Roma bado inatawala dunia

Roma bado inatawala dunia

Ufalme ujao ni wa wayahudi.ukiangalia kwa sasa wayahudi ndio wameteka nyanja zote za uchumi,siasa na hata media.
 
Mackie nimetambua kwamba mimi na wewe tupo kwenye spiritual horizons 2 tofauti. Kwangu mimi biblia inajitosheleza, ni kila kitu. Kwa hiyo mjadala na wewe nimefunga. I have nothing any more to debate with u!
 
Bila shaka ndugu wewe ni msomaji wa vitabu vya Danieli na Ufunuo!
Ukisoma vizuri Danieli 9:20-27, utaelewa kwamba utawala wa Roma utatawala juma la 70 (wiki 1). Kinabii wiki 1 = miaka 7. Kipindi hicho kitaanza baada ya unyakuo wa kanisa (waliompokea Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao walipokuwa duniani). Wakati huo serikali zote duniani zitakuwa chini ya serikali kuu moja zikipokea amri za kiutawala kutoka kwa mkuu mmoja ambaye ni serikali ya Roma (mfano wa utawala huo ni kama Raisi Magulifuli alivyo na mamlaka kwa wakuu wote wa mikoa yote ya Tanzania). Huyo Rumi (Kaisari) atatawala kwa kushirikiana na mataifa mengine 10 (rejea Danieli 2:33, 41 - sanamu aliyoota Nebukadreza). Wakati huo hakuna atakayekiuka amri hata moja ya mtawala huyo yaani Rumi. Huyo Rumi (Kaisari) atakuwa na nguvu sana, na ndiye Mpinga Kristo.
Tujiulize, kama Roma ndiyo inatawala dunia kwa sasa je, kila serikali iliyoko duniani inatii kila amri kutoka kwa huyo mkuu (Kaisari=mpinga kristo)? Je hizo serikali zinatekeleza policy za huyo Mrumi? Jibu ni hapana. Kipindi hicho bado hakijafika ila hakiko mbali (2Thesolanike 2:1-10). Wateule kuweni macho!
Hivi tunajuaje kama unabii huu ulishatimia wakati Roman Empire ilipoitawala dunia?
 
Ilipoandikwa MNYAMA WA NNE , UFALME WA NNE. hizo nne zinamaanisha nini?. yaani 1,2,3 ni wakina nani hadi kufikia roma 4 ? Tuanzie hapo
Kuna babeli, wayunani na wamedi(hawa selikali yao ilikuwa ya muungano kwa wkati mmoja) kisha wayunani ndipo wanafuata hao warumi.
 
Hii mada ni ngumu kuielewa. Mimi nachojua ni kuwa to fall for one empire is to rise for another. Kwa sasa tawala inayotawala dunia ni America. Kwa maana ya marekani. Wao ndio dola kuu kwa sasa hapa dunia. Hata pesa yao ndio turufu kwa maana ndio pesa ya kufanyia biashara. Yaani kila bidhaa kwenye sako la kimataifa inapewa thamani in terms of $.
Hata hiyo America inatokana na rumi, kimbuka America imeundwa na mataifa yapi? Ni kutoka nchi za ulaya, hats mwanzilishi wa hilo taifa George Washington alikuwa mwingereza pia marais wote waliofuata asili yao ni ulaya kasoro Obama peke yake ila ukumbuke hats Obama mama yake ni mzungu.
Selikali zote za marekani wanamheshimu sana papa na kufuata maagizo yake, na hakuna rais yeyote wa marekani anayeingia madarakani na kuondoka bila kufika Vatican kuapata maagizo jinsi ya kukamilisha new would oder. Jaribu kutafuta hotuba za George w. Bush kila alipokutana na pope alisemaje?
 
Ndugu Mackie, tumia Biblia kujibu kwani mada hii ni ya kibiblia.
Enzi (dola) hizi ni za binadamu yaani watawala halisi ni wanadamu siyo roboti kama ulivyosema! Soma Danieli 2:43-44

Vipi huo ufalme utakaotawala milele na milele baada ya dola ya 5 ni ufalme gani?
Yesu kristo mwenyewe.
 
