Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMbongo mpe tu title nyama atajazia mwenyewe.
Roma anakuja sana TZ ila kimya kimya.
Usiamini msanii akipost kitu.
Wabongo wengi wako hivyo ukishakuwa Nje ya bara la Afrika,,,Watasema uko zako ulayaSasa Roma yuko Ulaya ya wapi? Yaani hata kama ulipata D mbili, unashindwa kutofautisha mabara ya hii Dunia kweli?
Wabongo wengi wako hivyo ukishakuwa Nje ya bara la Afrika,,,Watasema uko zako ulaya
Mkuu unaumia ukiwa wapi? Ulaya ndio imesimamia abroad ama mamton. Je pia unajua yuropa inakubalika kwenye kiswahili? Ni kama tu sheli kwenye vituo vya mafuta ama mfuko wa Rambo ama sado ama Toyo.Sasa Roma yuko Ulaya ya wapi? Yaani hata kama ulipata D mbili, unashindwa kutofautisha mabara ya hii Dunia kweli?
Mkuu unaumia ukiwa wapi? Ulaya ndio imesimamia abroad ama mamton. Je pia unajua yuropa inakubalika kwenye kiswahili? Ni kama tu sheli kwenye vituo vya mafuta ama mfuko wa Rambo ama sado ama Toyo.
Acha stress mkuu na mambo madogo potezea mambo mengine utakuwa tu na amani.
Sauh'waah?
Potezea tu mkuu. Mambo madogo unajipa stress bure na kujiona mjuaji mwishoe unakufa kizembe na stress.We nae kiazi tu. Sasa ndio umeandika nini?
Potezea tu mkuu. Mambo madogo unajipa stress bure na kujiona mjuaji mwishoe unakufa kizembe na stress.
Acha porojo mingi jamvini jikite kwenye mada na upanue wigo mpana.
Sauh'waah?
Bwana mdogo please forgive me okay Marekani is not europe.Hili ni jamvi huru na kila mtu anaweza kutoa mtazamo wake, I don't understand why are you triggered?
Nilisema Marekani sio Ulaya sasa kwanini unakasirika?
Hahaha inapendeza sana. Kila la heri na maisha yenu.Sawa salamu zimefika. Mama Gaude yupo hapa katulia, leo yupo day off kwahiyo jikoni kunanukia mapema mapema.