ngono zembe yakianza ndio wanajilipua na mada zao..daahMakambi ya wasabato yanakaribia.... huwa wanaanza na propaganda za aina hii
Unaposema ulikuwa mroma sugu, unataka kutuambia nini...??Sasa Mimi nilikua mroma roma sugu familia nzima ...
Kwa hiyo ni Msabato...?Somen Biblia mjue ukuu Wa Mungu ...ujanja na porojo zakubisha bisha alafu biblia hujawahi hata kuigusa pengine hujui inauzwa shilingi ngapi no way zaidi ya kupotea tu.
Nasikia makambi yale ya ngono yameanza....hii ni lesson number gani..?.lakini kila nilipokua nikimuuliza padri Wangu alikua akinambia nitakujibu jumapili ijayo hatimae nikaanza kukata tamaa nikawa sionekan tena pale mbel
wasaba sio Wakristo anae bishia aje [emoji15] [emoji53]Hahahahaha....
Wasabato siyo Wakristo
Ni makafir tu [emoji35] [emoji379]Hahahahaha....
Wasabato siyo Wakristo
Ulaya(Roma ya zamani) bado ina mkono mkubwa juu ya nchi za dunia hii. Ndo maana wameweka mahakama yenye sheria za Roma(The hague) ambayo daima ikiwahukumu viongozi wa nchi maskini, utake usitake ukiitwa hapo utaenda tu, na ukibisha utatolewa kwa bunduki.
Unakaa mbele unamuuliza padri juu ya siku ya Ibada.Sasa Mimi nilikua mroma roma sugu familia nzima ...kanisani nilikua nakaa karibu na padri nadhan mnaelewa ....,....ila nilisikia tu habari ya siku ya ibada ni IPI ???? nikaanza kusoma maandiko na kuuliza baadhi ya watu wadini ...lakini kila nilipokua nikimuuliza padri Wangu alikua akinambia nitakujibu jumapili ijayo hatimae nikaanza kukata tamaa nikawa sionekan tena pale mbele ...Kwa kusoma na kudadisi Nikagundua kua Sabato ya Mungu ni Juma mosi ...Nabiblia pekee ndio inayotoa jibu ....nampaka sasa Familia nzima tu wasabato kasoro Baba yangu lakini naye nikipata muda narudi huwa nazidi kumpa somo ..naniaamini mauti hayatomfika kabla naye hajawa msabato.
Somen Biblia mjue ukuu Wa Mungu ...ujanja na porojo zakubisha bisha alafu biblia hujawahi hata kuigusa pengine hujui inauzwa shilingi ngapi no way zaidi ya kupotea tu.
Hadi warumi wanafikia hapo allah yupo likizo.,[emoji47] [emoji348] acha mbweraa wee konde...[emoji35]Wacha kujaza watu ujinga.
The Hague ipo Uholanzi (Netherlands) na haipo Roma (Rome, Italy).
Kasema "wameweka mahakama yenye sheria za roma",hajasema the hague ipo Rome. Swali kuu kwake atueleze hizo sheria ni zipi? Na kwanini ni sheria za roma?Wacha kujaza watu ujinga.
The Hague ipo Uholanzi (Netherlands) na haipo Roma (Rome, Italy).
Kukaa mbele ya kanisa hakuna tofauti na wale mafarisayo na masadukayo ambao walikuwa wanafanya kama wewe na bado walikuwa ni wajinga [wasiojua] kumhusu Mungu....Sasa Mimi nilikua mroma roma sugu familia nzima ...kanisani nilikua nakaa karibu na padri nadhan mnaelewa ....,....ila nilisikia tu habari ya siku ya ibada ni IPI ???? nikaanza kusoma maandiko na kuuliza baadhi ya watu wadini ...lakini kila nilipokua nikimuuliza padri Wangu alikua akinambia nitakujibu jumapili ijayo hatimae nikaanza kukata tamaa nikawa sionekan tena pale mbele ...Kwa kusoma na kudadisi Nikagundua kua Sabato ya Mungu ni Juma mosi ...Nabiblia pekee ndio inayotoa jibu ....nampaka sasa Familia nzima tu wasabato kasoro Baba yangu lakini naye nikipata muda narudi huwa nazidi kumpa somo ..naniaamini mauti hayatomfika kabla naye hajawa msabato.
Somen Biblia mjue ukuu Wa Mungu ...ujanja na porojo zakubisha bisha alafu biblia hujawahi hata kuigusa pengine hujui inauzwa shilingi ngapi no way zaidi ya kupotea tu.
Alichokiandika mackie huwezi kukielewa unless unaelewa kile kinachoendelea duniani na kipo kwenye biblia tena kwenye hiyo hiyo Danieli 2:44 lakini hutaona hapo kwasababu tayari una upofu wa mapokeo yako kama nilivyokuwa mimi....Ndugu Mackie, tumia Biblia kujibu kwani mada hii ni ya kibiblia.
Enzi (dola) hizi ni za binadamu yaani watawala halisi ni wanadamu siyo roboti kama ulivyosema! Soma Danieli 2:43-44
Vipi huo ufalme utakaotawala milele na milele baada ya dola ya 5 ni ufalme gani?
Bahati mbaya sana huu ndiyo ukweli kwa sehemu kubwa sana lakini hili wengi hawalijui haswa hawa waliopofushwa na haya mapokeo ya madhehebu....utawala wa nyayo ni utawa wa humanoid under alliens ...
alliens wameshaanza kutengeneza human hybrid ambao ni half human na halfu alliens na hao ndo wanakuja kumonopolise this universe...ndo mana Nchi kibwa kama japan,america,uingereza na zingine zimeanza kutengeneza robot wenye ngozi kama binadamu kabsa na hao robot wana uwezo wa kupiga stori na mwanafamu wa kawaida kabsa bila kumshtukia ...
kwa hiyo binadamu wa kawaida have to be perished away kwa kasi ya ajabu snaa ili kuacha universe hii ndani ya mikono ya wengine....
inshot ndo mana sumu nyibgi zinatengenezwa ili kufupisha life span ya mwnadamu halisi....
it is a battle btn God and satarn let' s enjoy it...hakika wanajuana malengo yao ni nini sio sisi tunaochezeshwa kama mazombi....