Kwanza niseme kwamba mimi siyo Msabato. Mimi ni mkristo ninasali kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG).
Umande fungua Biblia yako kitabu cha Danieli 2:29-45.
Aya hizi zinaonesha dola kuu ambazo zimetawala dunia tangu wakati huo (Nebukadreza alipoota ndoto hiyo) na zitakazotawala duniani hadi dunia hii itakapoondolewa. Falme hizi (dola kuu) zilikuwa na mamlaka kamili dunia nzima (serikali zote duniani zikiwa zinafuata amri kutoka dola hizo kuu). Ikumbukwe kwamba kabla ya Nebukadreza (Babeli) kulikuwa na falme kuu 2 zilizokuwa zimetawala dunia hii, nazo ni Misri na Ashuru. Ukisoma aya hizo utaona kwamba zenyewe hazikuzungumzwa:
Hizo dola kuu 4 tangu ndoto ya Nebukadreza zilizoitawala dunia yote ni kama ifuatavyo:
1. Dola ya Babeli - Kichwa cha dhahabu (Danieli 2:36-38) tangu mwaka 612KK hadi 539KK (Kabla ya kuzaliwa Kristo - KK)
2. Dola ya Umedi na Uajemi - Kifua na mikono ya fedha (Danieli 2:39) tangu mwaka 539KK - 333KK
3. Dola ya Uyunani - Tumbo la shaba (Danieli 2:39) tangu mwaka 333KK hadi 146KK
4. Dola ya Rumi - Miguu miwili ya chuma (Danieli 2:33, 40) tangu mwaka 146KK
Utawala wa dola ya Rumi uligawanyika sehemu mbili:
a. Rumi ya magharibi (Western Roman Empire) ambayo mji wake mkuu ulikuwa Roma (tangu mwaka 146KK hadi 476BK - (BK-Baada ya kuzaliwa Kristo)
b. Rumi ya Mashariki, mji wake mkuu ulikuwa Constantinople (tangu mwaka 146KK hadi 1453BK)

Dola 4 tayari zimekwisha itawala dunia yote, bado dola ya 5 ambayo ni "nyayo" (Danieli 2:33, 42,43). Dola hii ya 5 itakuja kuondolewa na ufalme mwingine utakaotawala milele na milele ambao mtawala wake hatakuwa mwanadamu (Danieli 2:44-45).
Swali; dola ya 5 ni mfalme wa dola gani?
Huyo mfalme atakayeondoa utawala wa dola ya 5 kisha kutawala milele na milele ni
nani?
Tutumie Biblia kudadavua hii mada muhimu! Karibuni.
Kaka nashukuru sana kwa maelezo mazuri, ila kwa kuongezea ni kwamba.

Kumbuka biblia imesema kuwa rumi ya kimwili haiondoki kabisa. Ni kweli rumi yenyewe iliyokuwepo mwanzo iligawanyika Mara kumi, na mpaka sasa hayo mataifa yaliyounda rumi ya kale yapo kasoro mawili yaliyoharibiwa kabisa kwa maksudi na utawala wa papa.

Na tunaambiwa katika biblia kwamba kuna rumi nyingine ya kiroho, ambayo ilikuwa imepata jeraha baadae na likapona ( huo ni upapa) kumbuka upapa ulikuwa umeshaondolewa hapo mwanzo katika mapinduzi ya ufaransa, papa aliuwawa na mamlaka yake yakaondolewa kabisa.

Lakini tunakuja kuona baadae mfalme mwingine wa ufaransa anakuja kumrejeshea tena mamalaka na kupewa tena kipande cha nchi( Vatican) kwa hiyo yule mnyama mwenye kunena kakufuru aliyekuwa amepata jeraha la mauti hatimaye jeraha hilo likapona akaendelea kunena maneno makuu ya makufuru na mataifa yote wakampa nguvu zao, akapata kazidi kutawala na kunena makufuru.

Kumbuka papa anaposema kwamba hakosei na wala hawezi kukosea, hiyo ni kufuru, pia wanasema kwamba papa anachukuwa nafasi ya mungu hapa duniani, papa amebadili amri kumi za mungu ( na bilbia inaongelea habari za hiyo myama kubadili sheria za mungu, majira na nyakati) kwa mujiba wa mwandishi mmoja wa kikatoliki ni kwamba papa ana uwezo wa kubadilisha maandiko ya biblia, na tayari wamekisha Fanya hivyo. Hiyo yote ni kufanya kinyume na maagizo ya mungu (kukufuru).

