Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwanini mtu akurupuke kupea vitu asivyovijua??Kwa sababu huwa hatuwajui kiundani zaidi
Na haitakuwa jinsi unavyofikiriaBora tu imekuwa hivyo
Sjui ni kwanini tunapenda kukurupuka kuwaunganisha watu eti ni wapenzi na ukute ni ndugu wa damu
Ndio maana ya magreat thinker kuwepo kusaidia hili jahazi la watoa habari mbona umepaniki nini tatizo nini?Na kwanini mtu akurupuke kupea vitu asivyovijua??
[emoji51] [emoji51] [emoji51]Tafuteni pesa jamani sio mnakosoa wakati wengine hamnaa [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe shida ya fujo zote zile ilikuwa kutaka apate viza ya kuishi Marekani,sasa hapo anakula maisha gani?Roma anakula maisha na huyu binti USA katika state ya Virginia .View attachment 1320882View attachment 1320883View attachment 1320884
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka akuchukue wewe ndiye mkale naye maisha?Roma anakula maisha na huyu binti USA katika state ya Virginia .View attachment 1320882View attachment 1320883View attachment 1320884
Sent using Jamii Forums mobile app