Msemajiwao
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 679
- 1,692
Mpaka sasa yupo kimya; Nasubiri kwa hamu sana mashairi ya Awamu hii ya Msanii Huyu nguli;
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah K n nnHujaisikia K ni K?
Faru khadijaMistari bado michache kwa sasa haitoshi,mistari iliyopo ni bombardier, kukamatwa kwa Lema na Melo,kupotea kwa Saa nane,kutumbua, Scorpion na Faru John kwa Roma hii haitoshi kukamilisha singo tusubiri subiri kidogo labda mwakani.
Kichwa ni KHahahah K n nn
Awam hii anaogopaKichwa ni K
Kidevu ni K
Kifua ni K
Kiuno ni K.... shuka chini
K ni K
*Kwa mujibu wa Roma/Baghdad/Snura