Hivyo basi bila kumungunya maneno mnyama anayefuatia ni upapa dunia ianafanya maandalizi ya kukabidhi mamlaka na madaraka yote kwa papa. Kutakuwepo na Dino moja na selikali moja duniani na maandalizi hayo yalikwishaanza kitambo.

Kuna mnyama anayetoka katika nchi yaani marekani ndiye atakayemkabidhi papa mamlaka, kumbuka marekani imetabiriwa ndani ya biblia.biblia ikisema mnyama anatoka baharini au maji mengi ina mahanisha kwamba ni mtawala mwenye nguvu kutoka miongoni mwa nchi yenye watu wengi, lakini ukisoma biblia kuwa mnyama anatoaka katika nchi, maana yake ni kuwa mtawala huyo anatokea sehemu isiyokuwa na watu kidogo sana UA hakuna kabisa, kumbuka na taifa la marekani lilianzishwa na wazungu, ndio waliolivumbua hilo bara akina kolumbas hapakuwepo na watu wengi mpaka wlipokuja kuchukuwa waafrica kuwafanya watumwa. Nchi ya marekani watu wanaokaa himo aslimia 99.999 wote ni watu wa kuja, taifa hilo liliundwa na wageni.

Hivyo unabii wa biblia unatimizwa bila shaka. Na tumeambiwa mpinga kristo na nabii wa uongo wote watatoka rumi ( miongoni mwa nchi za ula ya) kumbuka rumi ya zamani iliundwa na nchi kumi za ulaya, watu wengine udhani kuwa rumi ni Italy pekee. Rumi ya mwanzo ilikuwa ni pamoja na
1 ujerimani
2 uingereza
3 ufaransa
4 Hispania
5 Italy
7 Swiss land
8 ureno na mataifa mengine mawili yaliyoondolewa kama vile wavandali na waostigos.
 
Kaka nashukuru sana kwa maelezo mazuri, ila kwa kuongezea ni kwamba.

Kumbuka biblia imesema kuwa rumi ya kimwili haiondoki kabisa. Ni kweli rumi yenyewe iliyokuwepo mwanzo iligawanyika Mara kumi, na mpaka sasa hayo mataifa yaliyounda rumi ya kale yapo kasoro mawili yaliyoharibiwa kabisa kwa maksudi na utawala wa papa.

Na tunaambiwa katika biblia kwamba kuna rumi nyingine ya kiroho, ambayo ilikuwa imepata jeraha baadae na likapona ( huo ni upapa) kumbuka upapa ulikuwa umeshaondolewa hapo mwanzo katika mapinduzi ya ufaransa, papa aliuwawa na mamlaka yake yakaondolewa kabisa.

Lakini tunakuja kuona baadae mfalme mwingine wa ufaransa anakuja kumrejeshea tena mamalaka na kupewa tena kipande cha nchi( Vatican) kwa hiyo yule mnyama mwenye kunena kakufuru aliyekuwa amepata jeraha la mauti hatimaye jeraha hilo likapona akaendelea kunena maneno makuu ya makufuru na mataifa yote wakampa nguvu zao, akapata kazidi kutawala na kunena makufuru.

Kumbuka papa anaposema kwamba hakosei na wala hawezi kukosea, hiyo ni kufuru, pia wanasema kwamba papa anachukuwa nafasi ya mungu hapa duniani, papa amebadili amri kumi za mungu ( na bilbia inaongelea habari za hiyo myama kubadili sheria za mungu, majira na nyakati) kwa mujiba wa mwandishi mmoja wa kikatoliki ni kwamba papa ana uwezo wa kubadilisha maandiko ya biblia, na tayari wamekisha Fanya hivyo. Hiyo yote ni kufanya kinyume na maagizo ya mungu (kukufuru).

