Ni ujinga mtupuHaijalishi anaweka au haweki akiba ila nimeamini msemo wa binadamu wote ni sawa na sheria ina usawa ni maneno tu.
Roma kafungiwa miezi sita na kuomba msamaha bado hata hajasikilizwa ila Mond kawachana na kubishana nao bila uoga yet wanamuita wayazungumze angekuwa Roma angefungiwa maisha kabisa.
Mlezi wa WCB ni naibu raisHaijalishi anaweka au haweki akiba ila nimeamini msemo wa binadamu wote ni sawa na sheria ina usawa ni maneno tu.
Roma kafungiwa miezi sita na kuomba msamaha bado hata hajasikilizwa ila Mond kawachana na kubishana nao bila uoga yet wanamuita wayazungumze angekuwa Roma angefungiwa maisha kabisa.
KULIA HUKU NI KUTAKA KUONEWA HURUMA NA JAMII. TATIZO KUBWA HIVI VISANII VYETU HAVIFAHAMU NINI MAANA YA KUWA MWANGA WA JAMII. KUWEKA MATUSI YA HADHIR KWENYE TUNGO ZAO AMBAZO ZINASIKILIZWA NA WOTE NI UTOVU WA ADABU NA NI KOSA LA JINAI[ NI SAWA NA KUTUKANA HADHARANI]kitendo cha ndani ya mwezi mmoja kufungiwa na basata na kuanza kulalama anakufa njaa, mara mtoto anakosa ada mara mke mjamzito anashindwa kumhudumia nauliza tu hivi huyu jama huwa haweki akiba? Au hana vimiradi vidogo vidogo je tukiacha kuzipokea kazi zake atalalamika wapi?View attachment 723740
Hilo nalo neno kwakweli yani angekuwa mwingine nahisi kwanza hapa angekuwa ndaniMlezi wa WCB ni naibu rais
Mkuu, sijaelewa hapa kidogoSahivi amemgeuza mke wake kuwa chanzo cha mapato
Dah...kumbe?Mkewe hajaanza leo
Kweli kabisa mkuu kwa mfano usemi wa kale unaosema "Nyani haoni kundule" kwa ufafanuzi ni kwamba nyani haoni mk.ndu wake hii ingekaa vibaya kama ingetamkwa ilivyo.KULIA HUKU NI KUTAKA KUONEWA HURUMA NA JAMII. TATIZO KUBWA HIVI VISANII VYETU HAVIFAHAMU NINI MAANA YA KUWA MWANGA WA JAMII. KUWEKA MATUSI YA HADHIR KWENYE TUNGO ZAO AMBAZO ZINASIKILIZWA NA WOTE NI UTOVU WA ADABU NA NI KOSA LA JINAI[ NI SAWA NA KUTUKANA HADHARANI]
INAELEWEKA KUWA KWENYE SANAA MAMBO HAYO HAYAKWEPEKI LAKINI KAMA WANGEKUWA WANAFANYA TAFITI ZA MALENGA WA KALE WANGEONA JINSI TUSI LINAVYOWEZA FUNIKWA KIASI HATA JAMII ISIELEWE ILA MLENGWA TU . MLENGWA NAYE ANAWEZA KUJIBU VIVYO HIVYO PASI NA JAMII KUELEWA WAKABAKI WANASHEREHEKEA USHINDANI KATI YA WASANII.
Au labda mali zake ni zile za chuma ulete so anajua marehemu akitangulia mali zake zitamfuata ila nje ya hapo sioni sababu ya yeye kulalamaNi tabia ya waTZ kulalama nilimsikia juzi kati mke wa tajiri wa mabasi ya super sami akisema baada ya mumewe kuuwawa atawaleaje watoto wake wa tatu ambao wanasoma nikajiuliza sana juu ya huu utajiri mtu kaacha zaidi ya mabasi kumi tena ma YOUTONG.
Lakini idea umepata?Mkuu, sijaelewa hapa kidogo
we ujielewiKULIA HUKU NI KUTAKA KUONEWA HURUMA NA JAMII. TATIZO KUBWA HIVI VISANII VYETU HAVIFAHAMU NINI MAANA YA KUWA MWANGA WA JAMII. KUWEKA MATUSI YA HADHIR KWENYE TUNGO ZAO AMBAZO ZINASIKILIZWA NA WOTE NI UTOVU WA ADABU NA NI KOSA LA JINAI[ NI SAWA NA KUTUKANA HADHARANI]
INAELEWEKA KUWA KWENYE SANAA MAMBO HAYO HAYAKWEPEKI LAKINI KAMA WANGEKUWA WANAFANYA TAFITI ZA MALENGA WA KALE WANGEONA JINSI TUSI LINAVYOWEZA FUNIKWA KIASI HATA JAMII ISIELEWE ILA MLENGWA TU . MLENGWA NAYE ANAWEZA KUJIBU VIVYO HIVYO PASI NA JAMII KUELEWA WAKABAKI WANASHEREHEKEA USHINDANI KATI YA WASANII.
NI KWELI KABISA SIJIELEWI NA NDIO MAANA NINAITWA ABUNWASI.we ujielewi
sasa we maisha ya wasanii yanakuhusu nini.NI KWELI KABISA SIJIELEWI NA NDIO MAANA NINAITWA ABUNWASI.
MUNGU AKUBARIKI WEWE MUELEWA WA MAMBO
ATHARI YA MAMBO YAO YANATUHARIBIA WATOTO MAANA BAADHI YA NYIMBO ZAO AMBAZO HUIMBWA KWENYE VYOMBO VYA HABARI, WATOTO WANASIKIA NYIMBO HIZO HATA BAADA YA KUKATAZWA NA WAZAZI WAO.sasa we maisha ya wasanii yanakuhusu nini.