Roma Mkatoliki atoa povu: Raia wajibikeni Wasanii sio wajibu wao kuleta mabadiliko

Roma Mkatoliki atoa povu: Raia wajibikeni Wasanii sio wajibu wao kuleta mabadiliko

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rapa Roma Mkatoliki amekiri kuwa wasanii wana ushawishi mkubwa katika jamii, lakini si jukumu lao kuongoza mabadiliko, akikosoa raia kwa kuwatumia kama kisingizio cha kutochukua hatua wenyewe.
1725858212417.png
Katika andiko lake huko X (Twitter), Rapa huyo amehoji ni kwa nini watu wanategemea wasanii kama Zuchu au Dulla Makabila kuzungumza kwa niaba yao, badala ya wao wenyewe kufanya mabadiliko. Ameonya kuwa raia wanawabebesha wasanii majukumu yasiyowahusu ili kuepuka kuwajibika.
1725858256064.png
Upi mtazamo wako mdau?.

Soma pia:

Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa

Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao

CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
 
Rapa Roma Mkatoliki amekiri kuwa wasanii wana ushawishi mkubwa katika jamii, lakini si jukumu lao kuongoza mabadiliko, akikosoa raia kwa kuwatumia kama kisingizio cha kutochukua hatua wenyewe.
Katika andiko lake huko X (Twitter), Rapa huyo amehoji ni kwa nini watu wanategemea wasanii kama Zuchu au Dulla Makabila kuzungumza kwa niaba yao, badala ya wao wenyewe kufanya mabadiliko. Ameonya kuwa raia wanawabebesha wasanii majukumu yasiyowahusu ili kuepuka kuwajibika.
Upi mtazamo wako mdau?.

Soma pia:
Sawa lakini bado hampaswi kufumbia macho mambo yasiyofaa, mbona wasanii wenzenu wa Kenya, Nigeria wamekuwa mstari wa mbele kuwapigania Raia
 
Rapa Roma Mkatoliki amekiri kuwa wasanii wana ushawishi mkubwa katika jamii, lakini si jukumu lao kuongoza mabadiliko, akikosoa raia kwa kuwatumia kama kisingizio cha kutochukua hatua wenyewe.
Katika andiko lake huko X (Twitter), Rapa huyo amehoji ni kwa nini watu wanategemea wasanii kama Zuchu au Dulla Makabila kuzungumza kwa niaba yao, badala ya wao wenyewe kufanya mabadiliko. Ameonya kuwa raia wanawabebesha wasanii majukumu yasiyowahusu ili kuepuka kuwajibika.
Upi mtazamo wako mdau?.

Soma pia:
Ninaungana na Roma, wasanii kama Nay wa Mitego wanajitoa sana kuipigania jamii kiasi cha kupelekea wenzake kuogopa kufanya naye kazi na hivyo vipato vyao na maisha yao kuwa magumu.
Wananchi wanashindwa hata ku support Nay kwa viewers na badala yake hizo views za online wanawapa wasanii wanaofanya kazi na serikali na Chama tawala na kulipwa hela nyingi na michongo mingi.
 
Sawa lakini bado hampaswi kufumbia macho mambo yasiyofaa, mbona wasanii wenzenu wa Kenya, Nigeria wamekuwa mstari wa mbele kuwapigania Raia
Wako mstari wa mbele kwa sababu wanaona raia wanajielewa. Hapa ukitoka mbele likakukuta jambo utaishia kupewa pole twitter na instagram na hashtag #justiceforfulani bla bla bla kwa siku mbili tatu. Diamond akiopoa pisi mpya unasahaulika chap watu wanaanza kujadili umbea mpya...
 
Ninaungana na Roma, wasanii kama Nay wa Mitego wanajitoa sana kuipigania jamii kiasi cha kupelekea wenzake kuogopa kufanya naye kazi na hivyo vipato vyao na maisha yao kuwa magumu.
Wananchi wanashindwa hata ku support Nay kwa viewers na badala yake hizo views za online wanawapa wasanii wanaofanya kazi na serikali na Chama tawala na kulipwa hela nyingi na michongo mingi.
Wananchi wamekuwa waoga hata kwenye vitu vinavyohusu maslai yao, mwisho wa siku zigo la lawama wanawatupia Wasanii, ni muda wa kuamka na kupaza sauti
 
Wako mstari wa mbele kwa sababu wanaona raia wanajielewa. Hapa ukitoka mbele likakukuta jambo utaishia kupewa pole twitter na instagram na hashtag #justiceforfulani bla bla bla kwa siku mbili tatu. Diamond akiopoa pisi mpya unasahaulika chap watu wanaanza kujadili umbea mpya...
Sure, raia wakiwa na nguvu moja ni rahisi hawa wasanii kuwa upande huo kuliko kukaa nyuma na kuwasubiri wao watoke mstari wa mbele
 
Back
Top Bottom