ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Wana jamvi,
In Principle Roma Mkatoliki ni nani?Ni Mkatoliki?Ni muumimni wa Chama Gani cha siasa?Ana mtazamo wa namna gani katika siasa,maisha,n.k.
Nimeuliza swali hili kimsingi hasa baada ya kutafakari mahali nchi yetu ilipofikia na tunakoelekea.Kwa mujibu wa matukio kadhaa yaliyowahi kutokea ha kumhusu Dr.Ulimboka,Kibanda,Roma na wengine ambao wamepata kupitia magumu yatokanayo na mitazamo yao kutofautiana na Watawala.
In Principle Roma Mkatoliki ni nani?Ni Mkatoliki?Ni muumimni wa Chama Gani cha siasa?Ana mtazamo wa namna gani katika siasa,maisha,n.k.
Nimeuliza swali hili kimsingi hasa baada ya kutafakari mahali nchi yetu ilipofikia na tunakoelekea.Kwa mujibu wa matukio kadhaa yaliyowahi kutokea ha kumhusu Dr.Ulimboka,Kibanda,Roma na wengine ambao wamepata kupitia magumu yatokanayo na mitazamo yao kutofautiana na Watawala.