Mbona kuna mahali ametajwa na mkewe kwa jina la Andrew?Roma mkatoliki ni msanii wa hip hop
Jina lake halisi ni Ibrahim Mussa
Mwanachama wa CDM
Ni muumini wa kanisa katoliki
Ana mtazamo wa mabadiliko na demokrasia
Nimejaribu kukujibu mengine atayajibu yeye
Inawezakana pia akawa na majina mengi kama mimiMbona kuna mahali ametajwa na mkewe kwa jina la Andrew?
Au wewe ndiye mkewe nini mama Ivan?Mbona kuna mahali ametajwa na mkewe kwa jina la Andrew?
Hehehe ningejidai sana. Nimeona insta kweli mkewe kamtaja hivyoAu wewe ndiye mkewe nini mama Ivan?
Anaitwa Ibra bwana.
Ungejidai kisaaa?Hehehe ningejidai sana. Nimeona insta kweli mkewe kamtaja hivyo
He is my crush [emoji85] [emoji85] alivyooa nilinyong'onyea utadhani asingekuwa ameoa angenioa mimi[emoji13]Ungejidai kisaaa?
Labda jina la Nyumbani ila shule ni Ibra.
Teh... usikute wewe ndiyo yule miss sijui temeke aliyempa mimba akaikataaHe is my crush [emoji85] [emoji85] alivyooa nilinyong'onyea utadhani asingekuwa ameoa angenioa mimi[emoji13]
Kwahiyo unamaanisha hao ulio wataja hapo juu, ndio walifanyiwa hicho kitendo unacho taka kujua madhara yake....[emoji15] [emoji45]Wana jamvi,
In Principle Roma Mkatoliki ni nani?Ni Mkatoliki?Ni muumimni wa Chama Gani cha siasa?Ana mtazamo wa namna gani katika siasa,maisha,n.k.
Nimeuliza swali hili kimsingi hasa baada ya kutafakari mahali nchi yetu ilipofikia na tunakoelekea.Kwa mujibu wa matukio kadhaa yaliyowahi kutokea ha kumhusu Dr.Ulimboka,Kibanda,Roma na wengine ambao wamepata kupitia magumu yatokanayo na mitazamo yao kutofautiana na Watawala.
Akikujibu naomba unitagMkuu hao uliowataja walishawahi kubakwa?
Wee sio mimi. Ningepata hata hiyo bahati ya kupewa mimba mbona ningejidai [emoji85] [emoji85]Teh... usikute wewe ndiyo yule miss sijui temeke aliyempa mimba akaikataa
Jilengeshe sasa sio unakaa huko njombe utegemee utakutana naye...Wee sio mimi. Ningepata hata hiyo bahati ya kupewa mimba mbona ningejidai [emoji85] [emoji85]
Hahahaa amekwambia nani nakaa njombeJilengeshe sasa sio unakaa huko njombe utegemee utakutana naye...
[emoji124] [emoji124] [emoji124]Hahahaa amekwambia nani nakaa njombe