Roma bado inatawala dunia

Bila shaka Mleta Uzi ni Msabatho, sasa mtafanyaje Kama Binadamu hawezi kuiangusha Roma, zaid Ya Mungu pekee kwa mujib wa maelezo yako.
Nakushauri bora uungane nao tu maana kuna msemo unasema kama huwezi kushndana nao bas ungana nao ukiwa Unamsubri Mungu wako kuja kuiangusha Roma
 
Mkuu bora umefika na uku uongeze nyama
 
Mungu yupo naamini,alieumba hii dunia..ila am very sure atakua anastaajab sana na kushangaa hiv hawa watu hiki wanachoamin sasa wamekitoa wapi?..kwenye jiolojia tunasoma mambo meng sana ikiwemo historia ya ulimwengu..tunasoma kua dunia hii ina apriximately miaka bil4.5,..na hii ni proven kisayansi,kwasabab kama waweza pima umri wa mwanadam exactly bas inawezekana hata umri wa miamba iliyotengeneza dunia inapimwa kwa muktadha uleule,point yangu ni hiv,hata ukienda mkoa kule kwenye asili ya ukoo wenu halisi kabsa bas kuna stor nyiiing sana za eneo lile,..same thing kwa ukienda uyahudin utakuta stor nyiiing za eneo lile ila tuu wenzetu waliamua stor yao kuiweka kwenye maandish,sasa nachoshangaa kwa mswahil ngoz nyeus kujifanya naye et stor yake ni ya wale wayaud,..y?mi naamin Mungu huyu wa kwel aliumba dunia kwa style yake anayoijua mwenyew na siri nying anazo yeye,haya mambo yakukisia kisia sjui nin mi naona ni ya binadam tuu kutaka kujua ukwel ndo ina result kwenye stor zoote hiz mara likaenda hili mara lile,maneno meengi,alieumba huu ulimwengu aliuumba perfectly kabsaa kwa habitat ya binadam kuish na wanyama na mimea na bacteria etc,sasa mtu kujifanya maisha ya dunian ni kama laana vile kutwa kudream heaven,Alietuumba atakua anashangaa sana kwamba yeye kutupa yote haya amekosea au?
 
Hakuna utawala uliotawala wala utakaotawala dunia. Wamasai wengi hawajui rais wa Tanzania ni nani. True stori tembea Arusha vijijini. Ndio maana North Korea ni ndimu. Je utawala wa Roma una athari gani kwa wachina wachina na ndio wengi duniani.

Na unaposema Anglican wanatawaliwa na Roma kwa sababu asili yao ni waroma hapo umechemsha kwa sababu uroma ulipingwa watu wakaanzisha makanisa yao yanayojitegemea.
Leo hii Vatican haitawali kisiasa hata Italy kwenyewe na kidini ndio kabisaaa.
 
Mada zinazojadiliwa kwenye mlengo wa kidini huwa zinawafanya watu wa mjadala kuwa wafungwa kimawazo kwa kuwa wote mawazo yanafanana au kuzungukia humo humo...kwenye kiboksi cha maandiko hivyo kukosa mawazo huru na kukosa elimu stahiki.....
 
Ulijua kama ni jumamos maana hii calendar imebadilishwa sana
 
70% right
 
Hapa alieandika biblia alikuwa na IQ kubwa mpaka watu mnabishana kwa stor za kusadikika kutojielewa sisi ni kitu gani ndo kunasababisha kuwepo kwa sintofahamu kama hizi za mleta uzi
Kuna hasara kubwa walioturetea hawa watu hadi hatuwezi kujadili kujihusu sisi badala tunapigania assumption zao sisi zetu zi nalala
Hivi kwann mmelala kiasi hicho kwann amfikirii chochote zaidi kariri za vitabu kwann lakini
Mna macho hamuoni mna masikio hamsikii mna pua hamnusi kila mlango wa fahamu hamtumiii
Badilikeni badilikeni khaaaa. Sio siri mnakera
 
Pengine ufalme utakao tawala milele na milele ni wa mungu jehova,yeye aliesema yupo ambae yupo,Neno aliekuwepo tangu mwanzo,ambae bila yeye hakuna chchote kitakachofanyika.
 
HIVI KANISA LA SABATO LILIANZA LINI?
MISINGI YAKE NI IPI?

WANASIMANIA NINI HASA?
 
Mikataba??? To a uthibitisho
 
Jibu swali ,ni wap unapata ushahidi au andiko kuwa kufufuka kwa Yesu ndio siku ya ibada?
Soma Biblia katika sehemu tano zifuatazo, zinatosha kabisa: Isa 1: 13, Hos 2 :11, Ebr 4: 4-10, Kol 2: 16-17 na Rum 14: 1-10
 
Yesu alipoulizwa amri iliyo kuu alijibu IPI???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…