Roma Mkatoliki anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Roma Mkatoliki anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Umeonyesha jinsi gani ulivo kilaza
 
Hivi Urais wa TZ ni kazi rahisi Sana.mnajiropokea majina kwamba fulani anaweza?

Yani unakuta MTU kapiga picha Tu kidogo kavaa Suti anashikana mikono na wazungu,,chawa wanaweka caption/comment raisi TZ 2045. Haya huyu na Ney wameamua kutoka na genre yao ya hip-hop siasa,basi Kila MTU anawaona Wana maono,,they are actually saying what everybody knows albeit loudly ,kwa hawa jamaa hawafai. Sio kitu kipya..we can call them courageous but not fill them with presidential labels
Yule bibi pale magogoni aliweza nini hapo kabla mpaka sasa anaongoza nchi yako!? Ndio ashindwe Roma. Naamini hata mwendawazimu anaweza pewa hii nchi na akaiongoza.
 
Yule bibi pale magogoni aliweza nini hapo kabla mpaka sasa anaongoza nchi yako!? Ndio ashindwe Roma. Naamini hata mwendawazimu anaweza pewa hii nchi na akaiongoza.
You are proving my point ,that the standard for being a president is too low
 
mwanamuziki wa hiphop mbunifu sera na manung'uniko ya wapinzani miaka nenda miaka rudi kaziweka kwenye mistari ikawa nyimbo.

ni ubunifu na kipaji alichonacho Roma kwenye sanaa yake ya hiphop,swala la kuongoza nchi ni tofauti na kuchana mistari.
 
Roma and Ney Wamitego are enlightened musicians; vijana wa Tanzania wangekuwa wamejitambua kama hao wenzao ccm isingewabebesha magunia ya misumali!!!!
mnaanzaje kumweka roma na ney kundi moja
 
Roma ni mzarendo na anaipenda nchi yake kwa dhati. Licha ya kuishi nchi ya mbali na nyumbani, tena nchi ya kitajiri, moyo wa Roma umekuwa ukinung'unika sana kuona ni kwa namna gani pesa za kuezeka nchi zinavyopigwa na wavaa tai

Roma anaijua siasa vizuri, elimu anayo, ana IQ kubwa. Pia ni mfuatiliaji mzuri wa nyaraka na matukio

Isingekuwa inshu ya uongozi wetu kumfyekelea mbali mtu huyu pindi atakapotua kwenye paa la nchi yetu, Roma alitakiwa kupewa nafasi ya CAG, uwaziri wa mambo ya ndani au agombee urais ili tummwagie kura za kutosha hata kama ataunda chama chake

Roma uishi milele

Ukisikia akili za kibbwege ndio hizi sasa..
 
Back
Top Bottom