Roma bado inatawala dunia

Roma bado inatawala dunia

Amri ya 4 ya Mungu inasema "Ikumbuke siku ya sabato uitakase. Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote. Lakini siku ya saba ni sabato ya Bwana Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana kwa siku 6 Bwana alifanya mbingu na nchi na bahari na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba, kwa hio Bwana akaibarikia siku ya sabato akaitakasa. Kutoka 20:8-11.
Hio ni amri ya Mungu iliopindishwa na papa... Kanisa Katoliki hawaisomi jinsi ilivyo ktk Biblia Takatifu

Papa kaipindashaje hiyo Amri?, we ulikuwa unataka Wakatoliki wafanye nini hiyo siku ya Sabato ya Wayahudi?
 
Out of the topic

Nimejuwa hutaweza kulijibu hilo kwa kuwa swali hilo linasambaratisha hoja yako pale uliposema "na mataifa mengi yana sheria za Roma".

Sheria za Roma utumwa ni halali na mpaka leo utumwa upo ndani ya kanisa katoliki.

Sasa kajibu swali langu.
 
Kwenye Maelezo yako umewataja Britain lkn Britain dini yao ni aglican
Nadhani anglican ni jina tu walibadili but walikuwa tu catholic wote hata hayo makanisa yao ni ya catholic hayana tofauti. By the way hizi dini zote ni kama wameleta wao so hata wakileta hiyo moja kuziondoa hizi nyingine haitakuwa shida sana. MAANA MUNGU HAKULETA DINI.
 
Nimejuwa hutaweza kulijibu hilo kwa kuwa swali hilo linasambaratisha hoja yako pale uliposema "na mataifa mengi yana sheria za Roma".

Sheria za Roma utumwa ni halali na mpaka leo utumwa upo ndani ya kanisa katoliki.

Sasa kajibu swali langu.
Ndio maana ana heri mjinga kuliko mpumbavu, hivi unajua hayo mataifa ya kiislamu bosi wao ni papa?
 
Hii mada ni ngumu kuielewa. Mimi nachojua ni kuwa to fall for one empire is to rise for another. Kwa sasa tawala inayotawala dunia ni America. Kwa maana ya marekani. Wao ndio dola kuu kwa sasa hapa dunia. Hata pesa yao ndio turufu kwa maana ndio pesa ya kufanyia biashara. Yaani kila bidhaa kwenye sako la kimataifa inapewa thamani in terms of $.
Iran washaacha dola india wameanza kununua oil kwa dhahabu kutoka iran russia wametangaza kuiacha dollar soon even china. So dollar ia about to go down ......
 
Jibu swali ,ni wap unapata ushahidi au andiko kuwa kufufuka kwa Yesu ndio siku ya ibada?
Kabla sijakupa, nipe andiko linalisema Wasabato twapaswa kusali siku ya Jumamosi....?? Maana amri hiyo ya kushika Sabato iliwahusu Waebrania....Sasa wewe kenge wa dongo beshi niambie tangu lini umekuwa Muebrania..?

Kumbuka: Wasabato siyo Wakristo ila hupenda kujiweka kwenye kundi la Wakristo..
 
Ndio maana ana heri mjinga kuliko mpumbavu, hivi unajua hayo mataifa ya kiislamu bosi wao ni papa?

Hiyo ni wishful thinking.

Vipi maprotestanti wamewashinda mnarukia kwengine?

Kajibu swali langu, mbona unalikimbia swali jepesi sana? Jikumbushe:

Jee, Mahakama ipi leo hii duniani inayokubali kuwa utumwa (slavery) ni halali?
 
