Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Kwa Ujasiri na uwezo wako mkubwa kimaono kama kijana umeonesha unastahili kuwa bungeni na ninauhakika popote pale utakapogombea lazima uingie bungeni bila kujali utagombea kupitia chama gani cha siasa.
Kwa CV yako nilivyoiona kielimu, unawazidi wabunge wengi sana waliopo hivi sasa bungeni. Kwa kifupi unasifa zote za kuwa mjengoni na wapiga kura unao.
Binafsi Ningependekeza ungegombea kupitia Chama cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili uwe huru utakapokuwa ukitoa Maoni/ hoja zako bungeni.
Nakuhakikishia hutajutia and you will thank me later.