Roma bado inatawala dunia

Roma bado inatawala dunia

Ni kweli!; ndio sababu waisilamu wanasali ijumaa wakisherehekea kwamba Yesu kafa...wasabato wanasali jumamosi wakifurahia Yesu yupo kaburini...Wakristo tunasali JPili tunasherehekea Bwana wa Mabwana kashinda kifo ni limbuko letu [emoji123] [emoji106]
Hahahahaha....

Wasabato siyo Wakristo
 
Somen Biblia mjue ukuu Wa Mungu ...ujanja na porojo zakubisha bisha alafu biblia hujawahi hata kuigusa pengine hujui inauzwa shilingi ngapi no way zaidi ya kupotea tu.
Kwa hiyo ni Msabato...?

Sidhani kama unajua chimbuko la kundi la Kiharakati la Mama Ellen G White.....
 
Ulaya(Roma ya zamani) bado ina mkono mkubwa juu ya nchi za dunia hii. Ndo maana wameweka mahakama yenye sheria za Roma(The hague) ambayo daima ikiwahukumu viongozi wa nchi maskini, utake usitake ukiitwa hapo utaenda tu, na ukibisha utatolewa kwa bunduki.


Wacha kujaza watu ujinga.

The Hague ipo Uholanzi (Netherlands) na haipo Roma (Rome, Italy).
 
Sasa Mimi nilikua mroma roma sugu familia nzima ...kanisani nilikua nakaa karibu na padri nadhan mnaelewa ....,....ila nilisikia tu habari ya siku ya ibada ni IPI ???? nikaanza kusoma maandiko na kuuliza baadhi ya watu wadini ...lakini kila nilipokua nikimuuliza padri Wangu alikua akinambia nitakujibu jumapili ijayo hatimae nikaanza kukata tamaa nikawa sionekan tena pale mbele ...Kwa kusoma na kudadisi Nikagundua kua Sabato ya Mungu ni Juma mosi ...Nabiblia pekee ndio inayotoa jibu ....nampaka sasa Familia nzima tu wasabato kasoro Baba yangu lakini naye nikipata muda narudi huwa nazidi kumpa somo ..naniaamini mauti hayatomfika kabla naye hajawa msabato.

Somen Biblia mjue ukuu Wa Mungu ...ujanja na porojo zakubisha bisha alafu biblia hujawahi hata kuigusa pengine hujui inauzwa shilingi ngapi no way zaidi ya kupotea tu.
Unakaa mbele unamuuliza padri juu ya siku ya Ibada.
Mkuu ni kanisa lipi la rc ambalo jumapili kuna kipindi cha maswali na majibu Katika Ibada.
Wewe sema tu unataka na sisi tuwe wasabato lakini nakuhakikishia siku ya ibada sio hoja ya msingi ya wewe kufika mbinguni
 
Uzuri wa biblia kila mtu huwa anaitafsiri kulingana na kile anachotaka.
Biblia ni wewe mwenyewe unavyoamua uitafsiri tu
 
Wacha kujaza watu ujinga.

The Hague ipo Uholanzi (Netherlands) na haipo Roma (Rome, Italy).
Kasema "wameweka mahakama yenye sheria za roma",hajasema the hague ipo Rome. Swali kuu kwake atueleze hizo sheria ni zipi? Na kwanini ni sheria za roma?
 
Sasa Mimi nilikua mroma roma sugu familia nzima ...kanisani nilikua nakaa karibu na padri nadhan mnaelewa ....,....ila nilisikia tu habari ya siku ya ibada ni IPI ???? nikaanza kusoma maandiko na kuuliza baadhi ya watu wadini ...lakini kila nilipokua nikimuuliza padri Wangu alikua akinambia nitakujibu jumapili ijayo hatimae nikaanza kukata tamaa nikawa sionekan tena pale mbele ...Kwa kusoma na kudadisi Nikagundua kua Sabato ya Mungu ni Juma mosi ...Nabiblia pekee ndio inayotoa jibu ....nampaka sasa Familia nzima tu wasabato kasoro Baba yangu lakini naye nikipata muda narudi huwa nazidi kumpa somo ..naniaamini mauti hayatomfika kabla naye hajawa msabato.

Somen Biblia mjue ukuu Wa Mungu ...ujanja na porojo zakubisha bisha alafu biblia hujawahi hata kuigusa pengine hujui inauzwa shilingi ngapi no way zaidi ya kupotea tu.
Kukaa mbele ya kanisa hakuna tofauti na wale mafarisayo na masadukayo ambao walikuwa wanafanya kama wewe na bado walikuwa ni wajinga [wasiojua] kumhusu Mungu....


Padri kutokukueleza kuhusu siku ya ibada ni ujinga [kutokujua] wake na siyo wa kila mtu asiyesali jumamosi.....

Halafu unaizungumzia biblia ipi?

Hakuna mahali kwenye biblia panataja jumamosi,nioneshe leo na mimi nakuwa msabato...

Ninayoijua mimi inasema tunapaswa kumuabudu Mungu katika roho na kweli,hiyo inayosisitiza siku ni ipi?
 
Ndugu Mackie, tumia Biblia kujibu kwani mada hii ni ya kibiblia.
Enzi (dola) hizi ni za binadamu yaani watawala halisi ni wanadamu siyo roboti kama ulivyosema! Soma Danieli 2:43-44

Vipi huo ufalme utakaotawala milele na milele baada ya dola ya 5 ni ufalme gani?
Alichokiandika mackie huwezi kukielewa unless unaelewa kile kinachoendelea duniani na kipo kwenye biblia tena kwenye hiyo hiyo Danieli 2:44 lakini hutaona hapo kwasababu tayari una upofu wa mapokeo yako kama nilivyokuwa mimi....

Pole sana ndugu...
 
utawala wa nyayo ni utawa wa humanoid under alliens ...

alliens wameshaanza kutengeneza human hybrid ambao ni half human na halfu alliens na hao ndo wanakuja kumonopolise this universe...ndo mana Nchi kibwa kama japan,america,uingereza na zingine zimeanza kutengeneza robot wenye ngozi kama binadamu kabsa na hao robot wana uwezo wa kupiga stori na mwanafamu wa kawaida kabsa bila kumshtukia ...
kwa hiyo binadamu wa kawaida have to be perished away kwa kasi ya ajabu snaa ili kuacha universe hii ndani ya mikono ya wengine....
inshot ndo mana sumu nyibgi zinatengenezwa ili kufupisha life span ya mwnadamu halisi....

it is a battle btn God and satarn let' s enjoy it...hakika wanajuana malengo yao ni nini sio sisi tunaochezeshwa kama mazombi....
Bahati mbaya sana huu ndiyo ukweli kwa sehemu kubwa sana lakini hili wengi hawalijui haswa hawa waliopofushwa na haya mapokeo ya madhehebu....

Inasikitisha sana aisee.....
 
Back
Top Bottom