Roma bado inatawala dunia: ingawa ilianguka mwaka 476 AD ila athari zake zilikula dunia yote, ndo maana primary tulisoma no. za Kirumi na hata saa na Kalenda tunatumia za Kirumi na mataifa mengi yana sheria za Roma mpaka lugha zao tunazitumia. Roma haikuanguka kama inavyosemwa bali ilisambaratika na kuwa nchi za Ulaya ambazo zilikuja kuwa zenye nguvu na kutawala karibu dunia yote na kusambaza utamaduni wao. Mfano Uingereza imetawala bara Asia mpaka bara Arabu, hata ufalme wa Yordan, Saudia, Qatar zimewekwa na Uingereza. Kwaiyo ukisikia jumuiya ya madola tambua hizo ni nchi zilizotawaliwa na the greater Britain. Na Ufaransa, Spain, Portugal nazo hivo hivo.
Ulaya(Roma ya zamani) bado ina mkono mkubwa juu ya nchi za dunia hii. Ndo maana wameweka mahakama yenye sheria za Roma(The hague) ambayo daima ikiwahukumu viongozi wa nchi maskini, utake usitake ukiitwa hapo utaenda tu, na ukibisha utatolewa kwa bunduki.
Nabii Daniel alisema hivi juu ya Roma.
23 Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utakula dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande. Daniel 7
Huu utawala wa Roma utadumu mpk Kuja kwa Yesu. Roma imeathiri dunia kisiasa, kidini, kisheria na kitamaduni na nchi yeyote inayokataa hoja za Roma lazima iangamizwe. Sadamu, Gadafi waliangamizwa sababu walipingana na utawala wa Roma, na sahivi Assad anakinywea kisha # Iran itapotezwa. Nabii aliona jinsi wana wa Ishmael(waarabu) wanavyopinduliwa na Roma maana hao waliifukuza Roma karne ya 7 na Roma ikajirudi tena kwa namna ya kuwaweka vibaraka wao ktk falme za Kiarabu kama ufalme wa Saudia, Qatari, UEA na Jordan hao wote ni puppet wa Roma. Na wote watakao pinga watafanyiwa hivi:-
Naye ataunyosha mkono wake juu ya nchi hizo, hata na nchi ya Misri haitaokoka. Daniel 11:42
Utawala wa Roma utaziangusha nchi zote pinzani zikiwemo nchi za Kiarabu na dunia itamstajabiwa mnyama yule(ufalme huo) na kuufata. Ufunuo 13:3 NIV
ROMA itatengeneza utawala wa dini na kulazimisha dunia yote kufata dini hiyo na watakao pinga watauawa.
Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe. Ufunuo 13:5
Roma haitaangushwa na wanadamu......
......wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye? Ufunuo 13:4
Roma itaangushwa na Mungu tu.
Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu. Ufunuo 18:8
Take care usije anguka na Roma

a1175df048e7c5de0a0fe3db44ef801f.jpg
Unaweza kunionesha kinagaubaga Association iliyopo kati ya Utawala wa Roma na Uingereza?

Umesema "Take care nisije kuangukia katika utawala wa roma"....nitake care vipi?

Naomba ujibu kisomi au kiuelewa mkubwa.
 
Kwenye Maelezo yako umewataja Britain lkn Britain dini yao ni aglican
At least wewe umegundua la muhimu

Britain waliamua kuwa waprotestant kwa miaka mingi sana

German waliamua kuwa waprotestant kwa miaka mingi sana iliyopita

Britain [emoji117] Anglican

German, Denmark, Norway,Sweden wengi [emoji117] Lutheran.
 
Nadhani amesema ina sheria za roma sio kwamba ipp roma/italy.

Weka ushahidi kuwa The Hague inafata sheria za Roma.

Baadae nimeuliza hivi:

Jee, Mahakama ipi leo hii duniani inayokubali kuwa utumwa (slavery) ni halali?
 
Nadhani amesema ina sheria za roma sio kwamba ipp roma/italy.
Hebu tuoneshe hizo sheria za Roma, na hizo za Sehemu zingine zinazofanana na Roma..? Na unaposema Sheria unalenga sheria gani..? Sheria ni pana sana.....

Tupe ufafanuzi
 
Kufufuka kwa Yesu ndio siku ya kusali ? Umeitoa wapi hii
Weweeeee....usitake tufikiri kuwa huko kichwani ubongo wako umeingia funza watokonyao...sawa?

Umeulizwa swali...jibu swali, this is one among critical principles of a dialogue, yaani ukiulizwa swali unajibu kwa usahihi kisha unauliza swali...sawa?

Yesu alifufuka lini?
 
Back
Top Bottom