π π πaliyemteka Roma ndiye aliyevamia Wasafi..!!ππ
Mwamba kutokea mbali nilikuwa sijaelewa ππAcha kupotosha watu.
Wawingu kwa kiingereza yanaitwaje.
Hapa ndio unaweza kuona akili za Samia. Yaani mtekaji anakuwa RC badala ya kuwa gerezani
Rudia juu mkuu ameandika Payloll πOna hili linabishana na mtekwaji. Hii ni akili za mataqo kabisa
Mtekaji alitumia ndege kwenda mawinguni?
Nadhani sio uwo wimbo ambao alioact kama amekufa unaitwa "My Condelences" amemshirikisha walter chilambo na HamadengoNdio wimbo ambao kwa video ka act amefariki ,pale na picha lake
Dah jana nlshtuka sana
Ubunifu huu ni wa ajabu sana.Ndio wimbo ambao kwa video ka act amefariki ,pale na picha lake
Dah jana nlshtuka sana
NakaziaOna hili linabishana na mtekwaji. Hii ni akili za mataqo kabisa
Anajua ila Mtego huo.Unajiita Mjanja Mmoja na hata huwezi kung'amua hilo?