Hivyo basi bila kumungunya maneno mnyama anayefuatia ni upapa dunia ianafanya maandalizi ya kukabidhi mamlaka na madaraka yote kwa papa. Kutakuwepo na Dino moja na selikali moja duniani na maandalizi hayo yalikwishaanza kitambo.

Kuna mnyama anayetoka katika nchi yaani marekani ndiye atakayemkabidhi papa mamlaka, kumbuka marekani imetabiriwa ndani ya biblia.biblia ikisema mnyama anatoka baharini au maji mengi ina mahanisha kwamba ni mtawala mwenye nguvu kutoka miongoni mwa nchi yenye watu wengi, lakini ukisoma biblia kuwa mnyama anatoaka katika nchi, maana yake ni kuwa mtawala huyo anatokea sehemu isiyokuwa na watu kidogo sana UA hakuna kabisa, kumbuka na taifa la marekani lilianzishwa na wazungu, ndio waliolivumbua hilo bara akina kolumbas hapakuwepo na watu wengi mpaka wlipokuja kuchukuwa waafrica kuwafanya watumwa. Nchi ya marekani watu wanaokaa himo aslimia 99.999 wote ni watu wa kuja, taifa hilo liliundwa na wageni.

Hivyo unabii wa biblia unatimizwa bila shaka. Na tumeambiwa mpinga kristo na nabii wa uongo wote watatoka rumi ( miongoni mwa nchi za ula ya) kumbuka rumi ya zamani iliundwa na nchi kumi za ulaya, watu wengine udhani kuwa rumi ni Italy pekee. Rumi ya mwanzo ilikuwa ni pamoja na
1 ujerimani
2 uingereza
3 ufaransa
4 Hispania
5 Italy
7 Swiss land
8 ureno na mataifa mengine mawili yaliyoondolewa kama vile wavandali na waostigos.
Hakuna mahali Biblia imetaja Rumi kwenye unabii wa siku za mwisho bali Biblia imetaja falme zingine kabisa....

Hili suala la Rumi ni assumtion zenu tu...

Hata suala la Papa kuwa mnyama ni assumtion zenu vile vile....

Hakuna ushahidi wowote wa kiunabii wa jambo hili.....
 
Blaza huyo ni Msabato.

Ila Wasabato na Waislam ni ndugu mmoja
Ni kweli!; ndio sababu waisilamu wanasali ijumaa wakisherehekea kwamba Yesu kafa...wasabato wanasali jumamosi wakifurahia Yesu yupo kaburini...Wakristo tunasali JPili tunasherehekea Bwana wa Mabwana kashinda kifo ni limbuko letu [emoji123] [emoji106]
 
Hakuna mahali Biblia imetaja Rumi kwenye unabii wa siku za mwisho bali Biblia imetaja falme zingine kabisa....

Hili suala la Rumi ni assumtion zenu tu...

Hata suala la Papa kuwa mnyama ni assumtion zenu vile vile....

Hakuna ushahidi wowote wa kiunabii wa jambo hili.....
Wasabato masalia hao wala usihangaike nao, huwa wanamwabudu Ellen G. White!!
 
Mkuu ndio nilichotaka kucomment...
Sasa Mimi nilikua mroma roma sugu familia nzima ...kanisani nilikua nakaa karibu na padri nadhan mnaelewa ....,....ila nilisikia tu habari ya siku ya ibada ni IPI ???? nikaanza kusoma maandiko na kuuliza baadhi ya watu wadini ...lakini kila nilipokua nikimuuliza padri Wangu alikua akinambia nitakujibu jumapili ijayo hatimae nikaanza kukata tamaa nikawa sionekan tena pale mbele ...Kwa kusoma na kudadisi Nikagundua kua Sabato ya Mungu ni Juma mosi ...Nabiblia pekee ndio inayotoa jibu ....nampaka sasa Familia nzima tu wasabato kasoro Baba yangu lakini naye nikipata muda narudi huwa nazidi kumpa somo ..naniaamini mauti hayatomfika kabla naye hajawa msabato.

Somen Biblia mjue ukuu Wa Mungu ...ujanja na porojo zakubisha bisha alafu biblia hujawahi hata kuigusa pengine hujui inauzwa shilingi ngapi no way zaidi ya kupotea tu.
 
Back
Top Bottom